Nikiwa na miaka 21 kuna mwanaume mtu mzima (39) amekuwa akionesha nia ya dhati ya kutaka kunioa.
Mm nilimpa masharti kuwa siko tayari kwa ndoa lkn akaning'ang'ania. Nikawa mtoto wa kike...
Katika harakati zako za kutafuta mpenzi, unaweza kukutana na mwanamke ambaye kwa sababu moja au nyingine anakuondolea uwezo wako wa kufikiri, kutumia mantiki na pia kutumia akili yako ya kuzaliwa...
Umepambana kumlea na kumsomesha mtoto wako wa kike, mpaka akafikia hatua fulani ya elimu; iwe cheti, diploma, degree, masters, PhD, au u-profesa. Baada ya hapo, akaolewa na akawa na mji wake...
Wakuu samahanini kwa lugha niliyoitumia ila mmenielewa.Ni hivi ukitaka kujua demu/mke wako katoka kubanduliwa fanya hivi
1:Jaribu kuchek chupi yake ,utaona imechafuka kuliko kawaida ,hii hutokea...
Wakuu mimi nina swali moja tu leo.
Kwanini mwanamke akikuelewa halafu wewe huna muda nae basi anakuletea shobo nyingi, ila ukithubutu kumtongoza tu basi anakuwa ni mtu wa kuona aibu muda wote...
Ukitaka uishi kwa Furaha na muda mrefu kwenye ndoa wewe amua kujitoa ufahamu na akili zako binafsi
Jifanye Zuzu, mjinga, mpumbavu na lofa kwa kila jambo kwa mwenza wako hasa pale unapohisi...
Salaam!
Nilihadihiwa jana na workmate namna alivyoachwa kwenye mataa na aliyekuwa mpenzi wake.
Wamedumu kwa mwaka 1, mwezi wa 7 huu uliopita bibie akanyuti bila taarifa kuwa ameamua kuachana na...
Habari zenu jukwaani,
Mada inajieleza.
Kuna mke wa mtu ananitaka na ikiwezekana anadai nizaenaye. Ndoa yao kwa nje inaonekana tulivu na yenye upendo. Nimekuwa nikimkwepa na kutojibu SMS zake na...
Wakulungwa nawasalimu wote kwa jina la upendo wa dhati.
Wazee kuna siku humu MMU nilikuwa napitia nyuzi mbali mbali za wadau kwa ajili ya kuona maisha upande mwingine yanakwendaje.
Sasa katika...
Wadau poleni sana na tozo na mambo mengine kadha wa kadha. Iko hivi, nimekuwa kwenye mahusiano na mwanamke fulani kwa muda wa miaka mitatu sasa unaenda mwaka wa 4.
Hii ni nyumba ndogo(mchepuko)...
Kama Kutongoza mdada ni urijali na si kujishusha, mbona wao wadada hawatutongozagi? Maana Kimoyo moyo wao wanajua kumshobokea na kumfuata fata mtu ni kujishushia point.
Sahivi mpaka nitongoze...
Nianze kwa kucheka sana[emoji23][emoji23][emoji23]
Hakika nimelipa fungu la kumi kiaina. Natakiwa kubarikiwa kwa kasi ya 5G+. Hakika nimeteketeza 100k hivi hivi naiona. Hata hivyo ni pesa ya ganji...
Habari wakuu nimekuja kwenu taka ushauri mama watoto wangu mke namuhudumia kwa kila kitu atakacho cha ajabu amekua akifanya biashara kisirisiri ya kupika mandazi afkeki na kupeleka kwa wenye...
Ni matumaini yangu kua ni wazima wote humu MMU,jana nilirudi hom nikiwa tungi kidogo ila nilikua najielewa nimefika hom nakuta chakula kwa maana ya mikate na maziwa na mimi huwa silagi vitu vya...
Amani iwe kwenu.
Ninapitia kipindi cha kuumia sana.
Hivi rafiki mnayeheshimiana akikuahidi atakusaidia kutatua tatizo lako la kipesa halafu baadae hapokei simu wala hajibu SMS zako na pesa...
Yafuatayo ni mahitaji muhimu ya mwanaume na mwanamke kutoka kwa mwenzie
#Inasikitisha
MWANAUME ANAHITAJI:
1. Kupikiwa
2. Unyumba
3. Kupumzika
MWANAMKE ANAHITAJI MWANAUME WAKE UWE:-
1. Mpenzi...
Ukistaajabu ya mussa utayaona ya firauni, yamemkuta Mwanaume mmoja huko nchini Zambia amejikuta anapoteza fahamu baada ya kugundua kuwa mke wake ndiye mwenye nyumba aliyokuwa analipia kodi kwa...
Habari ya wakati huu
Wapi ninaweza kumpata mke au mume mwema? Hili ni swali ambalo kama kijana nadhan ulishawahi kujiuliza au ulishawahi kuulizwa na mtu wako wa karibu.
Kabla hatujaenda...
Jamani habari zenu,
Naomba ushauri kwa niaba ya rafiki yangu mmoja amejikuta yupo dilema juu ya haya mahusiano yake.
Amekua kwenye mahusiano na mwanaume kwa miaka miwili sasa. Mwanaume huyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.