Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Huyu mwanadamu ni nyoka. Alinipendaga sana. Tukatoka sana tulibary Sana na kula bata na kudingana, mwenzie mie nikizama na yeye alioza. Wkt yeye akielezea Siri za ndani za Mr wake nikamuon hee...
3 Reactions
26 Replies
2K Views
Habari wanajamvi. Leo katika pita pita zangu nimemfumania mpenzi wangu anaomba kutumiwa video za utupu maarufu kama Koneksheni, ameomba na ametumiwa na kilichoniuma zaidi ametumiwa na Jamaa wa...
4 Reactions
44 Replies
3K Views
I have the unfortunate luck of finding too many girls in my life and not enough women. It’s not an age thing – some women are younger than girls. The difference is in the way the two types act...
1 Reactions
35 Replies
3K Views
Habari wapendwa Binafsi nataman sana ku-adopt watoto kutoka vituo vya watoto yatima (wenye mazingira magumu) ilikuwa ni tamaa yangu tangu nilipojitambua. Nataman niadopt watoto wadogo kabisa...
17 Reactions
56 Replies
3K Views
Habari wanajamii, Naimani wote niwazima mungu nimwema anaendelea kutupigania. Niende moja kwa moja kwenye jambo husika. Kiukweli niko kwenye njia Panda sielewi nifanyeje. Niko kwenye mahusiano...
12 Reactions
211 Replies
12K Views
Mambo vipi jamiiforum members. Bila shaka nyote mpo pouwaa na wazima sanaa! Nina rafiki yangu ana umri kama miaka 47 hivi tupo naye ofisi moja ijumaa aliyopita alikuwa na kihoja cha mwaka. Ni...
2 Reactions
129 Replies
24K Views
Ambwene mwasongwe kwenye wimbo wake wa nguvu ya kujua kuna sehemu anasema “Moyo wa mtu ni kichaka, umehifadhi mambo mengi” Neno maisha ni fupi ila lina namna zaidi ya moja ya kulielezea, Watu...
11 Reactions
14 Replies
3K Views
1. Wimbo wa Mbaraka Mwishehe- ntamtuma mshenga, akinikuta nasikiliza huu wimbo huwa ananichukia Sana Tena huwa hataki hata kuniongelesha, yaani siku hiyo nitaishi kwa shida sana 2. Mpenzi Luta by...
3 Reactions
58 Replies
3K Views
Kuzipata hela sio kuwa na hela nyingiiii au kununua magari mengi hadi mengine huya tumii ...au kununua nguo nyingi ambazo hadi nyingine huzivai. Kuwa na hela ni kuwa na uhakika wa kutimiza mambo...
7 Reactions
20 Replies
1K Views
Binti kisu kisu kweli. Ilikuwa tuupige ' ubeche' wa Harusi miaka minne iliyopita baada tu ya mchumba wake kuhitimu Chuo lakini baada ya kushauriwa mshkaji alilielewa somo na kukubali kuahirisha...
3 Reactions
31 Replies
2K Views
Hakika wanawake si binadamu, ni viumbe wa ajabu sana kulinganishwa na majini au hata nyoka. TUISHI NAO KWA AKILI Mwaka 2017 huyu binti alikuwa kidato cha nne. Kwa bahati mbaya alipata ujauzito...
34 Reactions
74 Replies
5K Views
Habari! Sasa tumechoka kusikia vilio vyenu enyi wanaume wenzetu. Nature ya mwanamke ni kutawaliwa, ndio maana mtawala akiwa mwanamke kwa level yoyote ile lazima ichukuliwe special issue. Binti...
4 Reactions
6 Replies
2K Views
Wanaumee kamanda hapa nahitaji msaada wa haraka sana. Nahisi manzi yangu kanitengeneza kwa watalamu, hivyo nataka nitegue ambaye anajua tiba anieleze hapa. Nimeanza kuhisi kutengenezwa kwa sababu...
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Sifa ya ukorofi. A mister No Nonsense. HII ndio sifa Bora kabisa Kwa wakwe zako. Wakwe zako wanatakiwa wajue kwamba wewe mwanaume uliye muoa binti Yao. 1. Ni mkorofi Sana. 2. Hutaki Nonsense...
14 Reactions
36 Replies
4K Views
Zamani nilikuwa napenda kama kuku bwenge, nikimpenda mwanamke nilikuwa sisikii wala kuona. Nilikuwa naomba msamaha kwa kosa ambalo sijafanya mimi ili kulinda upendo wangu. Nilikuwa masta wa kuonga...
4 Reactions
19 Replies
2K Views
Jamani za leo? Mimi kwangu nipo sawa tunashukuru Mungu. Sasa wanaume mnanishangaza sana walahi tuanze hawa wanaume namba 1 . 1. Wanaume msiojielewa. Hivi inakuwaje unampa mtu mimba anakuzalia...
12 Reactions
145 Replies
7K Views
Wakuu natumaini ni wazima, Mungu anaendelea kutupigania. Niende moja kwa moja kwenye uzi Iko hivi nilikutana na dada mmoja kiukweli nilitokea kuvutiwa sana na huyu dada kiukweli sikutaka...
6 Reactions
90 Replies
5K Views
Wasalaaaam………!!!!!! Nimekaa nimetafakari kisha nikagundua katika maisha yangu yote toka nimebalehe sijawahi kufanya mapenzi nikiwa sijalewa, wanawake wengi ninaotembea nao ni wale ma barmaid...
4 Reactions
60 Replies
3K Views
Za mda huu watu wa nguvu? Poleni na kazi !! Iko ivi Kuna ishu hapa Ina utata Kuna dogo nilikutana nae maeneo fulani hapa dar kwa vile niliishia nae mkoa fulani huko nyuma alikuwa mdogo kwangu...
2 Reactions
29 Replies
2K Views
When I was a lil bow wow (a very young boy) I was thinking just like you. Nilikuwa nafikiri kwamba ukitaka kung'oa mademu wakali lazima umiliki gari. So tangu enzi hizo dream yangu kuu...
19 Reactions
127 Replies
13K Views
Back
Top Bottom