Wakuu, nawatakieni amani na furaha mioyoni mwenu. Leo nina mada fupi tu kwa wote ambayo naomba tujadili.
Katika mahusiano ya mapenzi, hasa kwenye ndoa, kuna tofauti kubwa sana kati ya nini...
Kuna wazazi wanazingua Sana!
Wako bize na wanao wa kiume kuwafundisha kupika.
Mwanaume amepewa jukumu kubwa mno la kuitawala Dunia. Jukumu hili linamtaka mtoto wa kiume awe strong mentally and...
Kwanza kutingisha makalio ni kitendo cha kuonyesha kipaji cha kucheza. Siku hizi ni rahisi kumuona hata mtoto wa miaka mitano akicheza kwa kukatika. Sababu zinazofanya dada zetu watutingishie...
Nilikuwa nasikiasikia tuu watu wakisema hivi vinywaji type ya "___ Energy" vinaongeza nguvu ya mwili na ashki ya mapenzi, pamoja na sifa zingine zingine ila nikawa siamini.
Kutokana na maneno...
Habri wakuu ..
Hapa naongea na vijana wenzangu umri kuanzia 18-28 maana ndio asilimia kubwa tumemaliza chuo ajira ni changamaoto na mapenzi ni pesa ..! Kwanza kabisa niwaambie kuwa kwa Dunia ya...
Inaskitisha na inahuzunisha,
Wakuu mko poa?
Naenda kwenye maada,: hapa jirani imezuka kelele ya kufa mtu ambapo naishi kuna mke wa rafikiangu ambae ni mke wa mwalim, mkewake katobw,,,, na mganga...
Wakuu haya ni maoni yangu binafsi baada ya kuangalia tabia za familia nyingi hasa za mjini.
Hivi karibuni kulitoka ripoti iliyoonyesha wingi wa ndoa zinavyovunjika Dar es Salaam.
Ukitazama...
Naam hapa nazungumzia ile hali ya kumtongoza Mwanamke kwa leo tu la kula kimasihara yaani hit&run!
Yaani hii kitu ni hatari mno maana unajikuta unamtongoza Mwanamke ambaye sio type yako kwa lengo...
Habari, naomba kujuzwa kidogo kuhusu tabaia/sifa za watu wa mkoa wa Mbeya hasa (Wanyakyusa). Wanasifa gani tofauti na za makabila mengine hasa Wanaume wa kinyakyusa(Distinctive features)?
Kwanini...
Katika umri wangu sikuwahi kuwa na mahusiano na mwanamke aliye nizidi umri. Mpaka mwaka huu nilipo pata mwanamke wa miaka 39, hakika naenjoy mana wapo tofauti na vi slayqueen.
1. Kwanza wanajua...
Unajua Mungu sio mjinga au wendawazimu Kusema kuwa mwanaume na mwanamke hawako sawa.
Sasa sijui ni nani huyu mwenye ufahamu zaidi ya Mungu ambaye alisema mwanamke na mwanaume wote ni haki sawa...
Yaani unakutana na mwanamke unatumia nguvu kubwa kumpenda na kumshawishi mnaanza mapenzi ila kufanya sex anajifanya bikra unaamua kumpeleka hotel very expensive ili ufaidi bikra mwisho wa siku...
Nina mademu zangu watatu sasa nikajaribu kuwaambia nataka kuwaoa nikatuma sms kwa kila mmoja sasa demu mmoja yeye kanijibu kwa jazba, nimeshangaa kuniambia namuingilia kwenye maisha yake'' kwa...
Huyu ni mke wa mtu.
Nilikuwa ninaomba dua niachane naye, ikashindikana, nisi muwaze ikashindikana, nilimtumia pesa na zawadi kibao.
Jf ilinishauri sana kiachana naye, nilijitahisi sana...
Good Sunday to everyone. Samahani wanaume lakini nina swali najiuliza. Naombeni mumsaidie huyu dada.
Alipata mwanaume na akawa anataka kwenda kwao (meaning kujitokeza). Lakini akamwambia ukweli...
Miaka inakimbia kama Tuisila Kisinda/Tk Masta hainisubiri sababu mimi sio special hata ningekua special isingeweza nisubiri.
Ukija kwenye sekta ya mahusiano nako ni afadhali ya jana kuliko leo...
Wakuu nimekuwa kila siku nikienda kwenye hotel moja kwaajili ya kula, mimi siyo mpenzi wa kujipikia kutokana na kuwa ratiba zinanibana hivyo nimezoea kula kwenye hotel iliyopo mtaa wangu.
Sasa...
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Sasa kuna story 2, zote kali! Inabidi tupige kura, story ipi iletwe leo, na ipi next week! Samaritan Jecha endesha zoezi kwa ufasaha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.