Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Habarini wakuu, Mimi nina mpenzi wangu ambae nimekuwa nae mda mrefu sasa na huduma zote za chumbani huwaga ananipa yeye tu, yaani sichepuki. Ila cha ajabu naona kila siku zinavozidi kwenda, ladha...
3 Reactions
26 Replies
2K Views
Katika harakati za maisha niliwahi kwenda kujaribu kilimo mkoa fulani kule nikapata binti mmoja mzuri sana, kumbe kuna mkulima mmoja wa zao fulani alikuwa ameanza kuvuna, hilo zao kwa wiki...
14 Reactions
45 Replies
3K Views
JOHN :-Habari yako bwana? HASSAN :-Nzuri we Nani? JOHN :-Natumaini hatufahamiani. HASSAN :-Yes, sikufaham wewe nani nikumbushe.. JOHN :-mimi naitwa mr JOHN au baba Hellen. HASSAN :-ndio...
11 Reactions
31 Replies
5K Views
Madem wa DSM bhana ukitaka kuwala mpaka uvimbiwe wewe miliki kausafiri tu aiseee wanadata sana. Wanaamini mwanaume mwenye gari amefanikiwa kimaisha kumbe wengi sisi tunaunga unga tu hata pesa za...
13 Reactions
103 Replies
10K Views
Habarini za asubuhi wana jamvi, Msaada wa mawazo kidogo. Ni mda wa miezi zaidi ya miwili sasa nakaa na rafiki yangu, Tulikutana eneo la kazi mimi na yeye tukiwa ndo wanawake io hali ikatufanya...
5 Reactions
48 Replies
3K Views
Ndgu zanguni habari za jmosi, nina first born wangu nilio zaa wakati wa ujana wangu na mwana chuo mwenzangu. Ndoa ilishindikana tukaamua kulea mtoto wetu, mtoto amekaa na mama ake hadi 8yrs...
18 Reactions
134 Replies
12K Views
Nina urafiki na demu mmoja hapa mtaani ni mkali tu tumezoeana kama wiki 2 sasa kutokana na mazoea yetu uwa tunatoana out sometime kirafiki tu sasa leo kuna demu nimemuweka status huyu mwanamke...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Umofia kwenu, Leo katika kusoma magazeti ya Kenya nimekutana na topic tajwa. Kuna mtindo umezuka na upo madaktari wa Kitanzania na hasa wa kiafrika kupenda kuwazuia wanaombatana na wake zao...
4 Reactions
295 Replies
45K Views
Dunia hii tamu Ex wangu aliniacha akafikiri ame ni weza kumbe amejiweza Sasa ivi natoka na mdogo wake wivu imetawala moyo wake Mapenzi raha bwana Kila siku kutupiga vijembe kwenye mitandao yote...
6 Reactions
15 Replies
1K Views
Nilimpenda sana akanizalia watoto tumeishi miaka kumi sikutegemea kama atakuja kuniacha ila alishawaambia baadhi ya watu kuwa ataondoka. Nasasa ameondoka kweli hakika wanawake ni wabaya sana...
1 Reactions
22 Replies
1K Views
Msaada kwa mdau rafiki yetu Nimejikuta njia panda baada ya meneja wa kampuni yetu (Mwanamke) kuniwekea mazingira magumu kwenye swala langu la kuoa. Hivi karibuni niliitisha michango ofisini kwetu...
14 Reactions
75 Replies
6K Views
Za saa hizi Wana MMU? Natumai mpo salama kbsa na tumshukuru Mola kwa kutuwezesha kuiona siku nyingine mpya. Duniani Mambo Ni mengi muda mchache, Kuna mwanamke mmoja alikuwa anafanya kazi katika...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Familia ya baba mama na watoto wawili iliamua kusafiri ili kutafuta elimu nzuri ya watoto na maisha bora kwao wenyewe. Walifika Canada na kuanza maisha. Hali ilikua ngumu, walikaribishwa na...
3 Reactions
11 Replies
1K Views
Habari za humu wana jamii forum wote. Hii mada imemili sana katika suala la maamuzi ya Wanawake hasa katika mambo kadha wa kadha ila hasa katika mahusiano. Mada hii naiweka katika mtindo wa...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
SIRA 9 Wanawake 1Usimwonee wivu mke umpendaye; utakuwa umemfundisha namna ya kukudhuru. 2Usimwachie mwanamke ukuu wako, la sivyo atakutawala kabisa. 3Usifuatane na mwanamke wa tabia mbaya, la...
10 Reactions
96 Replies
12K Views
Habari wanajamvi? Ni matumaini yangu kwamba mpo salama na mnaelendea vyema na mishe zenu za kimaisha.Moja kwa Moja acha niingie kwenye mada husika. Kuna jamaa mmoja alikuwa na mke wake na...
7 Reactions
22 Replies
2K Views
Wakuu, Last year November nilikutana na huyu ex wangu yakatokea yaliyotokea maana nadhani ile kauli mbiu ya mtalaka huwa hatongozwi bado ni valid. Sasa last week akanipigia simu akaniambia...
9 Reactions
66 Replies
39K Views
Mara nyingi tunawavumilia watu tunaowapenda bila kujua kama wao wangeweza tuvumilia vivyohivyo kama tunavyowavumilia. Iwe rafiki, ndugu, ama mpenzi.. ukitakamfanyia jambo mtu yeyote, jiulize...
4 Reactions
22 Replies
2K Views
Habari za wakati huu nimepata kitu ningependa kushiriki nanyi wapendwa.. 1)Mahusiano ni magumu na kila uhusiano ni tofauti kikubwa fuata hisia zako tu. 2)Subiri umri sahihi ufike usichekewe sana...
4 Reactions
59 Replies
5K Views
Back
Top Bottom