READER DISCRETION IS ADVISED
Wivu wa mapenzi kwa sasa tunaweza kulinganisha na ajali za barabarani kama vyanzo vya vifo kwa ndugu, jamaa na marafiki zetu. Serikali inafanya Jitihada kudhibiti...
Faida za kujamiiana
1.Kuwa na mpenzi ambaye ni rafiki yako ni jambo zuri sana katika mahusiano. Kuwa katika mahusiano pasipo kufanya mapenzi na mwenza wako ni kama tu kuwa na rafiki yako...
Tulianza vibaya mwaka mpya na Ma msapu. Kisa kidogo tu nilimwambia sitoweza kumsaidia jambo ambalo yeye aliona ni muhimu nami nikasema sio kama vipi nipe muda.Alikasirika akaniambia hiyo ndio...
Hello wanaume wenzangu kokote mliko. Nawaasa sana kokote mliko
Kama una familia ama hauna unaweza kuwa nayo after some time Kuna vitu katika haya maisha si vya kuweka katika miliki ya mwanamke...
Kuna vitu viwili napenda niviongelee hapa.
1.EMOTIONAL CONNECTION
2.CHEMICAL BOND
Sasa lengo la kuwa romantic mwanaume kwa mwanamke ni kutengeneza EMOTION CONNECTION, sasa what does it mean...
Nashangaa hivi UKIMWI upo kweli au ni story tu?
Mimi kwa kuuza Mechi ni hatari, nimeuza zaid ya mechi 30 za ugenini na nyumbani, za angani na kitandani,
Nikaamua tu nipime
Nimejikuta safiiiii...
Habari humu ndani?
Kwa kweli ashukuriwe sana alieanzisha JF
Maana kuna muda unatamani kuongea you dont know mtu wa kukusikiliza. Ila JF inasaidia sana kufanya wengine tutoe yanayotuumiza mioyoni...
Mimi si mwanachama na mchangiaji sana huku MMU, lakini hata bubu aking'atwa ataongea hata neno.
Huku kuna walimwengu wa maisha halisi ya kibantu.
Hadithi ni ndefu lakini nitaifupisha.
Nina mke na...
Huu ni ukweli bila chenga kwamba mwanamke anataka VYOOOOTE
MAPENZI, CARE, ATTENTION, SIM NZURI, GARI ZURI, MUDA WAKO, KUBEMBELEZWA......
Mwaka anayaweza kwelikweli
Inawezekana wakati unamuoa/kuolewa naye ulikuwa na mategemeo lukuki ambayo kwa bahati mbaya huyaoni katika Manisha halisia ya ndoa!
Umewahi kujiuliza kama unatimiza mategemeo yake kwako ya kabla...
Wanawake tunawapenda. Wanatupa mazuri mengi, wanatufariji, wanatutia moyo kusonga mbele, wanatupa utamu kila tunapotaka kwa kweli viumbe hawa wanatufaa sana sana bila hawa sijui tungeishi vipi hua...
Habari ndugu zangu mimi kwakweli nakrekwa na tabia ya mke WANGU.
Yaani mke wangu ni mchoyo na ananifanyia uchoyo Hadi Mimi mtafutaji. Muda wa kula anataka kila mtu ale kivyake kama mboga ni nyama...
"Sababu zinazopelekea wazazi kutoelewana na wakwe zao, ni pamoja na matarajio ya pande zote mbili, wazazi wengi wamekuwa wanatarajia wakwe zao wawe na mwonekano fulani au na tabia fulani."...
Una mtu wako hujamuoa ila mpo mna muda mrefu ila umemchoka kabisaa
Ila anakupenda sanaa kias kwamba umejarib jaribio la kwanza la kumuacha imeshindikana yaan. Amekua hadi depressed kabisa .kula...
1. Hug them.
2. Write a love note.
3. Call them at work just to say "Hi."
4. Give them a foot massage.
5. Tell them a joke.
6. Caress them with slow gentle strokes.
7. Go for a walk with...
WOMAN & LOVE
What really makes a woman to love a man?
In case of emotions, it is infatuation.
In case of economic stand, it is money.
In case of loneliness, it is company.
In case of...
Kama heading inavyosema,bila kupoteza muda,ni mbinu gani ulitumia kula tunda kwa mwanamke/msichana uliyemtongoza kwa muda mrefu bila ya mafanikio?
Binafsi nilitongoza demu kwa muda wa miezi 3...
Usiku kwenye daladala, saa ya simu yangu inaonyesha ni saa 4:47. Najilazamisha kuacha kusinzia, mara nasikia sauti za wanawake wawili wakizungumza viti vya nyuma yangu… stori zao zinanisaidia...
Heri ya mwezi mpya, ni jambo jema kuiona siku mpya na mwezi mpya.
Kuna hii tabia ya vijana wa kiume kuogopa kutongoza hasa kwa kuhofia kua watakataliwa. Kwanza ni kosa kuhofu au kua na mawazo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.