Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Niligombana na huyu mwanamke na akawa amechukia mimi nikawa nabembeleza turudiane akawa analeta dharau. Sasa leo akaleta hasira kuwa kila mara unamsifia rafiki yangu kuwa ametulia basi nenda...
4 Reactions
54 Replies
3K Views
Baada ya kukaa na huyu demu kwa miezi 8 kwenye mahusiano na kumgegeda zaidi ya mara 30 nikamchoka na nikakosa hisia nae Last week nimemgonga nikamwacha kimya kimya na kumlia buyu. Jana anaibuka...
1 Reactions
13 Replies
1K Views
Ewe msoma mada jiulize wewe mwenyewe nafsini kwako, huyo mpenzi ulie nae unampenda kweli? (Ni dream partner wako tangu siku ya kwanza ulivomuona), au upo nae ili muda uende, nahis kwenye mahusiano...
7 Reactions
53 Replies
3K Views
Soma apo juu. Kama una sifa njoo inbox chap. Sina utani
0 Reactions
2 Replies
413 Views
Wakuu naiman hamjambo katika kufanya research yangu nimegundua ya kuwa huu mtandao. Una mpromoti mwanamke kiasi cha kwamba akajisahau yeye ni nani katika ndoa au mapenzi yake na wanawake wengi...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Habari za weekend jamani Tukiwa tumejisogeza maeneo tukiendelea kupata TRAB ya baridii na TRAT ya kuchoma. Naombeni tujikumbushe katika kikao chetu cha mwisho kipegele cha kuhonga pesa ya kusukia...
5 Reactions
22 Replies
1K Views
Walengwa: 1. baba alietengana na mzazi mwenzake ila anaendelea kutuma pesa ya matumizi ya mtoto 2. Baba ambae anaishi nyumba moja na familia yake lakini anampa mke wake pesa ya chakula cha...
4 Reactions
8 Replies
724 Views
Ni shem wangu anapitia kipindi kigumu na mumewe na ananishirikisha mpk siri zake za ndani na analalamika kuwa jamaa hamjali na hata huduma ya unyumba haipati nimemshauri mpk nimeshindwa kuwaweka...
6 Reactions
27 Replies
3K Views
Mimi ni kijana wa makamo ambae nimefikia uamuzi wa kutafuta mwenzi wa kuoa niko 33. Nimepata dada anaenipenda sana ila kinachonitisha ni wivu. Mfano suala la simu nilimuambia sitaki niione yake...
1 Reactions
92 Replies
6K Views
Kuna mwanababa amenileta kwake niishi hapa, hivi sasa natimiza wiki mbili. Lengo kuu haswa la kuwa hapa ni kwa ajili ya kuwapatia mafunzo ya ziada wanae wawili wa kiume, mmoja darasa la nne...
25 Reactions
108 Replies
19K Views
Kuna shule iko somewhere, wanafunzi wake wa A level wa kike wako boarding! Kutokana na umbali uliopo kati ya nyumbani na shuleni, nililazimika kuamka asubuhi na mapema ili kuwahi kabla ya mwalimu...
4 Reactions
159 Replies
58K Views
Tayari nishagharamia 15k ya chumba chenye hadhi na kiyoyozi juu. Juu ya kijisturi nimeweka wali na samaki wa kubanikwa tayari kwa mtoto anayeenda kuliwa. Gheto kwangu nimetoka tayari nishatafuna...
11 Reactions
89 Replies
8K Views
Sasa ifikie wakati tuendane na kauli ya usawa wa 50 kwa 50 Haiwezekani kila demu ninayemfuata namtongoza huku nikiambulia matusi makali kutoka kwake, halafu mwisho wa siku nibahatike kumchakata...
2 Reactions
15 Replies
693 Views
Kuna msela mmoja apa kijijini kwetu watu walikuwa wanamuogopa kwasababu ya tabia zake chafu Alikuwa muhuni kinoma tulikuwa tuna muita chinja chinja Jamaa huyo alikuwa mwizi na mpenda vurugo saana...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Leo naomba tuongee kiume, wanaume wenzangu. Najua ni vigumu kuridhika na mwanamke mmoja uliyenae, ila hata kama tamaa ikikuzidia sio lazima uzae na mchepuko. Unajua katika familia, Baba ni kichwa...
62 Reactions
201 Replies
17K Views
Habari za mchana wana Jf, Iko hivi..nimekuwa kwenye mahusiano na mdada flani hivi huu mwaka wa pili sasa ila sasa pale napotaka kumkumbatia ananiwekea kizuizi hataki hata nimguse nikimuuliza...
6 Reactions
14 Replies
1K Views
Kuna papuchi nimekuwa nikiifukuzia na kuiomba kuichakata ni mwezi wa tano sasa. Juhudi zangu zote hazikuzaa matunda mbali na kuhonga sana, kutumia muda wangu ipasavyo. Katika harakati za kukata...
7 Reactions
14 Replies
2K Views
Naombeni kwanza kukaribishwa kwenye haya majukwaa ya kijamii! Nina mpenzi wangu ambaye nilikutana nae mkoani, hivyo tukaanza mahusiano na sasa tuna miezi kumi. Mwezi uliopita kwenye tarehe 20...
31 Reactions
244 Replies
13K Views
Kwenye mahusiano Kila mtu ana mtindo wake wa kuyaendesha. Kuna ambae ni playboy, hana muda wa kusettle na mwanamke kwa muda mrefu, anapiga na kuacha. Kuna dada ambae ameamua kuwa mdangaji, yupo...
37 Reactions
58 Replies
3K Views
Back
Top Bottom