Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habari wadau,niko mbioni kufungua car wash yenye kuhudumia magari madogo na pikipiki,nahitaji msaada wenu nitapata wapi mashine nzuri za kuoshea(pressure machine)hatakama used bei zake zikoje na...
0 Reactions
12 Replies
15K Views
Wapendwa,naombeni kujua wapi naweza pata mayai ya kuku hawa wanyama,yenye uhakika na kutotolewa pia gharama kwa trey,na mkoa yalipo naomba kuwasilisha asanteni
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Naomba mnisaidie kumtafutia mdogo wangu vyumba viwili maeneo hayo ,sababu ni karibu na kituo chake cha kazi.Anategemea kuhamia tarehe 15 mwezi huu wa 11,2018
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari wakuu Kwa yeyote mwenye connection na dalali au mtu mwenye nyumba ya kupangashi moshi naomba msaada wa kuunganishwa nae. Nimehamia Moshi na nimejitahidi kutafuta nimekosa. Budget...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
CC1290 HAINA TATIZO HAINA UDALALI NIPO KINONDONI PIGA SIMU 0759974831
0 Reactions
1 Replies
755 Views
Nahitaji incubator ya kuchukua mayai 1500 au zaidi ya kichina,yakutumia sola na umeme wa tanesco,naombeni nisaidiwe wap nitapata,na kwa bei yake ikoje ,nipo mkoani,wafanyabiashara wababaishaji...
1 Reactions
5 Replies
853 Views
Wakuu, bidhaa tajwa inauzwa hapo juu Size= 5 * 6 Ni cha mbao (Mninga) Sababu za kuuza= Shida za dunia Bei 140,000/= Negotiable Location; Mbezi Africana Contacts; 0767819499
0 Reactions
10 Replies
7K Views
Mimi nina biashara ya duka Na mostly hua napenda kusikiliza mawazo ya wateja na kuyafanyia kazi Walihitaji voda vocha za kurusha...nkafanya research na nkawaletea Walihitaji pia...
0 Reactions
5 Replies
6K Views
Habari za kazi ndugu zangu. Mimi hapa ni muhitimu wa chuo nimekuja kwenu kuulizia ni taasisi gani ya kibenk inayotoa Mkopo wa bajaji au gari aina ya carry(kirikuu) kwa kuwa ndio biashara ambazo...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kitanda cha mbao na godoro 5 X 6 vinauzwa.. Godoro ni Inch nane (GSM) Eneo: Mabibo External Bei: 280K maelewano yapo kidogo Nicheck 0675 425 148
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Natafuta nyumba ya vyumba viwili na sebule. Choo cha kujitegemea. Yenye tiles. Iwe eneo ningependelea ilazo, kisasa au nkungu. Kama sio basi iwe hata nje ya mji ila sio uswahilini. Nyumba shart...
0 Reactions
3 Replies
732 Views
Nauza sabufa na tv inch 25. Havina shida yoyote Bei: sh. 95,000 (woofer) na Bei sh. 250,000 (TV) 0783-489542
0 Reactions
2 Replies
1K Views
ina miezi minne tangu inunuliwe! ina private plate number imetembea km 1755 tu bima yake inaisha june 2019 ina card risiti ya kununulia na risiti ya bima ni ya kuwqsha na kuondoka ipo Mbezi...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Hii si ya kukosa. Ni tar 03 Nov 2018 yaani jumamosi. Kutakua na offer kabambe kwa wale wapenda sandwiches ukitembelea mgahawa wa SUBWAY. Siku hiyo kutakua na offer ya double the feel good. Yaani...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Brandnew iPhone 7 plain 32gb Mattblack Full original accessories zote zipo Napatikana dar es salaam na sehem yoyote natuma Price:970k Contact:+255 656 629 061
0 Reactions
0 Replies
786 Views
Habari wakuu. Natafuta mzani wa kupima urefu na uzito kwa wakati mmoja. Wapi naweza pata. Simu:0713-039875
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tunahitaji mzani mkubwa wa takribani tani 10 kwa ajili ya kupimia magari kiwandani kwetu, kiwanda kipo Dar es Salaam. Mzani uwe umekamilika, uwe na vibali vyote pamoja na platform yake! Only...
0 Reactions
0 Replies
586 Views
Naomba contact address (namba ya simu) za fundi bomba (plumber) mwenye kusifika. Kazi yenye ipo eneo la Sinza. Shukran!
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Naomba kujua aina gani ya Camera Ina quality nzuri ya picha zake. Nahitaji kuanza ka biashara kadogo ka kupiga picha na passports size. Wazoefu wa mambo haya naomba mnisaidie Sasa nijue nanunua...
2 Reactions
6 Replies
5K Views
Brand New Note 9 Full Box Duos sim cards 128G8 Copper Gold colour Price 1,750,000/= fixed Call or txt 0686553689
0 Reactions
0 Replies
489 Views
Back
Top Bottom