Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Hp pavilion dv4, intel dual core, 4gb ram,500hdd, 14.1 inches screen. Contact; 0655763953, 0742335511 Price 300k.
0 Reactions
0 Replies
340 Views
Habari wakuu, Nahitaji chumba cha kupanga kwa hapa Dar es Salaamu single ef 30 kama ni self ef 50 poa.
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari wakuu natafuta soko la uhakika wa viazi vitamu (viazi lishe) Nina ekari tano maeneo ya morogoro Kilosa kijiji cha msowero. Tuwasiliane inbox kwa maelezo zaidi.
4 Reactions
2 Replies
5K Views
Naitaji machine ya juice ya miwa used
0 Reactions
4 Replies
2K Views
muuzamaterials@gmail.com
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Salaam wadau humu ndani Napenda kuwatangazia kuwa Kwa mahitaji ya nyumba za kupanga maeneo tulivu kabisa ya Mwenge mikocheni na mbezi beach ambapo access ya public transport ni rahisi hata ukiwa...
0 Reactions
2 Replies
646 Views
Natafuta mizani ya kupima uzito wa mwanadamu. Inauzwa wapi? Kwa anayejua naomba nijulishe. Asante
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Habari nahitaji kitanda kipya au kilichotumika kidogo in less than one year, namaanisha used but like new. Kiwe cha chuma au mbao. Only 5/6 ( kiwe tano kwa sita) Bajeti yangu haizidi 120,000...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
NAUZA MAHINDI SAFI YA NJANO ZIPO TANI 28, KWA ANAYEHITAJI APIGE 0758 - 25 36 02 AU 0625 - 22 80 30
0 Reactions
3 Replies
817 Views
Salama wakuu Ninawazo la kuanzisha biashara ya kuprint macover ya sim na laptop Mwenye uwelewa vifaa vinavyo hitajika na printer ya aina gani na kias gan inauzwa anisaidie
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mweny kuitaji , ni pm. Kwa wenye samsung S6 na kuendelea. Pia Kma una keyboard wireless au wired ila nzuri pia yawezekana tubadilishane. Pm
0 Reactions
0 Replies
519 Views
Kiwanja kipo sehemu nzuri na huduma mhimu zinapatikana. Ukubwa wa kiwanja ni mita 25*25 Bei ya kiwanja ni 8mil maelewano yapo. Kwa ajili ya kuja kuona tumia namba 0622948987 Karibuni.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Kama tujuavyo kuwa mitandao ya jamii haswa "Jamii Forum " imekuwa ni mkombozi kwa kupata connections kutoka sehemu mbalimbali. Hivyo, nawasogezea wote mlioko ndani ya Jiji la Mbeya huduma ya...
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Bei ni milioni 4.8 ( milioni nne na laki nane) maongezi yapo Full A/C Full vibali Full documents Gari haijawahi kupata ajali hata siku moja Tairi zote nne ni mpya pamoja na spear tairi Popote...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari wandugu, mashine ya selcom bado ipo kwa anahitaji aje dm tuongee biashara
0 Reactions
6 Replies
723 Views
Nauza achari/ubuyu wa embe ni embe zilizoanikwa juan na kupikwa kama ubuyu ni tam mnoo nauza 700 jumla 1000 kwa rejareja napatikana Songea town delivery ipo kwa wakaz wa mbeya mtwara Ruvuma yote...
4 Reactions
21 Replies
6K Views
MBEYA MBEYA MBEYA MBEYA . [emoji92] Tunauza UBUYU wa zanzibar wa jumla . [emoji92] Kisado kwa sh 15000 ambao utapata faida zaidi ya elf 10000 . [emoji92] Ndoo ndogo kwa sh 35000 ambao utapata...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Habari zenu wakuu, Kwa yoyote anayefahamu jinsi ya kusafirisha mayai kutoka Dar kwenda Dodoma ntashkuru sana! Mm naishi Dodoma na kuna mtu nimempata anauza mayai Dar kwa jumla ila yy hafanyi...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Habari wana jukwaa naomba kuuliza eneo zinapopatikana clips, na tambi kwa bei ya jumla kwa yeyote anaejua au yy mwenywe anajihusisha na hyo biashara anisaidie. Asante
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni asali ya safi ya nyuki Wakubwa tani12,Dumu 600 asali ya makapi,tani moja na nusu asali ya nyuki wadogo,Dengu tani30 na choroko tani50. NOTE:Mimi sii mwenye mzigo,njoo nikupe mawasiliano...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom