TUNAUZA NAZI KWA BEI YA JUMLA
NAZI KUTOKA KUSINI (LINDI & MTWARA) NAZI BORA ZILIZOKOMAA VIZURI
TUNAPOKEA ODA KUANZIA NAZI 250
UKIAGIZA NAZI KUANZIA 1000 TUNAKUSAIDIA KULIPA USHURU.
NB: TANGAZO...
HABARI WAKUU,
Naitwa Enock ni fundi wa kutengeneza sofa, napatikana Mbezi, Dar es Salaam, Tanzania.
Sofa kama hii ya kukaa watu wawili bei ni 280,000/=
Kwa mahitaji ya sofa kama hii na aina...
Nimeamua kuwasaidia wakulima wadogo wadogo.
Nimetafuta kampuni inayotengeneza incubator ambazo ni full automatic na bei zake ni nzuri huwezi linganisha na ubora wake.
Kuanzia mayai 264 mpaka...
Wakati tunaelekea Msimu wa Christmas na Mwaka Mpya basi Sikia hii
JUZA FASHION ni Kampuni ya Uuzaji, Utangazaji na Usambazaji wa Nguo Africa Mashariki na Kati, Hivyo basi Kupitia kwenye Website...
Natumai mko salama kabisa Kichwa hapo juu kinajieleza kabisa Ukiwa huna Tcl una Lg au Samsung sawa ila iwe nchi 55 kipaumbele zaidi ni TCL tuma picha tuma sms au piga simu kwa 0759117175
Offer...
Kama kichwa kinavojieleza kwa wale mafundi, mbao au ujenzi. Kama kuna yoyote anayeweza kunisaidia hiyo epoxy itakuwa vizuri, nahitaji kidogo Sana kama nusu lita. Kuna project nataka kufanya...
ni hp probook 6360b core i5 , 4gb ram . 300 hard disk ,processor 2.5 ghz
inapga kazi vizur sana
- battery halikai na chaji
-pia left na right click button za kwenye touchpad hazifanyi kazi ila...
WE ARE PROFESSIONALS IN GSM INDUSTRY FOR THE FOLLOWING SERVICES
ALSO UNLOCKING PHONES BY IMEI
UNLOCKING ANY GSM PHONES
IPHONES
NOKIA
SAMSUNG
ALCATEL
BLACKBERRY
UNLOCKING ANY...
Nauza Smartwatch yenye uwezo wa kufanya yafuatayo:
-Ni touch screen yenye size ya 1.54 TFT"
-Ina camera unaweza kupiga picha ukiweka memory card.
-Ina uwezo wa kuweka simcard na memory card...
Hbr wananzengo,nimealikwa ktk harusi ya swahiba wangu inayotarajiwa kufanyika mwezi ujao ila vazi siku hiyo ni western suit.naomba mnijuze ni wapi nitapata western suit ya kukodi na itagharimu...
habar wana jamvi najitokeza kutafuta instagram account ya kununua yenye kuanzia followers 50,000 elfu hamsini mahususi kwa ajili ya kuanzishia biashara, yoyote mwenye nayo au kumfamhamu mtu...
Wajasiriamali...nawasalimu.
Natafta biashara/mradi unaouzwa. Ninamaanisha biashara au mradi unaoendelea ila unauzwa kwa sababu yoyote isipokuwa za msuguano wa kikodi na serikali.
Biashara au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.