Ukijiona umemfanyia yote mpenzi wako na bado unaonekana hukizi, hutoshi,hupendwi kiufupi mambo bado, wala usihangaike anza kuchunguza tabia za baba yake, ukiona baba yake huwa mkali sana kwa mkewe...
Tarakimu hii "12",imenifanya niukumbuke mwezi wa kumi na mbili mwaka jana katika moja ya mtaa niliokuwa naishi nilikuwa na washkaji zangu kadhaa ambao tulipata kufahamiana katika jioni...
Nahisi nina matatizo au sielewi ni mgeni sana wa haya mambo. Iko hivi, mwanamke nikimsaundisha ikizidi wiki mbili sioni muelekeo namkaushia.
Mimi ni wale wanaume ninaeamini katika "love at first...
Kuna watu wamekua wakiuliza mara kwa mara kama inaruhusiwa kushiriki tendo la ndoa mpaka umri gani wa mimba au ni sahihi kufanya tendo la ndoa kipindi cha ujauzito? mwanamke akiwa na mimba...
Nimechoka kufatwafatwa pm watu wakiniuliza kuwa nawezaje kuishi bila mapenzi!,Sasa nimeamua nije nijibu swali hili hadharani kwa manufaa ya wote.
Mapenzi yamekuwa ni mwiba kwa baadhi ya watu tena...
Sijui ni tatizo, sijui ni kawaida, sijui naendekeza sijui, zamani nilihisi tu mambo ya u-teenager wala sikuona kama ni ishu, baadae nikahisi pia labda ujana tu ugali wa bure unakimbilia chini...
Wanajamvi mu hali gani?
Ni usiku wa jana tu haya yamenipata, mke wangu ana mtoto japo kashaacha kunyonya, muda mfupi uliopita, jana usiku akaniandaa safi tu, mimi siwezi kufanya mapenzi na mke...
Niwasalimu ndugu zangu kila mmoja kwa nafasi yake, leo niwape kwa ufupi mambo yanayofanyika pale swimming club-Rskazone Tanga
Siku za wikiendi, hasa jumamosi na jumapili utakuta nyomi la watu...
Wasalaam, bila shaka muwazima na mnaendelea vema na majukumu ya usiku hapo kitandani. Bila shaka wengi wetu tuna mahusiano ya kimapenzi na watu ambao kutokana na mihangaiko ya maisha wamesambaa...
Kutokana na dunia ya sasa ilivyo napendekeza wanaume tuanze kutoka na wanawake wa kishua au vipi? Wengi wana upendo wa kweli na nimeona hili.
Kaka mkubwa Usangelola heshima yako! Nimeku+acknowledge!
Huu ni utafiti usio rasimi lakini kuna ukweli ndani yake
Mwanamke aliye kwenye ndoa anakuwa na wivu wa juu kwa mwanamke mwingine hasa mke wa mtu kwa asilimia 90% hasa akibaini anatembea na mume...
MWANAMKE MPUMBAVU HUPIGA KELELE.
Kabla hatujatafuta mchawi wa mahusiano yetu, tunapaswa kujichunguza sisi wenyewe kwanza tupo sawa au tuna shida mahali ila hatujui kama hilo ndilo linatufanya...
Wakuu habari za weekend.
Mwaka 2001 nilikuwa Kijiji fulani nafanya kazi ndo first appointment na nilikuwa sijaoa,kutongoza sijui na nyege kama zote Hadi zimevunda.
Nilipokuwa ninakaa palikuwa na...
Kumekuwepo na visa vingi vya watu kujiua kutokana na wivu wa mapenzi.Hili huwa linaniuma sana hasa inapotokea mwanamke amejiua kwa sababu mume amechepuka
Kwanza tujue chanzo nini nini mwanaume...
Mwanzo Mimi binafsi nilikuwa nafanya kazi na taasisi fulani ila badae mwaka 2017 ilifunga shughuli zake nchini Tanzania.
Nikapoteza kazi na nikawa muda mwingi nipo nyumbani napanga mipango ya...
Miezi kadhaa imepita baada ya mke wa jirani yangu kumfumania mme wake akiwa na mchepuko lodge fulani hapa mjini
Baada ya fumanizi mke wa jamaa aliapa kuwa lazima atalipa kisasi mbele ya mme wake...
Umofia kwenu!!!!!1
Kwanza kabisa niwatakie heri ya mwaka mpya 2022, ni muda mrefu kidogo nimekuwa ndugu mtazamaji lakini kwa leo naomba nilete hili kwenu.
Kwanza kabisa ijulikane taasisi ya...
Mithali : Mlango 9
13 Mwanamke mpumbavu hupiga kelele,Ni mjinga, hajui kitu.
Watu wote wanapoingia KWENYE ndoa hutarajia furaha, amani, upendo na faraja.
Nyumba ni ya Mama. Mwanamke ni mwerevu...
Habarini!
Ndoa ya ndugu yangu wa damu (kaka) imeingiliwa na kirusi hatarishi, maji yamezidi unga. Alimuoa binti (mke wake) kigori kabisa, na kwa utamaduni wetu, hili huwa tukio la heshima kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.