Habari wana jf,
Natuamina wote mko poa humu ndan.
Mi nikijana wa miaka 33 sasa nmekua na mahusiano na mdada mmoja wa kichaga from marangu yapata miez karibia 6 sasa, mwanzon mpaka juz tulikua...
Habari JF.
Natumai mmeamka salama mko na furaha asubuhi ya leo. Jana jioni kijiweni palikuwa na mada hiyo hapo juu.
Nikaona leo niendelee kuwashirikisha wana JF wenzangu tujadili jambo hili...
Habari ndugu zangu wa JF,
Poleni na tozo za watu na gharama za maisha kupanda juu.
Binafsi machache kwa mama mkwe juu ya mtoto wake
Nashukuru sana amekuza nimemaliza kuchora tattoo ya mtoto...
Wakuu,
Sio siri hii tabia ya kususiapesa yangu nahisi Sasa imeota mizizi.
Someni hizi text afu mnishaur Jambo tafadhali,
Hapa Najihisi hasira Sana,
afu nafikiria kuacha kabisa kumhudumia huyu...
Watu wengi huficha makosa kwa kutumia neno bahati mbaya.Kitu kinachopelekea kufanya kosa lilelile,hii yote ni kuamini kwamba mikosi ndiyo huwaingiza matatizoni lakini katika hali ya kawaida,kila...
Shalom shalom
Nna mahusiano na binti huyu karibu mwaka wa 4 huu, sifa za huyu binti;
1. Simpi hela, mara moja moja sana tena ni vihela vidogo mno.
2. Yeye ndio anakuja kwangu mara zote mimi...
Mke wangu alitrack simu yangu Kwa kipindi cha miezi 3. Jana ndio nimegundua hilo na kipindi chote hicho alikuwa akiona texts zangu zote, za kifamilia, kazini na michepuko.
Naombeni kusikia...
Naombeni msaada mwenzenu mimi nina matatizo nahisi kabisa sijakamilika.
Yaani mimi nikiwa na mwanamke mmoja kwenye mahusiano siwezi kutoka au kulala na mwanamke mwingine hata awe mzuri vipi.
Na...
Imesemekana kwamba wanaume wanapenda sana makalio makubwa. Je, ni kweli na kwanini?
Imani maarufu
Inaaminika kuwa wanawake walio na muundo wa mgongo uliopinda wanaweza kusawazisha uzito wao...
Hivi watoto wa kike hamuwezi kabisa kuishi kwa vipato vyenu mpaka muombe ombe hela kwa wanaume?
Yaani hamuamini mnaweza mkawa self dependent bila wanaume? Ni kwanini mnageuza miili yenu kuwa...
Mambo vipi
Sina uwandish mzuri ila nadhan nitakuwa nimeeleweka kwenye ili.
Sio wanawake wote wanaotunza bikra kwa sabab ya hofu ya Mungu wengi wao huogopa kupoteza usichana wao kabla ya ndoa kwa...
Kauli za navumilia kwa sababu ya wanangu na nyingine kama hizi zimeua nafsi na mili ya wanawake wengi.. Infact wanawake ni wahanga wa ndoa kuliko wanaume
Kulinda heshima: Ni utamaduni wa kurithi...
Hii imetokea kwa wanaume wawili ninaowafahamu wako in their late 20's wana wachumba zao washatambulishana hadi kwa wazazi.
Katika story za hapa na pale hao wakaka wanalalamika kuwa wanawapenda...
Kijadi, wanaume wa Kijaluo walifurahia hadhi ya juu katika jamii kulingana na idadi ya wake waliokuwa nao.
Wazee walipokusanyika ili kufurahia pombe ya kienyeji, walikuwa wakiketi ndani ya...
Ndugu zangu nimekuja kwenu tena siku ya leo.
Kwa watu wasionifahamu mimi ni Mtafiti wa Mambo ya kitamaduni na Mambo ya kale.
Nilisoma Degree yangu ya kwanza ya mambo ya Sanaa hapo chuo kikuu cha...
Wanajukwaa Mimi binafsi ni mfuatiliaji mzuri wa mambo mengi tu, mpaka nimeleta Uzi huu nimejiridhisha kuna tatizo sehemu au kuna kitu sisi binadamu au niseme Watanzania kuna sehemu tumekosea...
To be honest, wanawake hawanaga lolote la kutufaa sisi wanaume kwenye mahusiano apart from sex.Yaani kutwa kucha tupo kuwahangaikia Wanawake eti kisa utelezi tu.Unajikuta umevutiwa na mwanamke...
Habari wana jamii, kuna mwanachuo mwenzangu anaitwa Merry nimeanzisha mahusiano naye yapata wiki tatu sasa.
Ila kila ninapo fikiria kufanya naye mapenzi naona kama mda bado na atahisi nina plan...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.