Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Nyie kina dada acheni ujinga, kujidai na kujiona. Unakutana na mdada unamuelewa unamuomba namba ya simu, bila iyana anakupa namba, uki-beep kweli simu yake inaita, kumaanisha amekupa namba ya...
11 Reactions
106 Replies
8K Views
Kwanza kabisa wanawake omba omba sijawahi kabisa kuwa kwenye mahusiano nao,unajua kwanini huwa sitongozi kila mwanamke anayepita mbele yangu! Kwanza kabisa najijua mimi ni mwanaume wa aina gani na...
26 Reactions
71 Replies
5K Views
Kuna kipindi fulani nilienda Kahama kwa shughuli za kimiangaiko; kutokana na kuwa na marafiki wengi, nikaomba si vibaya kuomba 'appointment' na mwenyeji wangu mmoja anayeishi katika mji huo...
9 Reactions
55 Replies
4K Views
Nishawafuma watu zaidi ya mara moja ila hii ilikuwa ndio kali nilikuwa ndani ya jahazi toka mafia kwenda kisiju nilipakia abiria wakike na kiume safari ilianza saa sita usiku kumbe baadh ya abiria...
39 Reactions
247 Replies
69K Views
Kuna watu humu mnaniambia kuwa "na diss sanaa kuoa" ila ni kwamba kwa kipindi hiki cha millenial "Ndoa hazina maana tena". Hebu cheki hii familia. Hii ndoa ni ya jamaa namjua. Nipo Mkoani...
63 Reactions
203 Replies
15K Views
MK254 Hebu tumble huu uchawi wenu mmeupata wapi?
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Tulikua tunaishi maisha ya love Mimi wife na jirani yangu nae na mkewe, Mimi nilikua na mchepuko wangu sehemu siku moja ya jumapili ukaja tukaenda kufany yetu tumetoka chumbani mchepuko ukaniomba...
79 Reactions
125 Replies
12K Views
Habari Wakuu. Kichwa wa habari kihusike hapo juu. Nilifanikiwa kupata mpenzi ambaye ni raia wa Marekani na kazi yake ni mwalimu na tulikutana mtandao kwenye group la masuala ya elimu ya watoto...
2 Reactions
44 Replies
8K Views
Usimtumie meseji za userious sanaa Kama vile, mambo?"habri ya usiku"? Umelala??? Umekula?? Una mpenzi?? Unasoma?? Unafanya kazi? Unaishi kwenu ??aumepanga??? wee mtoto wangapi?? Miaka yako...
17 Reactions
24 Replies
38K Views
Kuna mpenzi wangu alikuja kwangu kunitembelea. Alikuja kulala kabisa. Sasa nilikuwa na condom za zaman kidogo kabla sijawa naye kimahusiano Huwa naweka Incase of emergency. Kwangu nilifanya usafi...
2 Reactions
23 Replies
2K Views
Leo baada ya kutoka katika mizunguko yangu nikasema ngoja niende nikamsalimie rafiki yangu yeye anafanya kazi katika lodge moja. Nilivyomcheki akaniambia bado yuko kazini nimpitie mzee nikatimba...
19 Reactions
121 Replies
21K Views
Sijui ni lini na mwaka gani niliwahi kungonoka na huyu binti, katika harakati harakati zangu Mjini si nikakutana naye, Zero IQ: Hi mrembo Binti : Hi Zero IQ: Samahani tunaweza kuzungumza kidogo...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Fumba macho kwa dakika 10 hapo ulipo, kisha tafakari yafuatayo:- Ni nani atakuwa na wewe, bega kwa bega ukiwa gerezani? Ni nani atakuwa na wewe, ukiwa kwenye ugonjwa mahututi? Ni nani atakuwa na...
8 Reactions
31 Replies
36K Views
Mimi ni kijana niliekamika sina shida yoyote kiafya na pia ni mtu wa mazoezi. Kiukweli miezi 6 nyuma nilikua ni mtu wa aina nyingine kabisa, baada ya kukaa na kutafakari kwa kina kuhusu...
6 Reactions
45 Replies
4K Views
Nimemaliza chuo lakini nmekosa kazi hivo naishi kigetogeto Tatizo nililo nalo nikwamba nazidiwa na mihemko ya kimapenzi sina uwezo wa kuchagua mwanamke; mwanamke yoyote mbele yangu mi namuawanzia...
3 Reactions
64 Replies
6K Views
Hapa mtaani best anapiga mitungi, mume wake hapendi kabisa anywee bar hivyo mwisho wa mwezi kuna cret la mama linawekwa store. Weekend hii bibie ameamua kunywa bia zake, mume aliporudi anamkuta...
13 Reactions
72 Replies
7K Views
Wakuu Dunia nzima ikiungana dhidi ya Putin Jambo la kushangaza sana ni kuwa shem wenu anamsupport kwa moyo mweupe. Ni jambo la kusikitisha kwamba kwa jinsi alivyo anasupport ukandamizaji wa...
10 Reactions
68 Replies
3K Views
Maisha ya mahusiano ni matamu sana, kama utapata mtu sahihi. Na utamu wake, muwe mnasikilizana; na sio kumfanya mtoto wa mwenzio kuwa mzazi wako, kwa kumbebesha majukumu ambayo hata wazazi wako...
5 Reactions
33 Replies
2K Views
Hello JF members Mugona Vihi? Niende kwenye story, Mimi ni Mkristo, ila katika maisha yangu na safari ya mahusiano, macho yangu na nafsi yangu imetokea nawapenda na navutiwa sana na wadada na...
2 Reactions
23 Replies
2K Views
Ndoa zinakuwaga na Mambo yake wakuu. Kuna muda uneza tofautiana na mpenzi wako Hadi ikafika point mkanuniana kbsa Hakuna anayetaka kumsemesha mwenzio. Wanaume wengi tunakuwaga hasira nyingi Sana...
8 Reactions
36 Replies
3K Views
Back
Top Bottom