Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
Wanajamvi uzima upo? Ninaishi na mpenzi wangu, sijamuoa ila tunaishi wote, na wote tu wanachuo hapa DSM. Jana usiku nilifuma msg katika simu ya huyu mpenzi wangu ya mapenzi(ilikuwa msg chafu...
10 Reactions
132 Replies
7K Views
Naomba msaada juu ya hii risiti. Nimekuita kwenye mkoba wa mke wangu nimeumiza kichwa ila bado sijapata jibu sahihi naona tu TRA na hiyo Sheri na mke wangu hana usafiri wowote naomba mnifumbue macho.
8 Reactions
144 Replies
13K Views
Mwanamke elewa kuwa asili ya mwanaume ni udume ambao anahitaji atawale dunia kwa kila kitu. Wanyama na ndege pia viumbe vya kiume hutawala species zao. Kwa hiyo basi fanya ufanyalo mwanaume...
18 Reactions
73 Replies
8K Views
Leo hii nani asiyejua kuwa wanapenda tamthilia mno hawa dada zenu wa kibongo? Wanajua majina yote ya wasanii wa kikorea, kifilipino na hata wa kizungu. Hali hii wanaihamishia mpaka kwenye maisha...
5 Reactions
30 Replies
2K Views
🔏 Urafiki unawezekana bila ngono? Naomba kuyaweka mezani Maswali Haya: Je, rafiki ni nani? Ili mtu awe rafiki yako mambo gani ni ya msingi kutimia? Je, rafiki wa jinsia iliyop tofauti na yako...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wazee wapenzi wa majambozi, Wengi wenu lazima ni mashabiki wa picha za video za kikubwa. Nami nyakati fulanifulani nimekuwa nikisafisha macho. Sasa kinachonistaajabisha ni staili na aina ya...
3 Reactions
140 Replies
78K Views
Habari wanaJF Leo nakuja na swali. Imekuwa jambo la kawaida na kushangaza pale unapoona vijana mabachelor wakati wa kuoa uoa wanawake wa kawaida sana ilihali imezoeleka enzi za ujana wake hasa...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
1. Huwenda wanaume wengi huingia ndoani bila kumjua kikamilifu mwanamke ni nani. 2. Wanawake pamoja na mafunzo mbali mbali wanayopitia bado hayajawafanya watambue mwanaume ni nani zaidi...
1 Reactions
4 Replies
917 Views
Huko mitaa ya kati kuna mama wa watoto wawili amejiwa na binamu yake kutoka USA. Binamu amerudi na zawadi za girlfriend wake lakini alighairi kumpa baada ya kusikia habari na matukio ya girl huyo...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
ninaposema wanaume wa shoka namaanisha wanaume wale magiant,wanaojua kupiga kazi hasa,sio wale wanaoshindia kwenye dressing table na kula chipsi mayai. list yenyewe ndio kama ifuatavyo 1.Mara...
20 Reactions
234 Replies
26K Views
Habari za muda huu wapendwa...bila shaka sote tuwazima wa AFYA. Maisha ya kimapenzi yamejawa changamoto na vitimbi vya kila aina. Mara nyingi wale tuliowapenda na kuwathamini ndio wanaotuletea...
5 Reactions
62 Replies
4K Views
Habarini wakuu. Naomba niwa shirikishe kisa kimoja cha kuchekesha na ajabu sana.Kuna wanawake wengine wako desperate na ndoa hakuna mfano in such a way wako mawindoni 24/7.About 3 years ago one...
11 Reactions
176 Replies
15K Views
Hii ni kwa mujibu ya uoni wangu hafifu,kuoa Mke mmoja ilikuwa ni aina Fulani ya "uzazi wa mpango duniani"
14 Reactions
95 Replies
7K Views
WaKuU hamjambo Aisee....mmebarikiwa Sana na Mungu WA Mbinguni. Moja Kwa moja kwenye lengo, kuna Duka Fulani huwa napenda KWENDA kununua vitu vya home mida ya jioni na mara nyingi huwa namkuta...
4 Reactions
20 Replies
2K Views
First of all poleni kwa wote mlio pitia tabu hii ya kufamania wenzi wenu. Maisha itabidi yaendelee, natumani mnaendelea vizuri. Mara nyingi haachwi mtu salama, Mwanaume/Mwanamke lazima afanye...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Naomba wale wenye uzoefu wa kuwa kwenye mahusiano na wanawake wenye ugonjwa wa kunuka kikwapa wanisaidie mbinu walizotumia kumsaidia mwanamke wa namna hii. Nina demu wangu kiukweli nampenda na...
6 Reactions
68 Replies
7K Views
Habari ndugu zangu poleni kwa kichapo cha timu yetu ya Taifa Moja kwa moja niende kwenye mada Binafsi naamini kwamba kwenye maisha ya mahusiano hasa ya kimapenzi kuna baadhi ya watu ukiwa nao tu...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Jamaa ana mchumba wake mkoani, mchumba akam-connect jamaa na boda boda wake kwa maelezo kwamba ni kijana mstaarabu sana,na muaminifu mno! Basi jamaa akawa akisafiri kwenda kwa mkewe mtarajiwa...
7 Reactions
184 Replies
12K Views
hii imekaaje? MASWALI MENGINE KUTOKA KWA WADAU: Hi nimeleta huu uzi ,wapendwa tujadili sababu kubwa ya kuleta huu uzi je nisawa kwa mwanaume kupiga magoti mbele za watu haswa ndugu zako na...
0 Reactions
341 Replies
97K Views
Mabaharia wenzangu najua mpo salama kabisa na mnaendelea kulijenga hili taifa letu pendwa ili tupate maji na umeme wa uhakika bila kuitoa CCM madarakani. E bhana niwe muwazi nishakutana na pisi...
18 Reactions
73 Replies
9K Views
Back
Top Bottom