Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Yaani bila aibu wala kujistukia kidogo, tena eti ananiita''mume wangu'', kheee!! Watu tupo bize na vita ukraine uko, yeye anataka kuanzisha vita yake na hela zangu!!! Pumbavuuu, kaona...
29 Reactions
117 Replies
5K Views
Kiukweli niko kwenye mahusiano serious na mwanamke mmoja ambaye ni mzuri sana tuu lakini pia kuna michepuko ambayo nayo ni pisi kali. Ishu ni kwamba huwa kuna vibinti vya kawaida tuu tena sana...
11 Reactions
65 Replies
6K Views
Kanuni kuu ya kuhonga inasema hivi: " MWANAMKE SIKUPI HELA KWA SABABU NINATAKA UNIPENDE ILA NINAKUPA HELA KWA SABABU 1. NINA KUPENDA 2. NINAJIPENDA. Kama una mpa Pesa mwanamke ili akupende...
9 Reactions
36 Replies
6K Views
Habari wanajamii forums, Ni uzi maalumu kwa ajili ya wale wote walio experience kupendwa na watoto wa kike, kikubwa nahitaji kufahamu kuwa: ✓Hawa viumbe huwa wanaonesha ishara zipi mpaka...
5 Reactions
60 Replies
5K Views
Tunaishi kwenye dunia ambayo kila kinachofanywa na mpenzi wako ni kwa ajili ya mpenzi wake wa zamani, mahusiano hayadumu siku hizi kwasababu tunawapata watu wanaowapenda na kuwakumbuka watu wao wa...
27 Reactions
39 Replies
4K Views
Habari wapendwa; Niende moja kwa moja kweny maada, mimi sio mpenzi sana wa kutumia mipira ya kiume kwenye kujaamiiana(condoms),ila kwa sasa baada ya kuugua UTI imenisumbua sana hadi nimepona...
5 Reactions
117 Replies
9K Views
Ladies and gentlemen, mliooa/olewa msaada wenu unahitajika hapa. Nikiwa kama kijana wa kiume ambaye sijaoa, nimeona si jambo baya endapo nitaomba utayari wenu muweze kushare nami experience...
1 Reactions
9 Replies
852 Views
Moja kati ya vitu ambavyo dada zetu huwa wanatumia kama kigezo cha kumpima mwanaume, ni kigezo cha mwanaume kutompaparukia kutembea naye ingawa wameshatogozana na kukubalina kuwa pamoja...
3 Reactions
49 Replies
4K Views
Wakuu poleni na msiba. Mimi ni Mkristo ilaa, navutiwa sana na wanawake wanaopenda kujisitiri miili yao, ndugu zetu waislamu dada zao wanajitahidi sana. Unajua bwana heshima ya mwanamke ni...
31 Reactions
144 Replies
12K Views
Hellow wakuu, Hawa wanawake hawa wanatuchezea sana akili, unamtongoza anaanza kula pesa zako mzigo hakupi, au anaweza kukupa mara moja kisha akakupiga parefu kymbe wakati huo kuna boya mmoja...
9 Reactions
71 Replies
4K Views
Habari Wakuu Hivi umegundua kwanza wanawake ambayo ni wife material hawako romantic kabisa yaani ata kukuita darling, my love ni ishu yaani[emoji23][emoji23]. Na wana aibu hao ata mkiwa kwenye...
14 Reactions
47 Replies
3K Views
Nimetoka 'out' na huyu bibie mfanyabiashara wa madini; baada ya kuingia kiwanja cha kwanza, tukapiga pombe kama bia 3 kila mmoja, tukahamia kiwanja kingine, pale tukapiga bia kama 5 kila mmoja...
5 Reactions
41 Replies
3K Views
Habari zenu wana JF, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 29 ni mkazi na mfanyabiashara wa Dar. Nimekua kwenye mahusiano na binti wa Kigogo (mgogo by tribe) nataka kuanza taratibu za kumtolea...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Kama upo kwenye mahusiano ya mapenzi yawe mapya au ndio yako ya kwanza chunga sana mdomo wako usiseme mambo haya kwa mpenzi wako 1. Hofu kuhusu uhusiano wako Katika kila uhusiano, uwe wa karibu...
3 Reactions
12 Replies
5K Views
Ndugu na rafiki zangu wa Jamii Forums, Naomba msaada katika jambo hili. Nina ndoa ya kama miaka kumi. Nina mume wangu ambae najua ananipenda, nami pia ninampenda. Miaka kadhaa iliyopita...
2 Reactions
346 Replies
51K Views
Salaam! Kama ilivyo ada natumai ni wazima wote. Ngoja niende direct kwenye swali, ni kwa nini wasichana wengi siku hizi ni single mothers? Je, kwa kuwa wanawake wengi hawataki kutoka kimapenzi na...
3 Reactions
275 Replies
19K Views
Ilikuwa Ni siku ya weekend jumosi Siku ilikuwa na hali ya hewa tulivu kama Dalili ya mvua kunyesha. Niliamka asubuhi na mapema nikafanya usafi wa mwili na mazingira, Nikanywa chai nzito, nikaenda...
3 Reactions
21 Replies
5K Views
Ahlan wa sahlan Kuna wanawake wa aina nyingi hapa duniani.Kuna baadhi ya tabia zao zikianza kujionesha katika mahusiano yenu jua kuwa taa nyekundu imeshawaka na yakupasa ushtuke na usepe mapema...
23 Reactions
154 Replies
9K Views
Ana watoto wanne kwa mkewe ,miaka saba iliyopita akaanza kufanya uchafu na binamu yake hatimaye wakapata mtoto, kama vile haitoshi akampitia mara kadhaa shemejiye mke wa kaka yake ambaye ni dereva...
1 Reactions
15 Replies
951 Views
Back
Top Bottom