Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana
kufurahisha. Na leo tunaonyeshana baadhi ya tafsiri hizo. Ndoa ni kumuita mwanamke aje atumie pesa zako, kisha aone haitoshi, azae marafiki zake ili washirikiane kula pesa zako zaidi. Kisha...
7 Reactions
18 Replies
2K Views
Wadau, Nimeoa baba wa watoto 07 na mke1. Katika kipindi miaka 02 iliyopita tuliingia kwenye mgogoro na mke wangu. Sababu kubwa alipoteza uaminifu na mimi. Hii ilitokana na aina yangu ya maisha...
13 Reactions
47 Replies
5K Views
Mahakama ya Mwanzo Buguruni imevunja ndoa ya Wanandoa Raymond Kulaya (44) na Magreth Silaeli (37) waliotengana kwa miaka 10 baada ya kukubaliana kila Mtu akatafute Watoto ‘anapopajua’ baada ya...
4 Reactions
41 Replies
5K Views
Habarini wakuu, Mimi si mwandishi mzuri lakini naomba tusaidiane katika hili. Naomba nianze na visa kama viwili nilivyokutana navyo siku za karibuni Wiki mbili zilizopita, Wakati nipo...
10 Reactions
43 Replies
3K Views
Wachina hawaishiwi mambo, Kuanzia enzi za Kwenye kope feki, matiti feki, mimba feki, kucha feki, tako feki, hips feki, miguu feki, macho feki,nywele feki. Sasa Ni awamu ya UKE FEKI. Ikiwa Ni...
7 Reactions
136 Replies
13K Views
Watu wengi wanaingia kwenye ndoa kwa matarajio kuwa maisha ya ndoa ni raha mustarehe. Mnaelewana na mwenza wako nae atakua rafiki yako. Ukweli ni kuwa, ndoa ni box tupu, unahitaji kuwekeza ili...
3 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari za jumapili wakuu? Nipo hapa na wazee wangu ambao walikuwa mabaharia hapo zamani (walistaafu ubaharia kutokana na umri pamoja na kipato kuwa limited), tukipata moja moto moja baridi huku...
9 Reactions
22 Replies
2K Views
Habarini wana jf Kama mnavyojua ukiwa baharia hauchagui pakulala. Tokea Jana kama vile sielewi elewi na hii nibaada ya kuchuniwa na vibint vidogo vinne vilivyo maliza 4m4 mwaka uliopita amakweli...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Kijana wetu wetu alimaliza shahada yake ya uzamili ya ufundi. Alipata ajira za muda mfupi hapa na pale, aliitwa Rwanda, Botswana na kuna wakati alikaa miezi kama mitatu akisaka ajira. Kuna siku...
7 Reactions
19 Replies
2K Views
Huu msemo unaosemwa na watu, kuwa maisha yanaanza ukiwa na miaka 40, una maana gani wakuu? Kwa sababu mimi nipo nipo tu, na nipo kwenye hiyo miaka na sijielewi elewi? Karibuni kwa ufafanuzi.
1 Reactions
13 Replies
972 Views
Kuna vitu vingi katika maisha ya uhusiano, uongeza thamani ya mahusiano. Kutokana na kutokujua vitu hivyo, unakuta watu wengi wanakuwa na migogoro isiyokuwa ya lazima katika mahusiano yao. Mfano...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari za jumapili wakuu, nina muda kitambo sijaonekana kuandika jukwaani ni kwa sababu nakuwa sina cha kuandika japo huwa naingia na kusoma threads za watu, hiyo ipo hivo. Ila leo nimekipata cha...
4 Reactions
77 Replies
11K Views
  • Closed
Nataka niwekeze kwa binti wa kiiraq kutoka Babati, binti ametokea kunipenda sana. Mwanzoni moyo wangu ulikuwa mzito kuchukua maamuzi ya kuwa na uhusiano naye ila kadri siku zinavyozidi kwenda...
17 Reactions
510 Replies
77K Views
1. Mfundishe kufanya kazi kwa Ushirikiano (Teamwork). Mfano unaweza kutenga muda kusaidiana naye kwenye kufanya 'Homework' au majukumu madogo madogo ya Nyumbani akishirikiana na Wenzake 2...
6 Reactions
3 Replies
2K Views
Natumaini humu wote ni wazima wa afya na kazi inaendelea kwa jina la jamhuri. Hii ni kwa vijana wenzangu wapambanaji, kamwe usiruhusu mwanamke/msichana ambaye baba ake ni maskini hajiwezi kwa...
7 Reactions
29 Replies
2K Views
Anyone who lives alone and manifests no longing to be in a relationship is – in our times – almost automatically (though more or less secretly) viewed as both pitiable and deeply troubled. It’s...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Kabla naomba kuwashauri wanawake kuweni wa kweli hata ukimwambia mtu kuwa una mpenzi na ukaingia nae kwenye mahusiano sio mbaya kuliko kudanganya na kumtesa mtu moyo wake. Siku anakuja kujua...
1 Reactions
70 Replies
12K Views
HUYU DADA ANAOMBA USHAURI Jamani naombeni ushauri wenu, sijui nifanye nini. Mimi ni binti wa miaka 23, nipo chuo mwaka wa tatu. Naomba ushauri wako, mwaka jana nilikua na mpenzi wangu, ni...
4 Reactions
64 Replies
8K Views
Unaempenda hakupendi au anakupenda kwa manufaa yake binafsi. Anaekupenda unamuona si wa hadhi yako. Unapokutana na anaekupenda kwa dhati na wewe ukampenda kwa dhati, Kuna jambo litatokea mnaweza...
16 Reactions
55 Replies
3K Views
Leo niko huku kwa mtindo huu, ila nasikia leo ni siku ya kina mama (Wanawake) duniani maana yake siku zilizobaki ni zetu sisi kina baba, yaani kwa thamani na nafasi ya mwanamke ambaye natakiwa...
21 Reactions
175 Replies
14K Views
Back
Top Bottom