Wadau, habari zenu.
Msaada wenu tafadhali. Samahani, wapi nitapata deodorant za old spice? Nilikuwa nazipata kiurahisi sana kwenye supermarket ya TSN mikocheni ila walizitoa. Nilienda supermarket...
Ninatafuta partner, young dynamic ICT person wa kushirikiana naye ku-market "M-Files" document Management System. I have the technical knowledge, I am lacking salesmaship skills
Rjk
MAKABATI YA MBAO NA VIOO YA KUPANGIA VITU VYA DUKANI
BEI YANAANZIA 180,000/- HADI 250,000/=
MASHINE YA KUSAFISHIA PASSPORTSIZE KWA DAKIKA 3 BEI 280,000/=
CANON IR 2202
SIFA: INA TOA COPIES NA...
Habari wana jamii?
Katika ulimwengu wa kisasa inapendeza sana kama mtu ukiwa na business card ambayo itakua rahisi kwako wewe kumpa mtu mawasiliano yako hasa katika biashara au mawasiliano ya...
PS 2 🎮
🎮🎮🎮
Kutoka Zanzibar IPO inauzwa
Bei 180k
Unapata pad mbili
Na flash 8gb na ina game la mpira FIFA
🔥🔥🔥
Kama vp njoo inbox tufanye business....
Location: Dar
Kwa mahitaji ya kujengewa nyumba bora tafadhali nipe kazi ili upate nyumba bora na sio bora nyumba. Kwangu mimi ninajenga nyumba za wenye kipato cha chini cha kati na kipato cha juu. Uaminifu kwa...
Nyumba inauzwa ipo Kigamboni, Kibugumo, ni mwendo wa dk 5 hivi kutoka barabara kubwa ya lami, bei ni 13 Milioni.
Aliye interested aje PM nitampa namba yangu
Habari zenu waungwana km mjuavyo kimfaacho mtu chake nina cherehani ya kisasa(inatumia umeme pia) inashona tu haidarizi haijawahi kutumika ipo katika hali nzuri tu bei maelewano naamini hatuwezi...
Habari za leo wadau.
Ninahitaji kufungua Duka la vyombo vya Nyumbani. hivyo naomba kwa yeyote anaefahamu Maduka yanayo uza vyombo kwa Jumla kwa Dar es salaam anielekeze.
Ukinitajia na Mitaa...
Hii ni ofa maalum kwa wafanyabiashara
Unapatiwa website ya wordpress yenye domain pamoja na hosting kwa mwaka mmoja kwa gharama ya shiling 35000 tu
njoo pm tuyajenge
Habari za jion wapendwa natumaini ni wazima wa afya.
Naitaji mapambo Kama ya gari hii kuanzia ilo bampa la juu na izo bampa za pembeni kuazia taili ya mbele na ya nyuma na pia bamba la nyuma ilo...
Iphone 7 plain
Mattblack
32gb
2gb ram camera 12mp
Mpya kabisa haijatumika hata kidogo na inakuja na accessories zote
Naiuza kwa bei ndogo tofauti na bei yake halisi ya dukani.
Kama unahitaji dm me
Kwa gari nzuri, yenye ubora, yenye kudumu na ya gharama nafuu karibu sbt Tanzania office
tutakusimamia uagizaji wa gari yako na hadi inafika mkononi mwako bila tatizo lolote kwa mda mwafaka siku...
Vifaranga wa kuku wa kuroila wa mwezi mmoja kwa sh 5000 na vifaranga wa miezi miwili kwa shilingi 7000 wanapatikana, na mayai kwa sh 10,000 kwa wingi kabisa weka Oder yako mapema 0754826041 na...
Habari wana jf
Natafuta vitu vifuatavyo kwa bei nafuu kwa ajili ya biashara ya chips
Shelf la kioo
Flypan
Jiko
Meza ya mbao
Na viti
Kama unavyo na unataka kuuza njoo pm
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.