Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Gari hiyo inabidi iwe ya kuanzia 2003 na kuendelea,Rangi isiwe nyeusi na nyekundu, isiwe inasoma km Zaid 95000, cc isizid 1300! Atakaye kuwa tayari 0673728756 nipo ARUSHA tufanye biashara.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wakuu, Mimi ni kijana mjasiriamali natengeneza viatu vYa kimasai vYa kiume na vYa kike vYa shanga na visivyo na shanga , uzalishaji kwangu ni PC 200 hadi 300 kwa siku hivyo ninahitaji...
1 Reactions
12 Replies
5K Views
Nipo Dar, nataka nianze biashara ya kusambaza mayai ya kuku, yaani nakua nanunua Mayai jumla kwa wafugaji alafu nawauzia wenye maduka na wauza chips. (usafiri wa kusuply upo) Sina uzoefu na...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Sofa La watu wa tano kitambaa ni Velvet blue jipya linaliwa na vumbi tu linauzwa bei 500000 halina mito lipo hvyhvy. kwa mawasiliano nipigie 0716549940
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za Leo wakuu, simu yangu imepasuka kioo hivo nahitaji kama kuna mtu ana simu Kama hii yenye iCloud aniuzie display. NB Kioo kiwe cheupe
0 Reactions
1 Replies
943 Views
Nyumba ya kupanga yenye vyumba viwili vya kulala, jiko sebule, fensi, huduma ya maji ya kuaminika na ya kujitegemea umeme inahitajika maeneo ya njiro au moshono, budget laki 2.5. hapana madalali...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari za uzima wapendwa Nina miti ya mpingu ipo shambani haijakatwa kama kuna mtu anavutiwa na biashara hii au anamfaham mtu ambaye anafanya biashara ya miti ya mpingo(miti ya vinyago)...
0 Reactions
0 Replies
970 Views
Kama topic inavyojieleza Kama upo mwanza wee ni fundi welding nataka kitanda cha chuma cha ukubwa wa 4×6 njoo PM tufanye biashara
0 Reactions
18 Replies
4K Views
SPECIAL OFA KWA WANACHUO WANAO ANZA MWAKA 2017/2018 TOKA AUTOGURU WORKSHOP PATA KITANDA CHA CHUMA KWA MATUMIZI YA SHULE SIZE 4*6/5*6 KWA LAKI2 TU (200,000) DOUBLE DECKER 3*6 JUU 3*6 CHINI KWA...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
WADAU MWEN YE SIMU TAJWA HAPO JUU NAOMBA TUWASILIANE NA AWEKE PICHA NA SPECIFICATION ZA HIO SIMU YAKE PAMOJA BEI YAKE HAPA UBAONI KARIBUNI
0 Reactions
4 Replies
952 Views
Kipo kiwanja kinauzwa kipo Kapri ponti Mwanza jirani sana na Tilapia Hotel bei maelewano. Kwa wale matajiri wa mwanza wanao hitaji kuwekeza fursa kwenu. Kina msingi wa Gorofa tofali kadhaa kokoto...
0 Reactions
4 Replies
923 Views
Habari. Kama title inavosomeka hapo juu. Ningependa kuwapa fursa wajasiriamali/wafanyabiashara wanaojihusisha na °Kupika Keki °wanaouza/kutengeneza kadi za harusi nk. na °wapambaji wa ukumbi wa...
0 Reactions
3 Replies
603 Views
Rejea kichwa cha habari hapo juu, nyumba yenye sebule na chumba kimoja cha self inatafutwa tena haraka saka maeneo ya chuo cha St. John, Dodoma. Bajet isizidi 200,000. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
3 Replies
856 Views
Kama kichwa kinavojieleza mimi n mkulima wa ngano kutoka njombe naomba msaada wa kujua wap nitauza ngano yangu na bei zake zpoje saiz
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nauza kitanda cha chuma futi 4*6 kwa bei ya 250,000 tu Nipo Dar es salaam kama unahitaji nitafute kwa namb >> 0766166483
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Sofa za Kisasa na imara zilizopo katika hali nzuri zinauzwa. Ni za watu wawili kila moja. Zipo tatu. Huna haja ya kubadilisha kitambaa. Bei kwa kila moja ni 280,000 maongezi yapo kidogo. Zipo...
2 Reactions
5 Replies
3K Views
Laptop aina ya Hp pavilion inauzwa kwa bei chee kabisa, Specifications; Processor dual core 2.21ghz, 4gb ram, 500hdd na screen 14.1 inches, battery life 2hrs! Price 330k ila maongezi yapo...
0 Reactions
0 Replies
454 Views
Habari Tunauza mashudu ya alizeti kwa ODA ya siku nne kabla Kg1 bei ni Tsh 275/= Karibuni
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Jipatie gari kwa bei cheee gari Imenyooka full vibali full AC bei.... Mil4500000 Contar.... 0657712875
0 Reactions
28 Replies
4K Views
USISUMBUKE NA 1.RANGI KUBANDUKA 2.LIPU KUPUKUTIKA 3.FANGASI UKUTANI 4.UKUNGU UKUTANI SIKAGARD 905W 5L NA SIKALITE 1KG NI JIBU LAKO TUNATOA 5YRS WARRANTY sikagard 905W 5L = 80,000 inapaka...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom