Huyu dada anadate na wanaume 2 tofauti.Mmoja ana hela afu mwingine naye kapuku Hana mafaranga Ni wa kuunga unga tu.
Sasa huyu dada alijichanganya akastukia ameukwaa ujauzito wa huyu mwana...
Kuna hii dhana potovu ambayo imekithiri katika jamii nyingi za kiAfrika kwamba "hakuna urafiki usiokuwa wa kimapenzi katika ya mwanaume na mwanamke.Ukiona hivyo Basi lazima mmoja wao anakubali...
Parents of these days are not joking !!!! Look at this application form, how many fresh university graduate from TZ will pass it?
APPLICATION FORM TO MARRY OUR DAUGHTER: FILL THIS FORM IN YOUR...
Huyu kijana ni mhangaikaji sana, anaingiza bidhaa kutoa DRC, China hata Kenya na anauza vizuri tu kwani analeta vitu vinavyokubalika na wengi. Hivi vyote haviji bure jamaa ana hangaika sana...
Nawasalimu wana MMU.
Back to the topic,
Nina wapenzi wawili, mmoja ni pisi kali haswaa kama wanavyosema watoto wa mjini yaana naona fahari sana kutoka nae maeneo mbalimbali ya starehe hata...
Tanaka ni dawa inayotokana na uchafu wa hedhi,kucha za miguuni,kitambaa kilichofutiwa manii baada ya kujamiana, nywele za kwapani na uvunguni, kunde maiti, maji ya maiti na kitovu cha mtoto...
Hivi vitambi mnavyoviachia achia hovyo vinaharibu sana muonekano.
Hivi mbona gym zimejaa sana huko mitaani mnashindwa hata kujiongeza mkajoin ili kujiweka fiti.
Umri unavyozidi kwenda na mwili...
Watu wanapendwa asikwambie mtu, lakini wewe unatendwa na kupondwa.
Wanaumeeeeee! Mpo? Mwenzenu anapendwa mpaka anawekwa kwenye bango lakini wengine hata kwenye phonebook hampo ama mme-seviwa...
Habar za kaz wadau hope all is gone well Mungu anasaidia january inakatika io ebu twende ndan ya mada
Nipo katika mahusiano na girl mmoja hivi kwa almoat miaka miwili sasa mapenzi yetu...
Nimewahi kuwa na mahusiano na mdada mmoja kutoka kwao alikuja kanda ya ziwa kwa ajili ya masomo katika katika harakati zangu tukakutana nikamfikishia langu la moyoni akanielewa japo ilichukua siku...
Wakuu,
Ni ukweli usiopingika kua kwenye swala la ndoa wadada wengi hupenda kuolewa na wanaume wenye umri mkubwa mara nyingi kuanzia mwanaume mwenye 30+ adi 45.
Wanaume/wavulana wenye umri mara...
Mimi huwa naiona sheria kama lidudu fulani baya hivi, ukiliendekeza lazima likuume.
Huwa haliwaachi watu salama, lazima limpendelee mmoja kati ya wawili wanaoshindana kwa kisingizio cha haki, na...
Habari za Asubuh.
Nimeona post hii kwenye account ya BBC swahili.
Ndoa ni muhimu, na huwa muhimu kwasababu ni kitu kinachowaunganisha mume na mke na kuanzisha familia, na huleta baraka nyingi...
Aisee kuna binti mmoja hapa mtaani kwetu wakishua sana nimetokea kumpenda sana lakn kila nikimpa Hi haitikii.
Kitu hicho kinaniumiza sana wadau.lakn leo asubui natoka senta naelekea home nikaona...
MASTURBATION:
Please don't sleep or go to bed without reading this special message, trust me you will be helped and your life will change for better.
THE GREATEST DEMON ON EARTH.
IF YOU...
Mwanaume mmoja huko Nairobi Kenya alifanyiwa surprise ya mwaka na mkewe akishirikiana na wanawake 4 anaotembea nao mumewe.
Ilikuwa siku ya Valentine mke akapanga mipango na wake wenzake ili...
Kamati imewazawadia maharusi zawadi yenye thamani ya 59,000 lakini shangwe lake usipime, nakubali ndio uwezo wao ila najiuliza kama wangekuja na ufunguo wa Passo ingekuje?
Si mara moja ua mbili umewahi kusikia wachumba wametengana hivyo kukatisha ndoto yao ya kuwa wanandoa.
Uchumba kuvunjika ni moja ya masuala yanayozungumzwa na kuikumba jamii kila kukicha ingawaje...
Wasalaam ndugu zangu. Baada ya kuingia chimbo la takriban miezi kadhaa nikifanya tafiti mbalimbali, ghafla nikajikuta navutiwa sana na utafiti juu ya hili jambo.
Ni jambo moja nyeti sana ambalo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.