Eneo lipo kerege kama unaelekea bagamoyo lipo upande wa kushoto, mita 500 kutoka lami
Hati ya eneo ni ya viwanda
Maeneo hayo kutoka lami yametengwa kwa ajili ya viwanda
Kwa sasa panafaa...
Habari wakuu.. Natengeneza Membership systems za kulipia kwenye website kwa bei nzuri kabisa. System hii inatumika sana kwa wale wanaotaka kutoa taaluma/mafunzo ya ujasiriamali au ya kitu chochote...
kwa wale wanaohitaji kuandaliwa memorandums za kufungulia kampuni na msaada wowote kwenye kufungua kampuni,Kutengeneza Companies' Profile, Companies' Objectives, companies's memorandums n.k kwa...
Natafuta gari hizi iwe kwenye hali nzuri na bajet isizidi milioni 8
1/Allion Nzuri Bajet ichezee kwenye hapo
2/Spacio bajeti ichezee chini ya 8
3/ Harrie model ya zamani bajet isizid 9...
Magari yafatayo yako sokoni
piga 0719539431(larson) ku ona Gari au kukunua Gari
kwa anaetaka kuona au kununua piga nanba hii hapa (0719539431)pia tebmbelea blog yetu kwa picha detail na magari...
Natarajia kuchinja nguruwe wangu watatu nauza nyama jumla na reja reja kwa siku ya kesho,nikipata Wateja jumla itakua vizuri,kilo shilingi 6500.wapo Tabata segerea.napokea order mbali mbali,Mzigo...
Kama wewe ni mkulima njoo nikuuzie shamba kwa ajili ya kilimo cha mboga mboga..
Eneo lipo kalibu na mkondo wa maji panafaa sana kilimo cha umwagiliaji, maji hayakauki.. Ukubwa heka moja. Bei...
Huna haja ya kuacha simu nyumbani au kuiweka mbali ukiwa unafanya mazoezi tumia phone arm band ufurahie mazoezi yako jipatie kwa sh 10000 za kitanzania utafikishiwa ulipo kwa wakazi wa dar es...
TILL za mitandao yote yaan
1. Vodacom(m-pesa)-150,000/=
2. Tigo(tigopesa) -120,000/=
3. Airtel(Airtel money) -100,000/=
4. Halotel(halopesa)- 70,000/=
pia maelewano yapo!.
Till zote zina jina...
Habari mkuu, karibuni mujipatie viwanja safi kabisa kwa bei ya ofa.
Viwanja vipo kiluvya, ambapo ni 3km toka mbezi mwisho.
Kutokea hpo kiluvya mpk kwenye viwanja ni 3km pia
Viwanja vipo sehemu...
Habari wanajamvi.
Nina mpango wa kuanziasha biashara ya kutengeneza matofali na pavement blocks. Sasa nimepata chimbo moja lina mashine safi sana kwa hii kazi. Tatizo langu sijawahi kuagiza...
Habari za muda wakuu,
Mimi ndugu yenu niko mjini hapa Dar es Salaam kwa shughuli itakayoniweka mwezi mmoja na kidogo, ili kurahisisha suala zima la sehemu ya kulala nimeona nitafute chumba...
NAUZA SHAMBA LANGU LA EKARI 20 LIPO BUNGU KIBITI NALIUZA KWA BEI YA CHINI KABISA KWANI NINA SHIDA. BEI NI SHILLING MILIONI NNE TU CASH. KATIKA SHAMBA KUNA NANASI KATKA EKARI TANO NA VIBANDA VYA...
wakuu natafuta chumba pande za magomeni mapipa....
nahitaji chumba cha kawaida(self itakuwa poa zaidi)
maji ya bomba,umeme ni must...
bei yangu ni 40-70 kuendana na quality ya chumba.
note;nipo...
Habari zenu wadau wa biashara, uchumi na ujasiliamalia?
Ebana ningependa kufahamu juu ya upatikanaji wa vifuko vya ujazo tofauti kwa ajili ya kuhifadhia bidhaa ila ningependa kufahamu haswa ile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.