NANI ALIYEKUAMBIA UCHUMBA NI NDOA..[emoji780]
Nawasalimu kwa jina la TOZO za jamuhuri Ya muungano wa Tanzania
Kuna mambo mengine hata kama sikuataka niseme yananibidi tu niseme. Hivi ni nani...
Kama wazee wetu walioa mama zetu wakawapikia chakula kitamu, wakawafulia nguo, wakaombea mafanikio, wakalea watoto na wakasimama kama wanawake katika kuistablize familia
Je, hawa wanawake wa leo...
Kuna vijana ambao wakiachwa au wakiachana na maex wao wanaomba tena kurudiana nao. Nikupe tu siri kidogo mwanamke akiona amekuacha alafu umeshindwa ku move on bila yeye ndugu yangu umemalizika...
Kuna mtu aliwahi kusema, "kama hautojipenda mwenyewe basi, hauwezi kumpenda yeyote kwasababu hauwezi kutoa upendo ambao hauna". Hauwezi kufanya mtu akupende ikiwe wewe mwenywewe hujipendi. Maisha...
Ndugu yangu huyu ni mwaka na nusu sasa anadunda na mke wa mtu. Mwaka jana nikamshauri amwache mara moja,akakubali ila akaendelea kwa kificho.
Siku ya valentine day akampost kidogo whatsapp halafu...
Wakuu nina mwanamke mmoja ni rfk tu sasa tumezoeana sana ila cha ajabu amekuwa akinilalamikia mahusiano yake kila daily mbaya zaidi amekuwa akiniomba ushauri kwamba amuache jamaake Mara jamaa...
Nawasalimu kwa jina la jamuhuri
Bado naendelea kufuatilia masuala mazima ya ndoa hasa katika nyanja kuu 3 kimila, kidini na kiserikali.
Suala la kulipa mahari kwa mwanamke lipo na limeelezwa...
Habari MMU
Kwenye haya maisha bana wanawake wanajua kupenda sana na usiombe ukakutana na mmoja wao aliyekuelewa.
Wiki jana kabla yakuachana na mchepuko mmoja binti mrembo na mwenye IQ ya wastani...
Wakuu habari!
Katika hali isiyo ya KAWAIDA Kuna dada ambaye tunafahamiana lakini sio wapenzi kabisa, na hatujawahi kuwa wapenzi.
Huyu dada juzi amenifuata na KUJIELEZA kuwa alikuwa na mahusiano...
Kwa mazingira yeyote je, ni sahihi kwa "mtoto mdogo" kuona tupu za wazazi wake?
Unaweza kuwa uko chumbani unavaa alafu mwanao mdogo akaingia chumbani, au unaweza kukaa bila nguo mbele ya mtoto...
Wakuu,
Kama ilivyo ada kwa wanawake, wale wenye kusudi la kudanga basi hutumia mavazi mbalimbali chonganishi zinazoweza kumuamsha Mwanaume kihisia.
Sasa katika utafiti uliochukua miaka mitano...
Salaam kwenu,
Niko kwenye ndoa mwaka wa 8 saivi na tumejaaliwa kuwa na watoto wawili. Mimi na mwenzangu tumeajiriwa Kwenye taasisi moja ya umma japo kwenye vituo tofauti.
Mwezi huu kukatokea...
Heri ya ku sensabika kwenu.
Mke kafuma tukio la Mimi kuchepuka na dada mmoja muuza duka. Katika mabishano ya hapa napale nikaamua nikubali ili mzozo uishe.
Leo asubuhi nimekaa sebuleni nasubiri...
Habari zenu wana JF,
Nina mahusiano na bidada mdogo tu ambaye anamiliki mgahawa mdogo tu, lakini unamuingizia pesa si chini ya 20K kwa siku, ni mchapakazi kweli kweli na shughuli zote anazifanya...
Habari wanajf
Nina ndugu yangu wa kike aliolewa na jamaa mmoja hivi kutoka kabila la lile la wapenda sifa na wote wameingia kwenye ndoa wakiwa wote Wana hela lakini mwanaume ndio ana hela zaidi...
Wengi mpaka hapa tulipo leo kwenye maofisi yaliyo kwenye floor ya ngapi sijui nini tower...kuna watu a tulishirikiana au walitusaidia kama si fedha basi hata ule mchango wa mawazo lakini na...
Wadau kuna baadhi watu wana uwezo mkubwa sana wa kujenga na kuwa na makazi yako lakini bado umalaya unawafanya waendelea kupanga.
Kuna watu wengine walishakolea ile tabia ya kutembea na...
Katika hali isiyokuwa ya kawaida kabisa, wazazi walimpeleka mtoto wao kike kwenye shule ya bweni akasome huko ili asipate bugdha huko mtaani. Sasa siku ya siku mtoto huyo wa kike akiwa katika...
Swali linalotaka jibu sahihi.
Kama Mwanaume anapata kila anachotakiwa kukipata kwenye ndoa kwa njia mbadala, kuna haja ya Kuoa?
Sex atapata nje
Mtoto atamzalisha mtu
Kufua kuna Laundry
Out kuna...
Habari za majukumu ndugu wajumbe wa JF.
Pasi na kupoteza muda niende kwenye maada moja kwa moja.. Ndugu yenu nipo kwenye njia panda.. je, ni yupi anaweza kuwa mke bora kati ya hawa wawili?
1...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.