Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Kwa ukweli mke wangu kaaamua kuniacha na kuondoka kwenda kwao . Ni mkasa mrefu sana ila tatizo sio kuenda kwao tatizo ameindika na watoto wangu 2 mmoja miaka 7 na mwengine 3 nimemuambia anipe...
5 Reactions
25 Replies
2K Views
Moja ya dalili za mwanaume aliekomaa kiakili ni yule ambae mtakosana kwa jambo dogo lakini baadae atakupigia simu na mtaongea hatakasirika siku nzima .. Kwa sababu anajua yeye ni mwanaume ...
5 Reactions
29 Replies
2K Views
Ni kwa mujibu wa mSaikolojia Dr Satoshi Kanazawa Mwanaume ambaye humasaliti mke, mpenzi au mchumba mara ngingi huenda akawa kati ya watu wenye akili ndogo sana (Lower IQs) Hii ni kwa mujibu wa...
2 Reactions
53 Replies
3K Views
Sio mnawazoesha ujinga halafu wanakuja kutusumbua wengine.🤣🤣🤣🤣
1 Reactions
5 Replies
573 Views
Salaam Kutokana na sababu mbalimbali zilizo nje ya uwezo wangu, kuna haja ya kuwa na wake wengine hata wawili au zaidi. Najua kila mtu ana kasoro zake akiwemo huyu niliye nae. Kasoro za aina...
6 Reactions
25 Replies
2K Views
Kama kichwa kinavyojieleza hapo, me kijana wa hovyo niko na swali Hivi inawezekana kweli kwa kijana wa kiume kujipatia mademu zaidi ya mmoja ndani ya wiki moja?.. Yaani kutengeneza uhusiano na...
1 Reactions
31 Replies
2K Views
I hope mko poa humu,jana katika harakati zangu huwa napenda kuongea sana na watu wapya.Basi, kuna sehemu nikawa nimekaaa na kijana mwenzangu tukawa tunapiga stori mbili tatu. Katika mazungumzo...
3 Reactions
37 Replies
2K Views
Sasa hivi kumezuka mtindo wa wanawake kutugeuzageuza Kama tunachomwa sisi ni chapati. Mahitaji yao ya kuridhishwa kingono na kimaslahi yanaongezeka na kubadilika kila kukicha. Zamani MAPENZI tu...
46 Reactions
105 Replies
12K Views
Habari wandugu, Hii taasisi ya ndoa naona inahitaji maboresho makubwa kuendana na wakati kwani kwa sasa mitazamo na tabia za watu zimebadirika sana. Hivyo kubaki na taasisi yenye misingi ile ile...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Una umri wa kutosha wa kuwa na rafiki wa karibu wa jinsia tofauti. Ungependa kumpata mtu anayevutia na aliye na imani kama zako za kidini. Hata hivyo kila mara unapojaribu kuanzisha uhusiano...
0 Reactions
1 Replies
508 Views
Mimi ni mmoja kati ya watarajia wa kufunga ndoa 2022 ila mpaka sijui life litakuweje maana sina kibarua cha kueleweka , mahali bado sijajua ukweni wataniambia ngapiii nitoe Kuhusu gharama za...
4 Reactions
42 Replies
3K Views
Utafiti uliofanywa na Oakland University unaeleza kwamba Watu wanaowageuza Wapenzi walioachana nao (Ma- EX) kuwa Marafiki zao wa karibu mara nyingi huwa na uwezekano mkubwa wa kuwa na matatizo ya...
3 Reactions
28 Replies
3K Views
Moja ya mambo ambayo nimekuwa nikiyapinga na kuyakemea kwa ukali ni hili la ushoga. Hivi inakuwaje mwanaume kamili kumtamani mwanaume mwenzio? Unapataje hisia na kumchakata mwanaume mwenzio? Ni...
8 Reactions
126 Replies
16K Views
Uhusiano Imara na wenye nguvu sio tu unakufanya kuwa Binadamu bora bali pia husaidia kukuimarisha Kihisia. Wakati wa kujenga uhusiano na Watoto wako, waambie unawapenda mara kwa mara Ni muhimu...
8 Reactions
3 Replies
2K Views
Ndani ya nafsi ya Kila mwanaume zimewekwa taarifa kuhusu mwanamke anae tamanisha, hamasisha na kuvutia kufanya nae sex. Kuna mwanamke ukimuangalia tu unajua yupo vizuri kitandani. Mtazame Aunty...
7 Reactions
31 Replies
2K Views
Posa ni kitu chenye thamani ambacho hutolewa katika familia ya mwanamke na kundi la watu wenye lengo la kuthibitisha uwepo wa ndoa kutoka kwa mwanaume. Katika karne hii ya 21, kundi la wazandiki...
0 Reactions
2 Replies
968 Views
Habari Wana JF? Kiufupi mimi ni baba wa familia, nimejaliwa mtoto mmoja. Twende moja kwa moja kwenye mada. Nyumba ninayoishi nimepanga wapangaji tupo wanne hakuna bachela, sasa kimbembe kuna...
10 Reactions
50 Replies
6K Views
Sitaki tena vurugu za mapenzi. Ntajihamasisha kuangalia vitu vyengine zaidi, mapenzi nitawaachia magwiji. Sitaki tena kuutoboa moyo wangu kwaajili ya mapenzi,fujo nilizozipata mwaka huu 2021...
26 Reactions
133 Replies
6K Views
Zamani wanawake wenye vitambi nlikua sina hata mzuka nao, nikishakuona mbele umevimbavimba tu unakua tayari umeshanikata stimu, sijisumbui hata kuomba namba ila sasa hivi upepo umenigeukia. Yaani...
16 Reactions
209 Replies
13K Views
Mwanamke akinipendea urefu, macho, sura naona sawa kabisa, ila akiwa na mm kwasababu anaona nina vijisenti kadhaa, sio siri roho yangu huwa inajisikia vibaya Sana, na huwa nakereka nikigundua...
7 Reactions
23 Replies
2K Views
Back
Top Bottom