Mpo wengi mnaofanya hiyo biashara, ili Mteja aweze kukumbuka na kukutofautisha na wengine lazima uwe na logo(Nembo) inayotambulisha biashara yako.
Karibu Ujipatie Usanifu(Designing) bora kwa bei...
Asalaam alaykum, habari zenu ndugu zangu.
Mimi ni msichana niliyejikita katika ujasiriamali. Napenda kuwatangazia ndugu zangu kwa waliokuwepo Zanzibar- Unguja nafanya biashara ya nyama kwa oda...
Habari ya wakati huu wana JF!
Ninahitaji mashine ya Juice ya miwa (specially) au {multipurpose} ambayo ni portable na inawezatumia umeme (wa tanesco au generator).
Kwa wajuzi au wazoefu mnaweza...
Wakuu salaam kwenu!
Nahitaji nyumba ya kupanga kwa kipindi cha mwaka mmoja jijini Dar iwe maeneo ya Sinza, Savei, Mwenge na au Ubungo!
Iwe na vyumba vitatu au viwili. Ikiwa inajitegemea ni...
Naulizia wapi naweza kupata mbegu ya mbuzi wanaozaa mapacha. Taarifa nilizo nazo ni kwamba siyo wa kienyeji ila ni wa kisasa au chotara, mimi napendelea sana chotara kama wanapatikana.
Nauza laptop aina ya 250 g4 kama kama spare parts haiwaki, ikiwa na vitu vifuatavyo vizima display, keyboard, ram 2gb, malango dvd rw, na body yake ikiwa katika hali nzuri bei kwa mawasiliano piga...
Habari za muda huu wapendwa,
Naomba niwakaribishe katika website yetu ya kipekee ya makazistate,
MAKAZISTATE NI NINI,
Ni website iliyoanzishwa kwa madhumuni ya kusaidia kuleta urahisi katika...
Habari zenu wakuu,
Kama unashughuli yako iwe Harusi, Send off, Msiba au Sherehe ya aina yoyote na unatafuta wapishi wa chakula kitamu na kuvutia, basi jibu lako ni MAMA JAMILA.
Wasiliana nasi...
Habari zenu wakuu, kama unashughuli yako iwe Harusi, Send off, Msiba au Sherehe ya aina yoyote na unatafuta wapishi wa chakula kitamu na kuvutia, basi jibu lako ni MAMA JAMILA. Wasiliana nasi kwa...
Dragon inakuletea bati imara na bora kabisa zenye warrantie ya miaka 10 ya maandish na si maneno kama viwanda vyengine kwa bei rafiki kwa mteja. Na ili kupata bidhaa zetu adimu wasiliana nami...
BIASHARA YA FASTA
LINE YA TIGOPESA WAKALA
Line ipo active tayari kwa matumizi na haidaiwi , imeshasajiliwA ina jina tayari ila ukiwa na document za biashara unafanyiwa process za kubadilishiwa...
Kutokana na uhitaji mkubwa wa viwanja Jijini hapa kampuni ya Goodneighbour real Estate inakuletea viwanja katika sehemu mbalimbali jijini hapa Bei ni cheap kutokana na uwezo wa mfuko wako Unaweza...
Habari zenu ndugu zangu. Kwa jina naitwa mr aziz . Mimi ni mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya NZALLACADO OIL COMPANY LIMITED. Kampuni yetu inajihusisha na uzalishaji wa mafuta asilia ya parachichi...
Samahan kaka na dada zangu natafta laptop ya kununua Kwa laki 300000 iwe na RAM 2GB CPU nA icore ya i3 sio mbaya na kuendelea mimi nipo buhongwa pia iwe kama ina wezeiana sana iwe HP,LENOVO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.