Nyumba ipo tegeta wazo kama unaelekea madale kituo kinaitwa kontena
Nyumba ina vyumba 3 self
Bei 80m
Maongezi zaidi au kuja kuona wasiliana nami kwa
0756060183
Bei ni laki 5 ( laki tano) kwa mwezi ilipwe miezi 6 ( miezi sita)
Nyumba inavyumba v3 vya kulala
Ina master bedroom
Ina sitting room
Ina dining
Ina kitchen
Ina public toilet
Ina tiles
Ina gypsum...
Kwa mtizamo wangu huyu mkulima wangu wa vanila wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera nahitaji msaada mkubwa wa serikali kusaidiwa kwanza ulinzi pili kupata soko la uhakika, siku ya Jumamosi tarehe 24...
Mwenye ndoo ndogo za lita 10 zile zilizoisha mafuta anifahamishe nimpe mawasiliano tufanye biashara.
Nahitaji nyingi kwa bei ya jumla, bei maelewano.
Location ni Dar.
Habari wana jamvi,,,nataka kufanya biashara ya kuprint T shirt na kuziuza kwaiyo raw materials mojawapo ninazohitaji ni T shirt plain nzito nzuri za kiwango yaweza kuwa Manga au brand nyingine...
habari
Nauza laptop dell 5400
Specification zake
RAM. 4 GB
HARD DISK 500 GB
PROCESSOR 2.5
BETRI LIFE TIME 2 HOURS
WALLANT 1YEAR
PRICE 320,000/=
Kwa mahitahi nitafute kwa mawasiliano...
Ndugu Habari za wakati huu.
awali yote napenda kuwajulia hali zenu mahali popote mlipo Tanzania na duniani kwa ujumla.
Mara baada ya salamu hii napenda kuwajulisha lengo la uzi huu.
Mimi ni...
Aina: Epson pro ex 7260 wxga 3,600 color brightness (color light output)
Mhl 3Lcd
Port: USB PORT, HDMI, VGA, AU na AV
Unaweza tumia kwa kuonyeshea mpira,dvd, Playstation, laptop, hard disk...
Waungwana habari,
Mimi nipo Zanzibar na km mjuavyo hivi vitu vya hivyo huku Ni vingi na bei afadhari kidogo,Sasa basi kwa yeyote ambae anataka vitu km laptop, radio au simu n.k naomba tufanye kitu...
Salaam mabibi na mabwana
Nawaletea hii hapa nyumba imetulia na nzuri sana ni ghorofa ndani ya geti
Sifa zake
-Tiles nyumba nzima
-madirisha ya vioo
-feni zipo ndani
-makabati standard ya...
Habarini za asubuhi, pole na majukumu ya kujenga taifa pendwa la Tanzania
.
.
Niende kwenye mada moja kwa moja
.
.
Mimi ni kijana umri wangu (range 20--25)
.
.
Elimu yangu ni degree moja (Bsc)
.
...
Ndugu Habari za wakati huu.
awali yote napenda kuwajulia hali zenu mahali popote mlipo Tanzania na duniani kwa ujumla.
Mara baada ya salamu hii napenda kuwajulisha lengo la uzi huu.
Mimi ni...
(Price 200-150k)
NEW DESIGN FOR ROOFING
KATI YA VITU VINAVYOSAIDIA KUPUNGUZA GHARAMAH NI HII HIDDEN ROOF,
HUSAIDIA MTEJA KUPUNGUJA HADI 40-50% OF ROOFING COST (INATUMIA MBAO CHACHE NA BATI)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.