Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Ushauri Wakuu kwasasa mwaka na nusu ninamahusiano nahuyu mwanamke, kwasasa kwao baadhi wananijua, yeye anang'ang'ania tuishi wote nimuoe, ninachojiuliza hivi inawezkana kweli kwasababu amenipita...
9 Reactions
74 Replies
3K Views
Nimewahi kusikia miaka ya nyuma kuwa kuna dawa za mapenzi za kihaya moja inaitwa UGENDE UGARUKE nyingine SHUNTAMA ambazo akina dada huwa wanatumia kuwapumbaza Wanaume kimapenzi ili wawapende sana...
1 Reactions
65 Replies
34K Views
Wakuu humu ndan nna swali langu. Kuna manzi nilimtongoza mda flan kipindi tuko chuon akanichomolea akaniambia kuwa ana mtu tayar ss nikamute kwa muda ikatokea wakat huu tupo field wote tumeenda...
3 Reactions
34 Replies
2K Views
Mwaka mzima namsubiri aje lakin kaingia nchini kimya kimya bila hata kuniambia, kweli! Mwanzon kabisa it was great. We had so much in common...we shared the same taste in everything music...
23 Reactions
147 Replies
8K Views
Dalili 12 zinazothibitisha upo kwenye "toxic relationship" au mahusiano yasiyo husiana na mapenzi. 1. Ana pande mbili kama shilingi kumi Kuna siku anakupenda sana na siku nyingine unatafuta wapi...
3 Reactions
5 Replies
1K Views
Natamani kumfungukia huyu binti lakini nakwama. Nimechanganyikiwa sana nifanye nini?! Je, nifuate moyo wangu na kudate na mfanyakazi mwenzangu au nimpoteze na kubaki bila furaha hapa kazini?
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari! Hii mada imejadiliwa mara nyingi na sehemu nyingi. Je, mahari inayotolewa ili kijana aozeshwe ifutwe? Kama ifutwe toa sababu, kama uendelee toa sababu.
2 Reactions
69 Replies
2K Views
Habarini ndugu zangu, naombeni niwape mkasa wangu kidogo ili walio nizidi umri na wenye busara wanishauri kwenye ili ninalopitia, maana nina ongozwa na mawazo sana na nashindwa kuiona kesho yangu...
12 Reactions
82 Replies
8K Views
Wakuu, wasalaaam, Ni mikoa gani pisi kali haswa za kichotara chotara ivi zinazojielewa zinapatikana? Naskia Tanga kuna za kiarabu kali kali. Mnaonaje wadau? Hivi ni kweli? Na kama kuna anayejua...
10 Reactions
111 Replies
9K Views
Kuna siku nilileta uzi humu, kuhusu mchepuko mpya niliyekutana naye, na akaniomba nimuongezee mtaji ili aweze kujiajiri. Kutokana na mtaji alio uomba ulikuwa mkubwa kiasi fulani; sikuwa mwepesi...
13 Reactions
24 Replies
2K Views
Natumai mko salama, Wiki iliyopita nilibahatika kukutana na binti ambaye kutokana na maono ya pendo langu, nahisi nimepata wa kuendana nae. Siku ya Jumapili jioni nilimuomba tukutane somewhere...
6 Reactions
37 Replies
2K Views
Nimetoka kufanya sensa ya vitu anavyomiliki huyu kiumbe, hapo sijahesabu nguo zake, yaani akisema afungue boutique hana haja ya kuagiza mzigo China. Hapo gesi imeisha wiki nzima hana hela ya...
60 Reactions
132 Replies
9K Views
(Ni lazima uwe na nia safi naye,kumuoa au kuolewa,usifanye kwa mke au mume wa mtu mwngne (ukimfanyia ili uSEX naye tyu kisha uachane nae yatakayokukuta utajiju!!) ANDAA VITU VIFUATAVYO 1. Okota...
5 Reactions
52 Replies
6K Views
Hello, Nina best yangu ambaye tulikuwa tunafanya kazi pamoja sasa hivi juzi amekuwa akinisimulia matatizo ya mumewe yaani mumewe amekuwa sio mtu wa kukaa na family yake walau hata weekend sasa...
1 Reactions
89 Replies
5K Views
Yaani mtu mmeongea naye bila kujuana halafu ukadata na sauti mkaja kumeet ukawa sivyo ulivyodhania je ulichukua hatua gani?
0 Reactions
7 Replies
629 Views
Share experience apa mwana MMU; imewahi kukukuta pale unakuta kuna chupi umeielewa afu unajaribu kuipa maelekezo haikuelewi hamna jibu,hamna kupokea simu zako hata ukikutana nayo road haijibu hata...
1 Reactions
5 Replies
498 Views
Nimegundua kuwa Wazee wa zamani (Wazazi) walikuwa na Akili Kubwa (japo hawakusoma) kuliko za Wazazi wa sasa (ambao Wamesoma) hadi Vyuo Vikuu. Utafiti (Uchunguzi) wangu binafsi kama GENTAMYCINE...
0 Reactions
11 Replies
903 Views
Siku moja rafiki yangu aliniita tukutane grocery maeneo ya uzunguni, haikuwa weekend watu walikuwa wachache sana nikaagiza Grand Malta baridi tukakaa na jamaa tukipiga story yeye akipiga chui chui...
14 Reactions
54 Replies
6K Views
Peace be upon you all, Nadhani lengo la vikoba (sijui kama napatia spelling) ilikua kuwasaidia wanawake kiuchumi ila sote tunachoshuhudia ni tofauti kabisa. Vikoba vimekua kitanzi cha miiba mwitu...
13 Reactions
31 Replies
3K Views
Unatumiwa nauli unatoka Dom mpaka Dar halafu unakuja upo period halafu husemi kama upo period. Kwanini usisubiri period iishe ndiyo uombe nauli uje.
41 Reactions
147 Replies
9K Views
Back
Top Bottom