Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habari wasee! Ni Dakika Chache tu before sijaandika uzi huu mshikaji wangu ametoka Kugombana na Manzi wake kisa tu Hampigii simu mara kwa mara. Mshikaji anaishi Mwanza na Demu wake yuko Chuo huko...
6 Reactions
47 Replies
3K Views
Hapa nilipo na mawazo mengi sana nimeona niletee humu jukwaani kidogo mnisaidie angalau kwa usahuri na mawazo wakuu. Kuna msichana niko naye kwenye mahusiano ni mwaka wa pili sasa, tunapendana...
4 Reactions
33 Replies
2K Views
Hizi kazi za ukinyozi zina tabu sana, Nilikuwa nishamzoesha kumnyoa kila anapoitaji huduma ya kunyolewa. Ni muda nilikuwa sijamtekelezea huduma yake baada ya kubanwa na majukumu mengine ya...
2 Reactions
15 Replies
36K Views
Tangu tuachane na mpenzi wangu wa kinyaturu johari namtafuta kwa kumpigia simu hapatikani hewani. Ni miezi miwili sasa hapatikani. Nini kimemkuta Johari wangu huko singida jamani, aliyeko singida...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Habarini wadau, kwa aliyepo Bagamoyo tujuane nipo Empire bar hapa. Turudi kwenye mada yawezekana ni ushamba wangu au umri umenitupa mkono, ila naomba kujuzwa hivi mnaonyonyana ndimi huwa mnasikia...
17 Reactions
638 Replies
34K Views
Wakuu hapa majuzi kati wakati natoka job naelekea hom majilan fulani hivi ya jion nipo zangu kwa miguu Mara Kigari kikanipigia honi na kusimama kikitoa ishara niende Basi nikasogelea hadi hapo...
13 Reactions
111 Replies
9K Views
Hellow Ladies ( duuh kingereza si mchezo ni salamu tuu hadi nimesikia njaa). Basi Leo wana jf wenzangu nikiamini kila mtu ni 18+ , tuwekane sawa baadhi ya vitu. Hivi kwa nini wadada siku...
19 Reactions
61 Replies
6K Views
Mimi ni kijana wa miaka 33 sina mke wala mtoto mpaka dakika hii na kila jambo ninalopanga linayeyuka na sio kwa mahusiano tu hadi mipango yote ya kimaisha. Kwa kweli naumia sana tafadhali...
10 Reactions
88 Replies
5K Views
Habari za muda huu wadau? Hongereni kwa mfungo na Allah ajaalie uwe ni wenye manufaa. Miaka mitatu na na miezi mitatu iliyopita nilijaaliwa kufunga ndoa na mke wangu kipenzi, yeye hakuwa...
55 Reactions
364 Replies
27K Views
Kuna binti mmoja ninae kwenye mahusiano ya kimapenzi kwa mwaka sasa. Nikasema kama itampendeza Mungu mwaka huu nimpe binti bahati ya kuwa mke wangu Leo amekuja kwangu baada ya kupata ruhusa toka...
11 Reactions
219 Replies
23K Views
Japan ndiyo nchi ambayo watu wake hawapendi ngono zaidi hapa duniani. Nusu ya wanawake wenye umri wa miaka 34 ni mabikra, na kwa upande wa wanaume wenye umri huo ambao ni mabikra ni 43% . Kwa...
2 Reactions
72 Replies
10K Views
Ndugu zanguni, Nimeamini unapomkopesha ndugu au rafiki fedha, nikujiletea uadui,au chuki labda uamua kumpa. Imenitokea mimi kuna ndugu yangu alinikopa fedha, na kuniambia atairudisha mwisho wa...
1 Reactions
58 Replies
9K Views
Ifahamike kwamba mapenzi ni muunganiko wa watu wawili katika kupendana kwa dhati na sio muungano wa sehemu za siri, hili si la kupuuza maana ndio uhalisia huo. Kuunganisha sehemu za siri...
2 Reactions
51 Replies
3K Views
Mwanamke hajapigwa hajafukuzwa katoroka mwenyewe karudi kwao unatakiwa ufwate utaratibu gani ili asije akanisumbua baadaye? Mathalani ukitaka kuoa asije akaweka pingamizi au akalazimisha mgawane...
16 Reactions
85 Replies
7K Views
Wengi nadhani sio wageni na mimi Per Diem maana kwenye jukwaa la Hoja na Habari mchanganyiko nimekua nikiweka post nyingi za mimi nilivyokuja Norway, maisha ya huku na mambo mengine mbalimbali...
17 Reactions
73 Replies
5K Views
Hii si kauli ambayo anaweza kuitoa mgeni wa mapenzi au aliedumu kwenye ndoa yake au na mpenzi wake. Maneno haya yanasemwa na wazoefu waliopitia kila kona za mapenzi pengine wameoa au kuolewa...
13 Reactions
46 Replies
4K Views
Huu ni muda mfupi katika ndoa, lakini bado ni muda mrefu pyschologically, physically na emotionwise katika harakati ya kuishi wawili na mtu mlio kutana nae ukubwani. Bado nina mengi ya kukutana...
42 Reactions
92 Replies
6K Views
Kwema ndugu zangu? Jamani haya maisha yaacheni tu yaitwe maisha. Kuna sehemu nina kabiashara kangu ka kuzugia ili siku ziende hapa mjini. Sasa kikawaida asubuhi huwa namuacha kijana wangu...
33 Reactions
65 Replies
5K Views
Salaam!! Ee bana eeh haya maisha bana mambo hubadilika anytime Nakumbuka enzi hizo nikiwa chuo kikuu nilikuwa na rafiki ambae urafiki wetu naweza kusema ulifikia level za undugu kabisa, ni rafiki...
10 Reactions
18 Replies
2K Views
Sijui kama niwe na hasira au kawaida tu maana pengine mimi naweza kuwa nime mind lakini kwa wengine ni jambo la kawaida sana. huyu dada tupo naye ofisini.. ni dada mzuri kwa sura ,rangi na umbo...
20 Reactions
128 Replies
14K Views
Back
Top Bottom