Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
1. Kusomesha mchumba 2. Kujenga nyumba kwenye kiwanja cha mwanamke/mke wako. 3. Kuweka jina la mwanamke/mke wako kwenye umiliki wa mali. 4. Kutunza fedha kwenye akaunti ya mwanamke/mke wako...
6 Reactions
34 Replies
6K Views
Mwanamke akikupenda anakuwa na furaha, anakuwa anajivunia kuwa na wewe, na hujihisi furaha kuongea na wewe. Hupenda awe rafiki wa rafiki zako na ndugu zako, uvipendavyo na yeye atavipenda...
5 Reactions
12 Replies
3K Views
Dunia imejaa upotoshaji. Na jambo Moja ambalo limepotoshwa na kuzani kuwa ukimhudumia mwanamke na kumpatia pesa nyingi ndio silaha ya kumtuliza. Huu ni uongo mkubwa na ndo maana Kila Leo Kuna...
6 Reactions
19 Replies
1K Views
Habarini wakuu i hope mko poa, Aisee hivi karibu nimekuwa na mahusiano na mdada mmoja hivi tumejuana facebook tukapeana no tukawa tunachart siku ya 1 ya 2 ya 3 nkamtongoza kakubali Sasa huyu...
1 Reactions
24 Replies
5K Views
Habari, Nimekua na mahusiano na huyu binti kwa muda wa miaka mitatu sasa ila jana ameniambia maneno ambayoa yamenifikirisha sana na kunifanya nisipate usingizi jana. Jana jmos asubuh tuliongea...
7 Reactions
193 Replies
14K Views
Chanzo cha kuandika haya ni utafiti wangu binafsi why nilikuwa naishia kamoja tu? Katika kuzunguka zunguka kwangu nikakutana kabinti fulani tukawa marafiki tukajihusisha katika mapenzi motomoto...
5 Reactions
21 Replies
3K Views
Yaani wadada wa siku hizi sijui wakoje, wanakeraaaa. Unakuta dada mzuri ajabu, shepu shepu, nyuma ana kifurushi cha haja mweh, kuja mbele sasa, chevuuuu, tumbo hilo! Uzuri wote chalii! Tatizo...
12 Reactions
664 Replies
66K Views
Hili halina ubishi tabu inayopatikana ni ya nguo kuchanika, hawa wanaojulikana mawifi inakuwa mtihani katika ndoa japo na wao huwa ni mawifi, yaani inakuwa hapaeleweki, embu wadada tupeni elimu...
7 Reactions
114 Replies
8K Views
Kujichua a.k.a kujichezea a.k.a “a little help from ur hand” (kupiga puli au punyeto sounds manly) siyo kwa wanaume tu bali hata wanawake tunafanya hivyo ila wengi wetu huwa hatuko “comfortable”...
16 Reactions
1K Replies
220K Views
Kuna aliyekupa warning uachane na mke/mume wake, na wewe ulipandisha mabega. Sasa baada ya kuwa short listed kwenye interview unakutana nae tena yeye ndiye final say. Yamesha kukuta?
4 Reactions
13 Replies
1K Views
Kuachana, kuachwa na kuacha kupo kwenye mahusiano na ni kitu cha kawaida, ila wanawake mkiwa mnawaacha wanaume angalieni na maneno ya kuwaambia. Wengi mnatumia maneno makali ambayo yatafanya mtu...
17 Reactions
96 Replies
8K Views
Habari wakuu. Mimi ni mtu mkimya sana kitaa sina hata marafiki wengi. So mambo mengi yanayotokea huwa nasolve mwenyewe tu na mara nyingi yanaisha.. lakini hili naona limenikaa sana na sina wa...
18 Reactions
180 Replies
13K Views
Kwanza niwatakie mwaka mpya wenye baraka tele. Ninajua kuna vijana wengi ambao wamejiwekea malengo ya kupata jiko mwaka huu, ninawashauri mimi niliye pata jiko kwa mdada wa kazi kama miaka mitano...
29 Reactions
119 Replies
8K Views
Kumekuwa na dhana mbalimbali kutoka kwa watu mbalimbali hasa wanaume na wanawake wa mikoani nje ya mkoa wa Dar es salaam Eakiwashutumu wanaume wa mkoa wa Dar es salaam kuwa hawana nguvu za kiume...
2 Reactions
16 Replies
3K Views
Za jumapili? Mfano unaenda sehemu na mtu ya kunywa, hajui hata anataka nini anasema nipe tu soda yoyote. Yaani yeye hajui hata anataka nini. Kwenye chakula hivo hivo, hawezi kuagiza anachotaka...
11 Reactions
44 Replies
3K Views
Habari ni gan bandugu, Ni kwanini vijana wengi tuliopata malezi mijini tunachelewa sana kuhama nyumbani? Unakuta kijana mpaka anafika umri wa miaka 30 lakin bado anakaa nyumban kwao. Ni kweli...
2 Reactions
32 Replies
5K Views
Habari wana jamii, Nimekuwa nikiona humu ama katika maisha halisi wanaume tumekuwa tukilalamika zaidi kuhusu wanawake katika mapenzi. Iwe kwenye ndoa ama mapenzi tu yakawaida, wengi utakuta...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Kwa ufupi sana Humu jukwaani kuna mchanganyiko wa matukio. Kuna matukio ya aibu, ya kutendwa na stori nzuri za kuhamasisha. Shida inakuja kwenye matukio mabaya ima ya aibu au ya kutendwa. Wadau...
5 Reactions
14 Replies
836 Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, asilimia kubwa ya wanaume tukikutana kwenye vile vikao vyetu ikiletwa mada ya kwanini unachepuka asilimia kubwa husema kuwa wapenzi waliokuwa nao sio watundu...
1 Reactions
55 Replies
3K Views
Habari! Ni hulka ya kila mwanaume kutamanitamani vibinti vizuri vyenye sura au umbo zuri. Na ikitokea una kakipato kidogo cha kubadilisha mboga ghafla unaweza kujikuta una wapenzi 3-5 au zaidi...
2 Reactions
1 Replies
910 Views
Back
Top Bottom