Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habar zenu wanajamiiforum..hope ni wazima mnaendelea vzr na majukum ya kitaifa.. Ndugu zangu ushauri wenu unahitajika kwa huyu rafiki yangu..Ni graduate ambae ni jobless bado ..lakini alibahatika...
3 Reactions
45 Replies
4K Views
Hawa dada zetu warembo kuna mda wanajichanganya saana alafu wanakuja kujitambuwa tayari maisha yao hayana tena thamani yaani nina maana mfano kuzalia kwao au kujiingiza kwenye mambo ya ajabu ajabu...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Kwa miaka zaidi ya 7 sasa nimekuwa nikibadili wanawake. Kuna usemi kwenye kitabu cha dini unasema utajijaribu kwa tamaa zako mwenyewe. Mwanaume unaenda kufanya manunuzi au unaenda kupiga balimi...
4 Reactions
13 Replies
1K Views
Huyu mwanadada tulikutana naye mwaka 2007, nikiwa naishi old moshi, na yeye akiishi kwao mtaa wa rau Moshi. Tulikuwa na mahusiano, kipindi hicho na nilitegemea awe ubavu wangu wa kushoto, ila...
6 Reactions
129 Replies
5K Views
Wana wa mama tozo hopeful mnapambana ipasavyo... Basi bwana mwezi uliopita nikiwa benk flan ya kikulima kikulima nikakutana na ndugu yangu kwenye ukoo tulipotezana mda sana. Huyu ndugu alikuwa na...
13 Reactions
69 Replies
4K Views
Ilikuwa ni mwezi wa 6 mwaka huu mwanzoni, ndipo nilipoanza kumfuatilia. Huyu binti anafanya kazi bank. Kwa kweli ni mzuri, mweusi mrefu ila ana madharau sana[emoji23] Nikapiga moyo konde...
5 Reactions
40 Replies
2K Views
Ni huko kwa wanaijeria. Walikuwa tayari wameshaengage na kilichokuwa kinasubiriwa ikawa ni Wedding. Mwanamke alirudi na Iphone 13 Pro Max na alipoulizwa kwamba nani kamnunulia simu hiyo ya...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Sijui nianzie wapi kuelezea kwa kisa kilichonipata . Ila nimeona leo ni share kisa kimoja kilichowahi nikuta 2019 nipo kwenye harakati za uchimbaji na usafirishaji wa madini Ilikuwa Mida flani...
14 Reactions
64 Replies
11K Views
Mara kwa mara nimekuwa nikitumia pesa kupata true love lakini sijafanikiwa mara nyingi nakutana na makanjanja matapeli na nimeisha kutana mpaka na maibilisi ni wezi mtupu. Sifa nyingi, zielekee...
25 Reactions
154 Replies
6K Views
Habari wakuu... Nimetimiza miaka 9 sasa bila mahusiano na demu.. nimekua napenda kupgwa vibuti, yaan demu asiponikataa cfeel good tena natamani anitemee na shit ndio moyo wang unasuzika. mademu...
6 Reactions
14 Replies
789 Views
Wadau, kutokana na kujiamini kwangu katika suala la mapenzi nimekuwa muumizi mzuri sana wa sera ya "No hongos". Yaani sihongi. Ndiyo sihongi pesa kwa mpenzi hata siku moja. Najiamini kuwa nami...
2 Reactions
7 Replies
926 Views
Alikwama katika harakati zake za hapa na pale, hivyo akaniomba nimpatie elfu thelathini asogezee siku kisha kuahidi kunirudishia siku iliyofuata. Cha ajabu siku iliyofuata akanilia buyu, kisha...
42 Reactions
142 Replies
7K Views
Habari za jumapili natumaini mpo wazima kabisa baada ya ibada sasa ni muda wa kumpa Kaisari yalio yake... Kwanza kabisa nitangulize samahani nikiwa kama mwanachama wa rank ya juu kabisa wa chama...
21 Reactions
52 Replies
3K Views
Wakuu najua mko poa Kama mada isemavyo kwa hiyo nimekuja hapa ili tupeane maujuzi kidogo Kuna binti mmoja nilikutana nae mwezi uliopita nilimkubali sana nikaamua kumtegea mingo na kumtongoza...
3 Reactions
26 Replies
3K Views
Hili suala limetokea tu automatically sielewi shida nini. Najaribu kuvuta hisia za kimapenzi pamoja na kuangalia phonographic video lakini Hola. Nimeona nichukulie kawaida tu kwanza Sina ya...
6 Reactions
54 Replies
4K Views
Katika vitu ambavyo huwa navipa kipaumbele basi ni kuzamia chumvini wanawane. Ila umkute demu anajua kupakwosha kule. ...unaweza kuzama ukaibuka na magugumaji. Sasa napenda kujua madhara yake...
2 Reactions
3K Replies
393K Views
Wakuu, kutokana na changamoto za hapa na pale za kimaisha, nimejikuta mtu wa mawazo sana kiasi kwamba ni wiki ya tatu nimekutwa na changamoto hizi: 1. Nimepoteza hisia za kimapenzi, sina hamu na...
2 Reactions
35 Replies
3K Views
Habari wakuu? Kuna issue moja ya jamaa yangu ameniomba ushauri,anasema mara kwa mara anazinguana na mkewe coz ya masuala ya pesa za matumizi ya nyumbani.anasema kwa sasa mkewe ni hana mishe yuko...
0 Reactions
12 Replies
841 Views
Huyu bwana anasherekea miaka 20 ya ndoa yake. Hajawahi mpandishia sauti kumfokea mkewe,hajawahi mpiga na hawajawahi kugombana. Nimemaliza.
9 Reactions
35 Replies
2K Views
Brethren, NB: Msiniombe reference kwa vile huu ni uchambuzi na maoni binafsi mimi babu yenu kwa kushirikiana na marafiki zangu wa karibu (Hawapo JF), kwa lengo la kupeana tahadhari. Ni hivi...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Back
Top Bottom