Ndugu nipeni ushauri nina jirani yangu hapa tumepanga nae sasa yeye kila sku analeta demu na huwa anatumia vigra maana wanaanza mapenzi kuanzia saa nne Hadi asubuhi hapumziki na mimi hapa...
Ukipitia profile yangu utakutana na umri wangu.
Iko hivi, mimi kiukweli nimekulia katika malezi flani mpk nikiwa form six Moshi Tech mama alikuwa akiniita padre wa familia.
Sikuwahi kula mbususu...
Vijana wengi au watu wengi hili hulipuuza na kutazama hali nzuri ya anayetaka kumuoa au kuolewa naye.
Mara nyingi nimekuwa nikiwaambia vijana, "kuna dhahabu zimejificha kwenye tope", hadi...
SITAKUOA KWA SABABU NINAKUPENDA, BALI KWA SABABU UNASTAHILI KUOLEWA NA MIMI.
Anaandika, Robert Heriel.
Naweza kukupenda lakini nisikuoe kama haustahili. Ninauwezo wa kuutiisha moyo wangu ufanye...
Nimepitia mahusiano kadhaa, kiukweli linapokuja suala la kuheshimu hisia za mtu mimi nipo makini sana hii imekua ikinifanya niwe mwaminifu sana katika mahusiano yangu licha ya kupitia vishawishi...
Waliishi na mumewe kwa zaidi ya miaka 15.
Sasa wameaachana kwa talaka na hii ni baada ya wote kupima na mke akabainika hana maambukizi huku mume akiwa Hiv positive.
Nimeomba mzigo kasema fresh...
Habari zenu wadau?
Nafikiri baadhi yenu humu mmeoa na kuolewa ila kuna suala moja la wake zetu kufanya vitu ambavyo nitofauti kidogo hasa kwenye ndoa.
Unaishi na mwanamke kutokana na mazoea ya...
Vyuoni wangefundisha tu hii kozi ya women affairs
Jana nimechakata mwanamke boss mkubwa sana wa wizara fulani kaja hotelini na STK, dereva yuko nje anamsubiri mimi nillienda na bajaj nikaondoka...
Wakuu habarini za jpli natumahi mpo poa kabisa kama mh Sabaya anyway nije kwenye point.
Kuna ka demu kamoja kameamia nyumba niliyopanga kapo chul sasa kiukweli toka kameamia hapa ni nyumba...
Salama?
Muda huu ninapoongea mama mmoja ambaye nimezaa naye mtoto wa kiume amefika hostel kwangu na mwanangu huyu wa kiume. Nimelia machozi kwani tumefanana ila kiasi kafanana na mama ake.
Huyu...
Nilikutana nae mwaka 2018 tukawa karibu sana kuchat na kupigiana simu kila muda, Mimi nilivo nikiwa na relation na care sana asubuhi ntakujulia hali mchana na jioni ndivo nilivo
Huyu mchepuko...
Kuna demu mmoja ni kama RFK angu sana sasa amekuwa akimpondea jamaake kwangu Mara jamaa hajui mapenzi Mara aniombe ushauri kuhusu mapenzi yake lakini pia kama nikiwa nimempost demu yoyote status...
Yani ambao hatupo photogenic, tunaopiga picha kama tunalia na sura zetu personal tunanyanyasika sana, unawasiliana na mtu vizuri, ikifika kipengdle cha picha unashangaa ghafla mtu amebadilika...
Hakika mna kheri.Ma mkwe vijana imekuwa shida Sana,zamani walishindikana Kwa mdomo but now wameshindikana Kwa vyote...game wanataka wale na watoto wao...
Masimango na kuchagulia waume au wake...
Nadhani hii wengi imetukumba kama wanaume, unakuta umemkamatia mrembo kifo cha mende lakini yeye yupo kuchat Instagram na WhatsApp unajiuliza inamana hapa nacheza bolingo ama. Mbona namtia bakora...
Kuna pisi fulani ya kipare ilinikubali sana na mimi nilimwelewa. Tulishapiga sana romance, nimemtoa out mara kadhaa.
Siku moja usiku wa saa sita baada ya romance demu akataka game mimi nikakataa...
Wazazi wenye watoto wakiume.
Dunia imebadilika hii, wafundisheni watoto kazi za nyumban, kuna leo na kesho. Sio kazi za nyumban ziwe za watoto wa kike tu. Dada yangu kapata wageni shemeji zake...
Ni ukweli, baada ya juzi dushe kugoma kuamka nilikuja na uzi hapa ukisema mwanaume mwenzenu leo nimeaibika hatimae ile aibu nimeivua
Yes baada ya kushindwa kumfanya chochote yule mrembo Latifa...
Wanaume hebu kwanza tujadili hili jambo
Leo hiyi ukiomba mahusiano na mwanamke, awe mdogo au mtu mzima,
Likija suala la kufanya nae sex lazima hapo ajione u special wa mwanamke kana kwamba kile...
Wakuu naombeni msaada wenu, ni kijana ambae nimo bellow 27..., nmekua na wasichana tofauti kwenye mahusiano, ukiachana na hilo nina mmoja ambae niko nae very close.
Shida ni kua nmefanya nae...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.