Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Mwisho wa mwaka huu, nitakuwa na miaka 35, umri wa uzee, kinachonichanganya sihisi wito kabisa wa kuoa na kuishi na mwanamke, huko nyuma atleast nilikuwa na hiyo hali ya kutamani kuishi na...
15 Reactions
80 Replies
8K Views
Natoa indhari kwà sheria za jf mtu hazuiwi kuweka avatar aipendayo sasa mimi Tapaiko Namkeho ni janadume hivyo tusichukuliane poa nimeweka hilo tako ili muda wote nimuone mke wangu ambae anasoma...
3 Reactions
15 Replies
858 Views
Kwema Wakuu! Tokea Tangazo la Walamba Asali kujitangaza kuwa Mzinga wa nyuki umejaa pomoni ukifurika asali, wakasema huu ndio wakati wa Kula masega ya asali na asali yake. Nilidhamiria kujiunga...
6 Reactions
16 Replies
2K Views
Mada inajieleza. Usije kusema sijakutonya. Ukiona makalio yametazamana na camera sijakuambia muachane ila nimekuambia tu kuwa wewe pia uko kwenye foleni.
8 Reactions
49 Replies
3K Views
WANAUME WA AFRIKA.! 1. Wanaume wakatili zaidi Afrika - Waangola, Warundi na Wanubi (Sudan). Ukiwakosea ni kipigo au kifo. Kwao hakuna msamiati uitwao "Msamaha". 2. Wanaume wanaojali zaidi...
5 Reactions
55 Replies
3K Views
Wakuu ndugu zangu Ni kwa yale maneno ambayo mwanaume anachomekea kama masikhara, mfano ktk kazi. Unafanya kazi ya boda mwanamke kashuka kwene chombo, unafanya kama umeshika kiti pale alipo kaa...
11 Reactions
69 Replies
8K Views
Nahitaji marafiki wenye uwezo mkubwa wa kifkira na maono ya mbali kuhusu maisha kiujumla tuweze kupeana nondo
1 Reactions
8 Replies
711 Views
Wapenz naomba mnipe uelewa juu ya kabila la waluguru juu ya kuchezewa Ngoma na kunyoa sehem za Siri Nimepata binti WA Morogoro Muluguru Tatizo lake hataki kunyoa utupu wake ukimuuliza anajibu...
0 Reactions
0 Replies
465 Views
Mwenye namba ya huyu Pastor wa Kike anisaidie na kama unajua hata kwao niambieni huenda wadogo wake wakawa wanawake bora kwenye ndoa "Nataka mwanaume mwenye magari. Nataka mwanaume mwenye...
15 Reactions
84 Replies
5K Views
Morning JF family, Aisee mahusiano ya hivi visichana ni vichekesho na pasua kichwa kwa sisi watu wazima, yaani Kuna kabinti fulani kanauza pharmacy maeneo ya mjini kati, sasa bwana nilimzimia...
8 Reactions
36 Replies
3K Views
Nimemsikia raisi wetu SSH jana akiwa hospital ya CCBRT akisema kuna vyumba ambavyo vitatumika wakati wa mke akiwa kwenye kujifungua mume awe hapo akimtia moyo,akiona shughuli wanawake wanapitia😀😀...
10 Reactions
136 Replies
7K Views
Habari za muda huu waungwana wa jamiiforums Kupatanisha changamoto ya ziada katika ndoa ambayo haina mtoto hata mmoja, kunahitaji hekima na busara nyingi sana. Hakuna ndoa yoyote hapa duniani...
8 Reactions
153 Replies
15K Views
Nikiri wazi kale ka uzi Pendwa ka vijana wakati mwingine kana hamasisha na unaeza kuwa mtaani na mambo yako ukikumbuka tu JF unasema eemu ngoja nitest zari. Kwa kifupi last 2 weeks nilikua...
45 Reactions
113 Replies
11K Views
Inasaidia kuacha nyeto hyo ndio faida yani ukianza kuhesabu ukafika labda siku 25 hujapiga nyeto afu ukapiga nyeto roho itakuuma vibaya sana ukirud humu kuona wenzio wapo siku nyingi nying so...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Kijana Ferdinand anadai amemuona Eliza ambae ni bibi kiumri kwenye ndoto kama binti wa miaka 18 akiwa anang'aa kuanzia macho, pua na mdomo kama binti mrembo kwenye ulimwengu wa Kiroho. Ferdinand...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wanawake na wanaume wengi ni wapenzi tamthilia za vipindi vya maigizo na mechi za mpira na kuwa wakati wengine hujikuta wakisalia sebuleni au kuweka umakini kwenye TV na kuacha wenza wao...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kibaya zaidi nimekwisha mtambulisha kwa marafiki zangu kwenye siku ya party ya pamoja Hata tuwe tunazungumzia kitu gani, akiona tu noti nyekundu anachanganyikiwa, anapatwa na kigugumizi, hata...
7 Reactions
41 Replies
2K Views
Huyu mdogo wangu yupo kidato cha nne, ninampenda sana na nimekuwa kama mshauri wake hususani kwenye issues za kujikinga na mahusiano kwa ujumla. Humfundisha mbinu za kuepuka vishawishi vya...
33 Reactions
363 Replies
20K Views
Jamaa yangu rafiki aliniomba geto ili aweze kuchakata mbususa demu fln ambaye pia mimi namfahamu walichonifanyia sitokaa nimuazime mtu geto langu nahisi yule manzi walifanya maksudi tu...
12 Reactions
79 Replies
7K Views
Habari za J5 wakuu, Kuna umri ukifika kumpata mtu ambae hajaanza maisha kabla ni nadra. Nilitaka tufahamishane changamoto unazopata pale unaokuta watoto kwenye uhusiano.
3 Reactions
341 Replies
20K Views
Back
Top Bottom