Gari hiyo inabidi iwe ya kuanzia 2003 na kuendelea,Rangi isiwe nyeusi na nyekundu, isiwe inasoma km Zaid 95000, cc isizid 1300! Atakaye kuwa tayari 0673728756 nipo ARUSHA tufanye biashara.
Habari wakuu, Mimi ni kijana mjasiriamali natengeneza viatu vYa kimasai vYa kiume na vYa kike vYa shanga na visivyo na shanga , uzalishaji kwangu ni PC 200 hadi 300 kwa siku hivyo ninahitaji...
Nipo Dar, nataka nianze biashara ya kusambaza mayai ya kuku, yaani nakua nanunua Mayai jumla kwa wafugaji alafu nawauzia wenye maduka na wauza chips. (usafiri wa kusuply upo)
Sina uzoefu na...
Sofa La watu wa tano kitambaa ni Velvet blue jipya linaliwa na vumbi tu linauzwa bei 500000 halina mito lipo hvyhvy. kwa mawasiliano nipigie 0716549940
Nyumba ya kupanga yenye vyumba viwili vya kulala, jiko sebule, fensi, huduma ya maji ya kuaminika na ya kujitegemea umeme inahitajika maeneo ya njiro au moshono, budget laki 2.5.
hapana madalali...
Habari za uzima wapendwa Nina miti ya mpingu ipo shambani haijakatwa kama kuna mtu anavutiwa na biashara hii au anamfaham mtu ambaye anafanya biashara ya miti ya mpingo(miti ya vinyago)...
SPECIAL OFA KWA WANACHUO WANAO ANZA MWAKA 2017/2018 TOKA AUTOGURU WORKSHOP
PATA KITANDA CHA CHUMA KWA MATUMIZI YA SHULE SIZE 4*6/5*6 KWA LAKI2 TU (200,000)
DOUBLE DECKER 3*6 JUU 3*6 CHINI KWA...
Kipo kiwanja kinauzwa kipo Kapri ponti Mwanza jirani sana na Tilapia Hotel bei maelewano. Kwa wale matajiri wa mwanza wanao hitaji kuwekeza fursa kwenu. Kina msingi wa Gorofa tofali kadhaa kokoto...
Habari. Kama title inavosomeka hapo juu.
Ningependa kuwapa fursa wajasiriamali/wafanyabiashara wanaojihusisha na
°Kupika Keki
°wanaouza/kutengeneza kadi za harusi nk. na
°wapambaji wa ukumbi wa...
Rejea kichwa cha habari hapo juu, nyumba yenye sebule na chumba kimoja cha self inatafutwa tena haraka saka maeneo ya chuo cha St. John, Dodoma. Bajet isizidi 200,000.
Natanguliza shukrani.
Sofa za Kisasa na imara zilizopo katika hali nzuri zinauzwa. Ni za watu wawili kila moja. Zipo tatu. Huna haja ya kubadilisha kitambaa. Bei kwa kila moja ni 280,000 maongezi yapo kidogo. Zipo...
Laptop aina ya Hp pavilion inauzwa kwa bei chee kabisa, Specifications; Processor dual core 2.21ghz, 4gb ram, 500hdd na screen 14.1 inches, battery life 2hrs!
Price 330k ila maongezi yapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.