Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Jua Ishara 11 za Mwanamke Anayekupenda, Lakini Anashindwa Kukueleza Kwa muda mrefu kumekuwa na wimbi la imani potofu kwa wanawake na wanaume kwamba mwanamke hawezi kumwambia mwanaume ukweli kama...
6 Reactions
30 Replies
17K Views
Wakuu, yuko wapi General Galadudu? Ni muda mrefu sana sijasoma post zake humu JF MMU. Ni muda mrefu sana sijasikia habari za "manati yake ya kizungu" na mambo mengine mengi. Mkuu General...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Naamini wengi wenu Ni wazima, binafsi ni mzimaa wa afya! Nisiwachoshe Wala nisijichoshe naenda straight kwenye mada. Leo nimewafikiria viumbe wa kiume, kwa kweli Ni VIUMBE wazito Sana kuishi nao...
30 Reactions
153 Replies
44K Views
Kanye West tangia ameachwa amechanganganyikiwa kabisa na juzi mahakama imempa ushindi kim kwa mama officially yupo single . Kanye anatishia kumuua huyo boyfriend wa Kim . Je. wewe unaweza tishia?
1 Reactions
57 Replies
4K Views
Ukiachana na m'push agenda Mr Liverpool juu ya suala la kutokuoa, sisi wanaume tuliopo kwenye ndoa tunahitaji pia kuishi ki'masta sana na uwezo wa kutathmini jambo kwa spidi ya 6G. Pointi ipo...
19 Reactions
123 Replies
7K Views
Shikamoni wanajamvi. Nilileta uzi kuhusu lile jima.ma langu ambalo limezaliwa India. Sasa nataka nilioe kabisa potelea mbali. Nataka kujua utaratibu kwa ufupi, wa mahari zao na vitu vingine vya...
2 Reactions
49 Replies
2K Views
1.Uke 2.Mapaja 3.Matiti 4.Kitovu 5.Hipsi 6.Makalio 7.Lipsi 8.Macho 9.Kiunonyigu Hivi ndio vitu ambavyo kimojawapo sisi wanaume hupenda.
4 Reactions
84 Replies
12K Views
Sijui hata nianzie sehemu ipi kuelezea na wana MMU mlivyo wavivu kusoma sired ndefu. Mama O alienda kwao kujifungua watoto mapacha huku kaka akiwa bize kutafta pesa, mama O kajifungua salama...
9 Reactions
86 Replies
4K Views
Tupo wilaya moja ila tunaonana weekend tu kwa sababu ya majukumu ya kazi. Leo wakati tunapiga story kaniuliza, Hivi unavyonipenda hivo na SIJAKUROGA siku NIKIKUROGA itakuwaje? Ukimya ulitawala...
20 Reactions
113 Replies
6K Views
Siku hizi kama ikitokea umetembea ( umefanya mapenzi ) na Wanawake kati ya Watano hadi Saba basi usishangae ambao wamenyoa ' mavuzi ' yao ni wawili au mmoja tu na ' sometimes ' hata hakuna...
6 Reactions
72 Replies
17K Views
Baba zao walikua maswaiba, katika kulinda mali za familia zao walipanga kuwaoza watoto wao. Binti hakuwahi kumkubali jamaa lakini kwake pia aliona ile ndoa ni life opportunity. Familia ya mume...
10 Reactions
57 Replies
4K Views
Baada ya kipind kile kuleta Ujinga wa kuniomba Kodi ya fremu kwa nguvu bila utu kipind ambacho nmetoka kuibiwa dukan kwangu, ikapelekea kuua kabisa Lile wazo langu la kumfungulia biashara yake ya...
29 Reactions
287 Replies
15K Views
Wanawake kuweni Serious Utakuta unamuomba mwanaume pesa hata kama sio mchumba wako kisa mazoea tu. Ukiombwa wewe inakuwa mengine. Siku hizi hali ngumu akuna cha mtu ambacho kinakwenda bure...
8 Reactions
23 Replies
2K Views
1. Matatizo ya kisaikolojia Watoto wanaweza kukabiliwa na matatizo mbalimbali ya kisaikolojia ambayo huathiri uwezo wao wa kujifunza shuleni. Baadhi ya watoto huzaliwa na matatizo haya huku...
3 Reactions
5 Replies
837 Views
Kama una rafiki wa moyo halafu rafiki huyo unapokuwa unapoteza muda kwa mambo fulani ambayo hayana faida na yeye hakushauri wala haoni kuwa ni vibaya angali anajua unapoteza muda kwa mambo ambayo...
3 Reactions
34 Replies
2K Views
Ni binti tu wa makamo ana miaka 19 tu nilianzisha nae mahusiano. Binafsi nashindwa kumuelewa mi nilianzisha hayo mahusiano kwa sababu ya kudinyana tu aswa ukizingatia kwenye kubadilisha Radha...
2 Reactions
66 Replies
6K Views
Kama hukujua, basi fanya modification kwenye chumba cha ndoa yako. Vitanda viwili huongeza msisimuko wa kufanya mapenzi pale mmoja anapotembelea kitanda Cha mwingine kwenda kunyanduana. Siku za...
19 Reactions
77 Replies
5K Views
Mungu awape maisha marefu wanaume wote duniani... Wanaume wana roho nzurii jamani.... Nianze na mwanaume mwenye familia yani kaoa...yeye anaenda kazini anamwacha mwanamke amelala anachomeka na...
177 Reactions
489 Replies
44K Views
Safari ya mahusiano huwa ni safari yenye mambo mengi kuna wakati mahusiano unaona ndio chombo kinachokupa amani ya moyo Na kuna wakati mahusiano unaona kabisa hayakupi furaha ya moyo mbaya zaidi...
1 Reactions
55 Replies
3K Views
Back
Top Bottom