Habari za humu!
Mimi ni kijana wa miaka 25, nimekuja kwenu niwaulize mimi kila nikimsemesha mwanamke tu basi ananitaka kimapenzi mpaka nashindwa kuelewa nini maana mpaka imekua kero wanapigana...
Salaam wanajukwaa
Naomba ufikirie, ujitazame, ujipime na usome hadi mwisho penye mapungufu jazia, penye kosa kosoa, na maoni au mtazamo wako ni muhimu.
Hili neno kuridhika katika sex ni jukumu...
Ni mwezi sasa niko kwenye mahusiano naye. Hajawahi nikosea. Akija ghetoni kwangu huishia kukagua chumba, palipo na dosari hupasawazisha! Hakika ni binti wa namna yake. Hajawahi nipimia kumgegeda...
Wakuu kwema.
Moja kwa moja kwenye mada. Nina mdogo wangu 20-24 yrs, mtoto wa mama angu mdogo. huyu dogo kamaliza Chuo cha Kati huko mikoa ya Nyanda za Juu Kusini.
Wakati yupo huko kadanganya...
Nawasalimu kwa jina la jamuhuri ya muungano wa Tanzania
Leo katika pita pita zangu nimeona niwaletee hii japo kuwa wapo ambao wstapinga.
Si kila mtu anapata bahati ya kuoa au kuolewa na mtu...
Mwenzenu mimi nimepigwa na kitu kizito kichwani. Hakika nilikuwa nasikia habari za wanawake kuwa sio watu wa kuamini kwa watu tu nilikuwa nafikiri wanawanyanyasa ila kiukweli mimi leo mwenyewe...
Wakuu hamjambo?
Na wadogozangu mko poa, Moja kwamoja naenda kwenye pointi yangu,
Kuna tabia fulani baadhi ya wanaume hua sio nzuri unakuta mwanaume anamsimulia mke wake eti baba fulani anatembea...
Habari zenu wana JF,
Kuna jambo ambalo limenitokea jana yaani hadi sasa nina hofu ata chakula hakiliki, ninahitaji ushauri kwenu makaka zangu na madada pia.
Kuna jamaa mmoja anaishi na mke na...
Habari wakuu,
Hivi mwanamke akishakiri wazi yuko kwenye mahusiano na mtu mwingine hata kama unahisia za upendo juu yake na bado akaendelea kukuganda na kukulaumu kwamba haumtafuti au unachelewa...
Nimegundua ndoa nyingi hazidumu kwa sababu wanawake wengi wameingia kwenye ndoa na wanaume waliokuwa tayari kuwaoa na sio wale wenye mapenzi ya dhati kwao.
Inatokea unampenda mwanaume ila hakuoi...
Habari za humu wadau,
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 27 mkazi wa dar es salaam, kiufupi maisha nina kipato cha kati (nina kazi ya mshahara 1m+, gari na nimepanga) yaani tuseme maisha yangu yako...
Sikia,
Umeozesha mwanao, au mdogo wako kaolewa. Elewa huyo hayupo chini ya mamlala yako tena kama ni mzazi. Pia elewa si yule mdogo wako ambaye ulikuwa ukimtuma na kumwambia hivi akawa anatiii...
Habari za mchana,
Nina mapungufu mengi nikiwa kwenye mahusihano, moja ni kutojua kufoka yaani nashindwaga kabisa kumfokea mtu niliyenae kwenye mahusihano.
Na kama amenikosea basi nikiaza...
Habarin za usiku,
Kwangu jaman hali sio shwari hasa upande wa mapenzi. Nilikuwa na mahusihano na dada wakichaga wa Old Moshi kwa muda wa miaka mitatu sasa.
Sasa juzi nilimuomba meeting tukutane...
Ili nalo mkaliangalie,
Baada ya kumaliza karaoke yangu mida ya saa nne, nimekabidhi mic na kushuka jukwaani, ndipo kupiga bia moja tayari kwa safari ya kurejea nyumbani.
Nikiwa njiani karibu na...
Binafsi najua limbwata lipo. Mtu akipigwa limbwata anafanya vitu ambavyo watu watamshangaa na yeye unawashangaa kwanini wanamshangaa. Omba sana katika harakati zako za mapenzi usipigwe limbwata...
Habari wakuu,
Kuna dada nilimtokea akawa amesaini, sasa muda sio mrefu kaomba pesa kwa ajili ya matumizi
Yani nimeandika limeseji lirefu kujieleza kwamba nitamjali siku za mbele baada ya...
Miaka kama kumi iliyopita jirani alioa mtoto mkali kutoka kwa Kagame, wana watoto. Basi mwaka jana jirani yetu mwingine ambaye pesa si haba mambo yamemnyookea akaoa huyu mke wa mtu (ilianza...
Kulingana na maumbile ya Dada zetu kuwa sensitive kidogo (mbususu) huwafanya kuwa makini Sana katika kutunza utu wao hasa kwa kuzingatia usafi muda wote, kwa hili natoa pongezi za dhati kabisa kwa...
Wakuu nimekuja mnipe ushauri na mbinu za kumshawishi.
Ipo hivi kiufupi kuna binti mmoja hivi hapa kitaa ni jirani yangu toka ni mu aproch kuna kama mwaka sasa. Na kila akiwa na shida hunicheki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.