Ukiskia ndoa ndoano sasa nimeanza kuiona
mke wangu huyu ni mpya kabisa ndoa haina mda, mimi ninafanyia kazi mkoa mwingime tofaut na tulipokua tunaishi sasa nilimtumia nauli aje huku jana tu...
Huyu Mama wa mtoto wangu ana tabia ya kukataa vitu ninavyo mnunu lia mtoto wangu yeye ana taka niwe na mtumia hela mfano nime mnunulia mtoto wangu vifaa vya shule na baiskel nika mwambie nakutumia...
Unaweza ukaoa 'Malaika' halafu akaamua yeye kama yeye kugeuka na kuwa 'Shetani'. Hapo utajilaumu kwa lipi sasa kama sio kujinyanyapaa bure?.
Ni kama vile Mungu alimuumba "Lucifer" akiwa safi...
Wadau si nilileta kisa cha Mwanamke aliyewahi kunikataa? Basi jana kanipigia kaniambia huku analia kwa huruma, ana shida ya 100,000 anadaiwa kodi anapoishi, ili aongezee alipe.
Nilishikwa na...
Wakuu, bila kupepesa macho Hawa Wanawake walobarikiwa miguu ya NGAMIA (CAMEL TOE) wamejaaliwa Sana kunako 6 kwa 6.
Nikiongelea MGUU wa NGAMIA, (kwa kingereza-CAMEL TOE) namaanisha vile vitumbua...
Kama umedumu kwenye mahusiano, iwe ndoa au hata familia, jinsi unayoishi na mwenza au watoto wako. Tuambie unayo yajua leo ambayo yamesaidia kuboresha upendo, heshima na amani ndani ya nyumba...
Asilimia 65 wanawake wanapenda wanaume wenye kufanya Mazoezi ya mwili, Hizi ni takwimu za mwaka 2021 kutoka chuo cha Mazoezi ya mwili kinachoitwa Brown fitness center kilichopo nchi Marekani...
Wakuu habari za weekend..!!
Leo nimekaa nikakumbuka zile story za redioni watu wanazosimulia mikasa ya maisha yao hasa Katika vipindi vya redio za CLOUDS na RFA,, sijui kama bado hivyo vipindi...
Wengi tunakosea sana; unapotafuta mke hutakiwi kutumia nguvu kubwa ya pesa ama mali ili kumshawishi awe wako. Kutumia nguvu kubwa kumshawishi kwa mali/pesa ni kujitengenezea bomu litakalokulipukia...
1 – Love Them Intentionally
What does it mean to love someone intentionally? It means to give thought and purpose to how we actively show love to another person, in this case, our kids. It’s not...
Kuna muda huwa nashindwa hata kuelewa kama hawa ni wenzetu.
Sizungumzii waarabu original wale wa Oman, Dubai, n.k ni hawa waarabu wa hapa hapa bongo wengi wakiwa machotara waliochanganyikana...
Kwa mtu aliyezoea kuchepuka hawezi kuacha hiyo tabia kirahisi, kwa sababu kwenye mahusiano kila mmoja huwa na sifa ya kipekee ambazo hazifanani na mwingine; kuna mwingine ni mchangamfu sana...
Salaam wakuu,
Nina hadithi ya kweli ningependa ku share nanyi. Ni kitu nimekishuhudia kwa macho yangu na kimetokea kuniumiza sana roho !!! Sumtyms huwa nikiwaza nakosaga na majibu kabsa. Ule...
Wakuu mimi ni mkazi na mzaliwa wa Dar es Salaam maeneo ya Tegeta, tatizo langu kuu mpaka nimekuja kuomba ushauri ni mke wangu kawakusanya ndugu zake na wazazi wake toka kijijini huko Mpwapwa. Yani...
Niende kwenye mada
Moja kwa moja.....ndg kama Ilivyoandikwa ishini nao kwa akili.
Katika suala hili kiumbe Ke anamambo ya ajabu na mwanaume wkt wote anamchwnganya sana. Siwez kuamini mambo ya...
Habari wana Jamji forums
Heri ya mwaka mpya....
Dhumuni la kuandika uzi huu ni juu ya tatizo linalonisibu katika kipindi hiki cha mahusiano yangu..
Mimi ni muathirika wa punyet0 kwa takribani...
Wanawake bwana wana vituko saana
Leo ex wangu kanikuta na mpenzi wake wa sasa. Mimi sikujua kama huyo jamaa ndo boyfriend wake tulikutana tu kwenye mishe mishe zetu tu.
Sasa leo nilikuwa kwa...
The scenarios! The trendings! The chaos and the dramatic rhythm... The happening....!!!
Mongers are on the verge of argonostic fusion, boring the long forgotten n muted moleholes.. WHO THE CAP...
Nimeamini mwanamke haaminiwi nimeoa mwaka jana mwezi wa pili kufika mwaka huu mwezi huu wa kwanza mwanamke kanitoroka kisa nilimgombeza kwanini hafanyi usafi ndani hajarudi kwao na sijui alipo hata.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.