Wakuu mimi sielewi
Nina mshikaji wangu mmoja kila tukikutana ni vizinga plus analalamika maisha magumu. Ni jamaa yangu classmate etc ila mpaka muda huu ana watoto wa 3, leo nmekutana naye tena...
Siku ya valentine ilianza kwa shamra shamra sana kwa upande wangu, Nilipokea zawadi za kutosha kutoka kwa wife,michepuko n.k
Pia na nikatoa zawadi za KUTOSHA kwa watu wangu wa karibu wengi tu...
Assalamu Alyekum!
Mwezi February ulikuwa mwezi wa wapendanao. Nikasema mwezi huo nitautumia kukutana na Mabazazi, washenzi, maharamia, wateka Manuwari na nyambizi, Pia nikakutana na wakata umeme...
anajieshimu
Msafi
anayo mahusiano mazuri na wazazi wake sana sana Baba
Anafanya mazoezi na kula vizuri
Anapenda watoto
Sio mbea
Avuti sigara,bangi,shisha na kunywa pombe
Sio king'ang'anizi...
Hello JF Members,
Nimekuja kidogo na channgamoto ya kifamilia, ukweli napitia kipindi kigumu sana kifedha imeleta changamoto nyingi sana kwa upande wa maelewano na mzazi haswa mama..ikafikia...
Swali ulijijisikiaje ulipogunduaa mume wako anakusaliti kwa mara ya kwanza?
Je ulifanyaje ukasahau na mkaendelea na maisha na upendo ukabaki pale pale?
Ilikuchukua muda gani kuizoea hiyo hali na...
Wacha niwape somo dogo kwa leo.
Kwa mtu unaempenda na kwa mapenzi unayoyapenda. Vipaji vyako,elimu yako,kazi yako,pesa zako,ujuzi wako n.k hivi vyote vinatakiwa kuwa mchango katika mapenzi yako...
Mfano, mpenzi/mke yupo kwenye kipindi cha uzazi mtoto kashafika miezi sita na zaidi lakini hajisikii kufanya mapenzi mara kwa mara,
Akikupa sana labda kwa wiki mara 2, je sisi wanaume tunaopenda...
Habari za weekend wadau,
Maisha yamebadilika sana kutokana na utandawazi na life style pia imebadilika na kufanya watu kutumia social network ku share kila kitu walichonacho au wanachopitia sasa...
Case in point, video za instagram na TikTok baadhi ya wadada Especially wa Marekani, wanajigamba kupewa hela nyingi na wanaume ndani ya mda mfupi, huku wakiwaona hao wanaume kuwa ni wajinga...
Hi,
WanaJF nimeboreka nimekutana na bonge la ufufu, mdada kaniletea kadi ya harusi nikampongeza, ila nikampa swali bwagizi, Best ndio utaolewa je unafahamu maana ya ndoa, naomba majibu nione...
Katika ulimwengu wa mahusiano fanya ufanyavyo ila hakikisha furaha ya moyo haitokani na mpenzi wako anavyo kutreat bali furaha yako ya moyo itokane na jambo lingine .
Kuna wakati yes unatamani...
Karibu tujadili hili, hivi inawezekana kama ambavyo kuna watu wana aleji na nyama, wali, panadol etc Je kuna uwezekano kuna kundi fulani la watu kwao mahusiano ya kimapenzi huwa chanzo cha...
Mwanaume ukiamua kujipenda wewe mwenyewe kwanza unapunguza hatari ya kula papuchi kwa gharama kwa asilimia [emoji817],hivi unajua kuwa muonekano huongeza uwezekano!?
Ipo hivi ukiongea hata kwa...
Ikitokea mkeo au mchumba wako anaanguka kwenye moja ya makundi hayo yafuatayo, upo tayari kumvumilia yupi kati yao.
Mwanamke ambaye ni rahisi kugawa uroda kwa kila mwanaume lakini ndani ya nyumba...
Kwenye kusaka mwenza utata ni mwingi Sana. Unaweza fika mahali ukahisi kuchoka kuhangaika kutafuta mwenza wa ndoto zako ili kupata alie Bora, matokea yake wote unaowachunguza kwa lengo zuri la...
Under which circumstances will you forgive CHEATING?
Katika mazingira yapi unaweza kusameheme kosa la kusalitiwa na mwenza wako? Mimi mahali pekee naweza kusameheme cheating ni kwenye wizi wa...
Wafundisheni yafuatayo:
1. Jinsi unavyoweza kumfanya mwanaume akakupenda na akaona wewe ndio kla kitu.
2. Jinsi ya kugegedana mpaka mwanaume alizike na astamani kwa mwingne.
3. Jinsi...
Hello,
Je waoaji na waolewaji wanafahamu na kupata maarifa ya kutosha kuhusu ndoa, why ndoa? Uishije ndoa? Road map ya ndoa inarejea msingi ngapi na ni zipi.
Usipojua haya huna tofauti na...
Hello everyone , how is yr weekeeeend going ? Okay, wakati wanachadema wakiwa na furaha na shamla shamla za kiongozi wao mbowe kurudi uraiani basi na mimi bila ya kupoteza muda wala kupepesa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.