Hello Jf
Natumaini mtasoma na kunipa ushauri kulingana na uzoefu wenu au maarifa kadili ya busara zenu. Nimeoa ninaishi na mke na nina mtoto mmoja!! Kifupi mimi ni mtu busy sana sishindi sana...
Wakuu naona mpooo
Nimerudi baada ya kimya kingi
Kiufupi baadhi yenu wanawake wa kitanzania mnatukatisha tamaa waoaji
Juzi kati nimepita mtaa fulani hivi nipo na gari yangu yenye bei kubwa kupita...
Naumia si kwasababu Mungu amekuchukua bali ni kwakua sikupata kuwa mume wako katika kipindi chote cha miaka sita ya ndoa yetu. Bado nakumbuka meseji yako ya mwisho uliyonitumia uliniambia “Mume...
Kwema wakuu
Sijui ni kwangu tuu au ni kwa wanaume wote yaani mimi mwanamke akiniomba hela namchukia hapo hapo nakasirika haswa sasa kuna mmoja alinijulia akaniambia sitokaa nikuombe tena hela cal...
Habari za mda huu wana JF,
Bila kupoteza mda twende moja kwa moja kwenye mada.
Fikiri kwamba wew mwanaume umeoa na unajijua kuwa huna uwezo wa kuzalisha na hujamwambia siri hiyo mkeo..
Ndoa...
Ni mgeni nipo Musoma mjini nilifika tangu jana usiku.Nikawa nimechukua chumba Lodge moja iitwayo embassy maarufu kwa shangazi iliyo karibu na stand ya zamani iitwayo stand ya Makoko.
Wakati...
Ndio, sisi wanaume wa kisasa hakuna sehemu yoyote kwa Sasa tunapofundishwa namna ya kuwakuna Hawa viumbe ambao ni mbavu zetu lakini tuna majukwaa kama haya ya kuelezana kidogo, sina maana ya...
Ni miaka 6 sasa sijawai fanya ngono peku (unprotected sex) na miezi 5 sijafanya ngono hadi wiki 3 zilozopita.
Demu niliyemangana naye nilipotezana nae miaka mingi nilipoonana naye nilimtaka tena...
Wakuu nitakua nakosea?
Ni binti niliekutana nae zamani kidogo tokea nasoma form four nilimuacha madarasa mawili nyuma, tulikua marafiki tu ni mtu ambae tumedumu nae kama rafiki na mpenzi kwa...
Eti wapendwa?
Maana kiukweli bila kupepesa macho upendo wa kweli wa muda mrefu hakuna yaan umekwisha...yaan asilimia kubwa upendo wa kweli umebaki wa siku moja tu siku ya mgegedo yaan baada ya...
Leo nmeamini hayo Maneno ya wahenga hapo juu baada ya kukutana na hizi sarakasi kutoka kwa Mchepuko wangu uyu wa siku zote mama J.
Ni HIVI,
Juzi jion baada ya mihangaiko yangu nlikwenda kwa...
Wajuzi wa mambo haya,
Naomba nirudi nyuma kidogo,nilikuwa mdogo bado nina kumbukumbu yapata miaka 29 nyuma. Nilikuwa na uwezo wa kuona vitu au kitu kibaya,au kujua ni lini tutapata wageni na...
Ujue kuna mambo mengine tunajitakia wenyewe. Hivi mwanamke unaanzaje kuishi na mwanaume miaka mi2 bila ndoa hata Pete ya uchumba tu hajakuvisha mnaishi pamoja miaka yote mi2. Hamtaki kuoana basi...
Habari wana JF....
Naamini most of mliopo na wasiokuwepo hapa... your weekend ilikua ni nzuri na your Loved ones are well and good...
Katika mahusiano ya Mapenzi kila moja hu wish kua angeweza...
Aisee nyie acheni haya mambo, kutokana kuwa karibu na watu na sehemu niliyopo kuna jamaa kutoka mkoa x alimuwezesha mke wake kufanya biashara fulani kwenda mikoa fulani, baada ya biashara kukua...
Nilikua nae kwa mda wa miaka mitatu tumebahatika kupata mtoto mmoja wa kiume amewahi, kuondoka nakurudi kwao mala 2 hii safari ya tatu. Kibaya zaidi hataki kupokea cm ananitukana matusu kwenye...
Awali ya yote nianze kwa kutoa pole zangu kwetu watanzania wenzangu kwa kuondokewa na aliyekuwa Rais wetu wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania, Dr John Pombe Joseph Magufuli. Hiyo ndiyo njia yetu...
I'm very spiritual man.
Kwanza hapo mwanzo bidada yule aliyeutesa moyo wangu nilipo mtamkia kuwa nampenda alinikataa.
Lakini kwa kiburi changu na Roho ya kutokukubali kushindwa niliamua Kufanya...
Siku mbili tatu hizi, nilitembelewa na mpenzi wangu; Kama mnavyojua tena, ukitembelewa na mgeni ni vizuri kumjali pamoja na kumtembeza maeneo mbalimbali ili aweze kufurahi.
Mnavyojua tena mitoko...
Nimewahi kuandika huko siku za nyuma makosa makubwa manne wafanyayo wanaume kitandani, ni makala ilipendwa sana na wote na ukienda kwenye blog yangu unaweza kuiona na kuisoma wakati wowote. Baadhi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.