Habari wakuu natafuta soko la uhakika wa viazi vitamu (viazi lishe)
Nina ekari tano maeneo ya morogoro Kilosa kijiji cha msowero.
Tuwasiliane inbox kwa maelezo zaidi.
Salaam wadau humu ndani
Napenda kuwatangazia kuwa Kwa mahitaji ya nyumba za kupanga maeneo tulivu kabisa ya Mwenge mikocheni na mbezi beach ambapo access ya public transport ni rahisi hata ukiwa...
Habari nahitaji kitanda kipya au kilichotumika kidogo in less than one year, namaanisha used but like new. Kiwe cha chuma au mbao. Only 5/6 ( kiwe tano kwa sita)
Bajeti yangu haizidi 120,000...
Salama wakuu
Ninawazo la kuanzisha biashara ya kuprint macover ya sim na laptop
Mwenye uwelewa vifaa vinavyo hitajika na printer ya aina gani na kias gan inauzwa anisaidie
Kiwanja kipo sehemu nzuri na huduma mhimu zinapatikana.
Ukubwa wa kiwanja ni mita 25*25
Bei ya kiwanja ni 8mil maelewano yapo.
Kwa ajili ya kuja kuona tumia namba 0622948987
Karibuni.
Kama tujuavyo kuwa mitandao ya jamii haswa "Jamii Forum " imekuwa ni mkombozi kwa kupata connections kutoka sehemu mbalimbali.
Hivyo, nawasogezea wote mlioko ndani ya Jiji la Mbeya huduma ya...
Bei ni milioni 4.8 ( milioni nne na laki nane) maongezi yapo
Full A/C
Full vibali
Full documents
Gari haijawahi kupata ajali hata siku moja
Tairi zote nne ni mpya pamoja na spear tairi
Popote...
Nauza achari/ubuyu wa embe ni embe zilizoanikwa juan na kupikwa kama ubuyu ni tam mnoo nauza 700 jumla 1000 kwa rejareja napatikana Songea town delivery ipo kwa wakaz wa mbeya mtwara Ruvuma yote...
MBEYA MBEYA MBEYA MBEYA
.
[emoji92] Tunauza UBUYU wa zanzibar wa jumla
.
[emoji92] Kisado kwa sh 15000 ambao utapata faida zaidi ya elf 10000
.
[emoji92] Ndoo ndogo kwa sh 35000 ambao utapata...
Habari zenu wakuu,
Kwa yoyote anayefahamu jinsi ya kusafirisha mayai kutoka Dar kwenda Dodoma ntashkuru sana! Mm naishi Dodoma na kuna mtu nimempata anauza mayai Dar kwa jumla ila yy hafanyi...
Habari wana jukwaa naomba kuuliza eneo zinapopatikana clips, na tambi kwa bei ya jumla kwa yeyote anaejua au yy mwenywe anajihusisha na hyo biashara anisaidie. Asante
Ni asali ya safi ya nyuki Wakubwa tani12,Dumu 600 asali ya makapi,tani moja na nusu asali ya nyuki wadogo,Dengu tani30 na choroko tani50.
NOTE:Mimi sii mwenye mzigo,njoo nikupe mawasiliano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.