Baada yakupata maumivu yakutosha kutoka kwa mzazi mwenzangu niliyezaa nae (maumivu yasiyosameeka), nikajipa muda wa mwaka na ushee nikakutana na huyu binti mrembo cheupe jirani yangu. Mwanaume...
Manara yule milioni 20
Kifungo cha miaka 2
Mama anaupiga mwingi saana
JPM ni dume kweli kweli
Yanga hivi simba anafungwa na Barcelona na lewandowski wana funga benzema ni atari kweli sawa...
Mjane mmoja huku kitaa aliyefiwa na mumuwe na kuachiwa mi mali yakushiba ikiwemo mi jumba ya kifayari, mindinga ya maana na ma maduka ya ujazo yote amegoma kurithiwa na shemeji yake.
Shemeji mtu...
Tafsiri ya umasikini ni laana. Yaani nimeangalia Familiya za kibongo watoto wa kike ndo wanaleta umasikini yaani mtu anazalia kwao bila hata Aibu
Yaani wazazi wamekulea Kwa shida bado unashindwa...
Hatimaye nimeupiga mwingi aisee[emoji12]. Baada ya kumaliza kidato cha nne mwaka x, nilipata chance ya kufundisha shule ya private ya msingi kuanzia mwezi December hadi July wa mwaka uliofuatia wa...
WanaMMU,
Hili ni bandiko la kuhamasisha utulivu ndani ya ndoa kwa baadhi ya makabila, ambayo wanaume wao kuchepuka, ndoa za mitala na kuwa na wanawake wengi wanaona sifa bila kujua kuwa sio tuu...
Wanaume wenye ndoa kuanzia miaka 9. Hawa wengi unakuta wanaanza kugonga miaka 40 na zaidi.
Baada ya kupambana sana na kazi au biashara au kupata cheo hapa ndipo kipimo kamili cha uanaume...
Mara kwa mara nimekuwa nikipenda kuweka visa vinavyogusa maisha yangu hata marafiki na ndugu zangu ili mpate kitu cha kujifunza hapa
Mdogo wangu wa kiume ana mwanamke ambae alimuoa mwaka 2017, ni...
Sikuwahi kuwaza furaha ya penzi letu litazimika na giza kutanda. Hakuna tena Ile excitimate, sina tena lile vibe la kuonana nae, mazungumzo hayanipi tena furaha,na mbaya zaidi ata faragha mzuka...
Natumain wazima kama kichwa Cha habari kinavojieleza.
Nilikuwa kwenye mahusiano na mtu lakini nilikuta tayari anamtoto wa miaka 5 mwenzangu hakuwai Kuishi na mzazi mwenzio na mtoto analelewa Kwa...
Habar wakuu
Kama kichwa cha habari linavoelezea binti yangu umri mwaka na miezi 5 akilala usiku karibia woote anastuka stuka nakulia uku akitaja dudu dudu tumejaribu kwa usiku kumpaka vitunguu...
Habari wana MMU,
Natumaini mu wazima wa afya.
Nchi ya Kusini mwa Afrika (S.A) imejizolea umaarufu zaidi kutokana na aina ya nyimbo na midundo inayojulikana kana AMAPIANO. Sio kwenye sherehe...
Habari wana JF
Poleni na majukumu ya kazi pia tujipe pole shabiki wote wa Simba siku ya leo imekua ngumu na yenye maumivu sana juu ya team yetu ya Simba kufungwa basi bana wacha twende kwenye...
Wadau ngoja nije moja kwa moja kwenye mada
Huyu mama watoto nimeanza nae mahusiano mwaka 2019 akiwa diploma mimi niikiwa mfanyakazi. Mwishoni mwa 2019 nikaamua kumweka ndani ili tusomane vizuri...
#Kuna demu nilimla yeye stori zake ni kushinda kanisani, nikaja kugundua rafiki yangu naye anamega, afu pigo zake ni zilezile za Mungu, nikagundua hapa wanapigwa wengi.
#Mwanamke Malaya hujifanya...
Habar wana JF,
Wanawake Wana lugha zao flan hivi ambazo huwachanganya Sana wanaume wengi, unajua inakuwaje? Nakupa mchongo ufuatao, wanachoongea Sicho wanachomaanisha na hapa ndo wanaume tunapo...
Lakini mara nyingi wanaume hatuowi kwa ajili ya ngono au kwa ajili ya mapenzi, huoa kwasababu ya utulivu wa mwanamke.
Mwanaume anaweza kukupenda na asikuoe. Mwanaume anaweza kufanya mapenzi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.