Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Yaani utakuta mwanamke unapika kidogo tu mwanaume anafika jikoni kuangalia angalia kama msosi tayari sipendi aina hii ya wanaume aisee kwani ukikaa kusubiri chakula uko jikoni hakiivi na kama ana...
36 Reactions
231 Replies
13K Views
Habari za leo Wana JF, Nilishawahi kuwa na uhusiano na mwanamke kwa miaka mitatu, tukaachana ni mwaka sasa mi nishaoa na yeye inasemekana kashaolewa, kiukweli. Yule kiumbe amegoma kutoka kichwani...
4 Reactions
50 Replies
3K Views
Habari wanabodi, Ni miezi karibu minne tangia penzi langu na house girl wa nyumbani kwangu lilipochipua mithili ya uyoga kandokando mwa Oasis jangwani (Rejea post yangu hapo chini). Penzi langu...
17 Reactions
241 Replies
26K Views
Sopa mazee. Ipo hivi, mwanaume wakati anachagua mwanamke wa kumweka ndani kuna vitu huwa anathaminisha. Kuna baadhi ya wanaume huthaminisha ukubwa wa makalio, wengine umbo la miguu, wengine uwima...
3 Reactions
18 Replies
931 Views
Siku moja kundi la watu 500 walikua wamehudhuria Semina. Mara msemaji mkuu wa semina hiyo akaanza kumpa kila mtu puto (balloon), na kuwaambia kila mmoja aandike jina lake juu la puto alilopewa...
11 Reactions
17 Replies
2K Views
Katika harakati za kunasa warembo niliamua kufuga kuku kwangu ukawa ndio mtego mzuri nikipata mrembo namwambia nahamu na pilau kuku ila sijui kupika anakwambia nunua kuku mi namwambia kila kitu...
28 Reactions
249 Replies
33K Views
Sijakuibia mkeo nilimuokota jalalani mwa moyo wako. Unakumbuka kipindi kile ulipokuwa unashinda siku nzima bila hata kumjulia hali? OTEA? nilikuwa namkumbuka kila saa kujua kama yupo sawa na...
3 Reactions
4 Replies
877 Views
We are the sad generation with happy pictures. Read it again
5 Reactions
26 Replies
1K Views
Kichepe alizaliwa mtoto wa pekee, wazazi wake walizawadiwa shamba la mkonge na ma settlers wa Kigiriki. Waliliendeleza shamba na Kiepe alisoma Kenya tangu shule ya msingi, alikuja nyumbani likizo...
10 Reactions
13 Replies
2K Views
Samahani wapendwa, Mimi siyo mwandishi mzuri Ila naomba mnielewe kwa chochote nitakacho kuwa nimeandika. Kuna mwanadada nimekuwa na mahusiano naye toka mwezi wa kwanza,Naweza kusema mahusiano...
8 Reactions
115 Replies
12K Views
  • Closed
Toka hapo awali nilikuwa nina ndoto na hamasa ya kufikia mafanikio kwa kutatua matatizo ya Jamii inayonizunguka. Nilianza kupenda habari za anga za juu na Sayari KWA ujumla , nilijisomea kila kitu...
12 Reactions
57 Replies
4K Views
Kwa nini umeachwa? Kuachwa ni udhaifu mkubwa sana kwenye mahusiano. Kuachwa kunamaanisha hauko 'fit' kwenye baadhi ya maeneo. Ndio maana zamani, vijana walikuwa wanapelekwa jando / unyago...
3 Reactions
44 Replies
3K Views
Nilikuwa napiga soga kidogo na rafiki yangu aliyewahi kukaa Nchi za scandinavia na akanidondoshea hili: Ukiwa maeneo kama Finland, Sweden etc wanawake wanapatikana free, akimaanisha kwamba...
8 Reactions
136 Replies
28K Views
Utafiti mdogo ndoa nyingi au mahusiano mengi ya watu maskini kiukweli ni bora liende. Kuishi vizuri na mwenzio ni ufunguo wa mafanikio katika uhusiano/ndoa yenu. Ambao hamjaingia katika ndoa ni...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Hii tabia ya chafu ya kupeleka wenza nyumbani alafu wazazi wanamkataa mtu uliyempeleka imepelekea vijana wengi kuingia kwenye mahusiano ya ndoa na watu ambao sio machaguo yao na ndio maana ndoa za...
23 Reactions
101 Replies
10K Views
Kudumu kwa mahusiano kunategemeana na juhudi za pande zote mbili (mwanamke na mwanaume); na iwapo upande mmoja utalemaa, kuna uwezekano mkubwa kwa mahusiano kuvunjika. Baadhi ya juhudi...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Mapenzi yamenitoa machozi, Nimempenda huyu dada kiasi kwamba nikijishahuri kumuacha roho inaniuma, inauma sana. Nikimuona na wanaume wengine naumia sana. Hasa pale atakapokua akiongea na wengine...
23 Reactions
94 Replies
6K Views
WanaJF za siku nyingi. Kwa vijana nipeni shikamoo zangu. Nimewazidi wengi mno umri humu, niruhusuni niende kwenye mada sasa. Hili suala ninaweza kulitatua ila nahisi approach haitokuwa nzuri...
10 Reactions
90 Replies
5K Views
Niliwahi kuleta habari humu, hii: Ma shaa Allah, Bint wa Bill Gates kuolewa na Muislam Sasa yamekuwa kweli... Mtakufa navyo vijiba vya roho.
12 Reactions
113 Replies
12K Views
  • Closed
Habari zenu Nina mdogo wangu wakike umri ni early 20s, amemaliza chuo mwaka jana mpaka sasa yupo tu home Ana tabia yakupenda sana kuandika (vitu mbalimbali kwenye notebook zake) na kusoma vitabu...
9 Reactions
138 Replies
8K Views
Back
Top Bottom