Habarini Wakuu, Natumaini Mu Wazima.
Naomba Msaada Wa Kuelekezwa Duka Au Mahali Ambapo naweza Kununua Roller Skate Shoes Mpya Zikiwa Full Pamoja Gloves Zake Na Vizuio Vya Ugoko.
Mie ni mpenzi...
NInauza printa USED , Bei 400,000TZS badala ya 900,000.
iko kwenye hali nzuri, Wino umeisha,unaweza kurefill.
4 color printer.
USB, Network
250 Sheet Input Tray
PCL 6, PCL 5c, Postscript 3...
Hali ngumu wakuu kimfaacho mtu chake
Nauza laptop HP kwa bei ya Tsh 380000 tu fixed price
Inakaa na charge hadi masaa 6 ikichajiwa
Haina tatizo lolote la kiufundi na haijawahi funguliwa
HDD 500...
Habari za mda huu ndungu zangu. Huu ni uzi maalum kwa wanaohitaji kununua magari kutoka Japan na ushauri wa kuwapa wanatoka kununua magari kutoka Japan. Je unaangalia kitu gani kununua gari kutoka...
TOYOTA WISH
Year 2003
Engine size cc 1790
Drive 2wd
Seat 7
•••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••••
BEI : 11.2MIL
{unaweza kufanya malipo awamu mbili}
MALIPO YA AWALI : 5.2MIL...
Kwa mwenye uzoefu na maduka ya simu nirobi, ni mitaa gani ambayo unaweza pata option kubwa ya kununua smartphone whather uses au beand new kwa nirob,
Lakin pia bei standard ya hotel ni around sh...
Habari wakuu,
Kwa wale ndugu zangu mliopo Zanzibar mnaopenda kitimoto na hamjui pa kukipata sasa suluhisho limefika.
U&I pork company tunafanya door to door delivery kitimoto popote pale ulipo...
Hili jengo la ghorofa la makontainer lipo pale ofisi za Manispaa ya Ubungo Kibamba darajani upande wa kulia kama unaelekea Kibaha au upande wa kushoto kama unatokea Kibaha. Jinsi lilivyo kaa siyo...
Habari wadau nataka nianze ujasiriamali wa kutengeza sabuni
Ninahitaji material haya;-
Makontena kama hayo ya kutengezea sabuni
Pili nahitaji "soap making transparency" hii ndo ya kuigandisha...
Habari za majukumu wadau nauza gari aina ya vitz na inapatikana KIVULE - UKONGA - DAR ES SALAAM
1. Year 2001
2. CC 1290
3. 123,000 kilometers
4. Model No. TA-NCP1O
Kwa mwenye kuhitaji tafadhali ani pm
Wakuu habari, nadhani humu ndani nipo mahari sahihi kwa wataalamu wa mambo ya technilogia, natafuta mtu mwenye camcorder video camera yenye mega pixel 24 au zaidi, tufanye biashara, kama unayo...
Hali ngumu wakuu kimfaacho mtu chake
Nauza laptop HP kwa bei ya Tsh 380000 tu fixed price
Inakaa na charge hadi masaa 6 ikichajiwa
Haina tatizo lolote la kiufundi na haijawahi funguliwa
HDD 500...
Nahitaji earphone za kampuni ya Samsung au niseme iliyokuja na brand new ya samsung msingi iwe used haswa kuanzia J5 prime,J7 ,Note 4 na kupanda juu dau langu elfu 20K kwa mwanza itapendeza sababu...
Habari za muda huu,
Nilikua naulizia sehem zinapo uzwa mashine za kuhifadhia maziwa na bei zake.
Uwezo wa kuhifadhi uwe kuanzia ltr 100 na kuendelea.
Ahsante
THE WHEEL AUTO STORE
TUNAPATIKANA UBUNGO BUS TERMINAL (KULE NYUMA KWENYE MAEGESHO YA MAGARI)
KWA MAHITAJI YA TAIRI ZA MAGARI SIZE ZOTE KARIBU TUKUHUDUMIE.
0717438287/0764547024
Nahitaji photocopy machine kati ya aina zifuatazo:- IR2025, IR2520, IR 2020 na hata kubwa kidogo zaidi ya hizo.
Bei tutaongea.. mwenye nazo anicheki faster nahitaji ndani ya siku mbili tu.
Shamba zuri tambarare ukubwa heka tano linauzwa
Shamba lipo maeneo ya kongowe kibaha eneo la saranga umbali km 10 kutoka barabarani. Kuna barabara ya vumbi magari yanafika.kuna reli ya umeme...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.