Ukitaka kujua mwanaume mwenye pesa angalia mavazi yke. Wanaume wengi wenye pesa huwa hawapendi kuvaa nguo nyingi huwa wanavaa simple na wengi wao wanapendelea sportswear.
Sio sportswear za...
Ukitaka uinjoi Mapenzi basi we JITOE UFAHAMU TU...Ishi kama hakuna LOGIC duniani na usijiulize-ulize maswali kutaka kuchambua SITUATIONS na kujaribu kutumia Akili kwenye Mapenzi...Ukitaka kutumia...
Wanajamvi habari za muda huu,
Bila kuwapotezea muda niende direct kwenye mada husuka, huyu bidada tulikuwa katika mahusiano naye miaka 8 iliyopita na nikimuacha baada ya kumfumania analiwa na...
Jana jioni nilipata mwaliko nyumbani kwa rafiki yangu mmoja ambae pia ni kapteni wa JWTZ kikosi cha anga (Air Transport Station) hapo Majumba sita.
Baada ya kufika nyumbani kwake maeneo ya huku...
Neno lililozoeleka mpaka sasa "kila mwanaume aliyefanikiwa nyuma yake kuna mwanamke"
Ni neno fikirishi sana na hasa limetokea kuaminiwa sana baada ya anayelitoa yupo katika kundi la...
I hope everyone is fine,
Mahusiano yeyote ili yaweze kufanikiwa inabidi pande zote mbili ziwe na ushirikiano, ila hali ni tofauti kabisa kwa asilimia kubwa ya wanawake tulio nao, wamegeuza...
Naomba ushauri, mimi nimeoa mwanamke ambaye ana mtoto tayari, je akitumia majina yangu vyeti vyake ni sahihi!?? Huyo mtoto ana umri wa mwaka mmoja na miezi sita,,,?
Mama yake anasema tubadili...
Kiukweli aina hii ya kilema inewafanya wanaume wengi sana kutokua na amani hata wawe matajiri, wanavaa fresh, wacheshi, n.k. yani hakuna kitu wanaogopa kama kushare mwanamke na mtu mwenye umbile...
Msaada wa haraka unahitajika wakuu, Nifanyaje kuzuia hii hali. Hapa nilipopanga kuna Mwanamke nilimkuta anaishi.
First time nilijua labda ni mwanafunzi maana umri wake unachezea 18~19 , Ila baada...
Nina mdogo wangu mtoto wa mjomba yangu tumbo moja na Mama angu, huyu dogo nimekua nae kama mdogo wangu tumbo moja na jamii inajua tumezaliwa pamoja, kwa uku mjini tunaish mtaa mmoja
Shida inakuja...
Dk mwaka anaishi kiakili sana yaani jamaa anatengeneza pesa kwa kutumia akili tu, Dk mwaka kipindi cha hivi karibuni amekuwa akipromote sana wake zake watatu mtandaoni na akisema kuwa soon...
Nimekuwa napenda sana kuwa kwenye mahusiano na wadada waliofungashia, kiuno nyugwi na sura ya kuvutia; kitu kinachonifanya nikutanapo na yeyote mwenye sifa hizo, najikuta mwili wote unalegea na...
Unajuwa hawa ma slay queen wanaovaa chupi mara moja kisha huitupa kwasababu hawawezi kufua, mimi huwa Naona wanaishi maisha feki sana kiasi kwamba ukisha gonga hutamani tena kukanyaga. Leo...
Nina mrembo nimekuwa nae kwenye mahusiano Kwa kipindi fulani. Lakini wakati wakushiriki nae tendo huwa anasema "Nikikaa hivi inachoma choma bwana inachoma". Nikimuuliza unafurahia au unaumia...
Kuna mkaka anatokea misri nilikua kwenye mahusano nae tulidumu miaka 3 halafu tukaachana. Tulivoachana atukuachana vizur lkn baadae tukayamaliza tukawa tunawasiliana km marafiki wa kawaida mpk...
Wakubwa mpo?
Kuna baadhi ya wanaume kwenda club kurudi bila dem hawezi yani kashaweka mazoea hivyo au tamaa tamaa za mademu hii sio nzuri wakuu,
Jumamosi nilikua maeneo flan hivi bhs mimi huwa...
Kila mitego ninayoitega ninase japo bint wa kunifariji na hili life la bongo naishia kuambulia maumivu bora hata Afande Panya Magawa aliamua kuishi kama padri tu mpaka pale Mungu alipomchukua...
Habari zenu wakuu,
Mimi ni kijana mwanaume nina rafiki yangu (mwanaume) ambae tuna takribani miaka kumi kwenye urafiki tulikutana chuoni mimi nikiwa mwaka wa kwanza yeye wa tatu! Ni mtu mpenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.