Naongea na wazee wenzangu Leo, let's say hakuna tatizo nyumbani mko powa.
Mama ameanza tabia za kulala na Watoto na hakuna ugomvi wowote.
Na sometimes una vidume vikubwa kuna wakati mama anaona...
Hali ilivyo Sasa ya kizazi chetu ni mbaya Sana, wanawake na wanaume wamekua wahanga wa manyanyaso kwenye ndoa na mahusiano ya kimapenzi.
Kiukweli Sasa hivi ukatili wa kijinsia umeongezeka...
Nilidumu naye katika uhusiano miaka nane kabla kumuoa rasmi. Tunaelekea mwaka wa kumi katika ndoa.
Nilichoweza kujifunza hasa ninapoona wengi wanalia na mapenzi ya sasa WAMEOANA PASIPOKUJUANA...
Haya mapenzi yasikieni tu. Huyu mdada nmempenda mpaka basi. Kila mara namfumania live au nakuta msg za mapenzi kwenye simu jamaa wakimsifia kuwa ni mtamu. (hapa huwa najipongeza kwa kuchagua mtoto...
Kuna dogo ana miaka 28 bado hajaoa ila ana girlfriend wake ambae wamejuana takribani miezi minne hivi bila tatizo, kaja kwangu kaka yake aje nimpe ushauri hasa ukizingatia binafsi nimeshaoa na...
Wakuu nimiezi mi4 tangu mke wangu abebe ujauzito kitu kinachofanya mke wangu kuwa mgumu Sana pale linapokuja suala la kushiriki tendo la ndoa (minyaduano).
Nimetumia njia nyingi Sana za...
Wakuu habari za mida hii.
Mwenzenu yamenifika, kwanza kabisa nitangulize salamu kwa wakubwa na wadogo Mahrahaba! Umri wangu ni 33 years Nipo kwenye ndoa yapata miaka 5 sasa na hapa nimebahatika...
Habari za leo wanajamvi! Nipo njia panda naombeni mnisaidie namna nzuri ya kumkomoa huyu denu!
Ishu ipo hivi, miaka ya nyuma kidogo wakati nasoma chuo UDSM, nilitokea kumpenda msichana amabaye...
Tena kuna wakati unasikia kabisa mtu anakandamizwa(anangonolewa) vilivyo na sauti ya kuulilia mkurudungu wa aliye kifuani kwake ukiisikia dirishani, ila hapo hapo tena unasikia playlists za gospel...
Unajua tabia za Wafaransa na watanzania zina mfanano fulani hivi
Wafaransa ni watu fulani some time unaweza kusema hawanaga siriazi na maisha yaani ni watu ambao wana sapoti saana ujinga na niwatu...
Wakuu poleni na harakati za kila siku katika ujenzi wa taifa
Binafsi nimeshindwa kuelewa hii tabia ya mwanamke kutoa namba ya simu kwa mwanaume mwingine wakati anafaham kabisa kifuatacho hapo ni...
Ndugu zangu humu wazima? Natanguliza samahani. But nachohitaji ni ushauri.
Mimi ni kijana napitia changamoto katika mahusiano yangu kama mnavyojua mapenzi yanavyoumiza hasa pale mtu unayempenda...
Habari wakuu
Naimani wote wazima Mungu anatupigania
Iko hivi Nimeletwa mkoani kikazi baada ya kufika nilipokelewa na workmate wenzangu ofisi na kazi zikaendelea.
Sasa kuna Pisi moja ya kwenda...
Nimeanza kesi ya talaka tokea 2018. District court wakafanya hukumu ikaisha.
Mwenzangu akakata rufaa high court. Huku ndiyo shida kesi imekaa kama vile inasikilizwa upya kiasi mpaka mwanamke...
Heshima mbele waungwana mimi ni kijana wa miaka 25. Kilichonifanya kuja hapa ni kuomba msaada wa kimawazo kifikra. Kwani najua hapa kuna watu ni wajuzi sana naomba msaada kwenu nyote me/ke usipite...
Ilikuwa 2016 nilikutana na huyu mwanamke wangu shuleni tulikuwa tuna soma wote kwa bahati nzuri nikabahatika kuwa rafiki yake na mwaka 2018 tukawa wapenzi baada ya kuwa wapenzi kwa bahati nzuri na...
Ndugu zangu kila mmoja wetu achangie mada hii ili tupate kiini cha swala hili. Kuna baadhi ya wanaume wametunza watoto ambao si wao, kuanzia mimba mpaka ukubwani kwa kuwasomesha kwa gharama kubwa...
Ni kawaida na ni mara nyingi utasikia mwanaume usipo control matamanio yako kingono utaishia kwenye majuto makubwa.
Niliwahi kuambiwa simple definition ya nyege ni "Kurukwa na akili kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.