WanaJF,
Hapa Tanzania kumekuwa na maagent wengi sana wa kuagiza magari Japan kama vile BE FORWARD, STB JAPAN, AUTOCOM JAPAN n.k
Ni kampuni gani nzuri unayoijua? Ambayo hawabadilishi badilishi...
Habari wakuu.
Kuna hisa zinataka kunidodea, sasa nimefikia uamuzi wa kuziuza lakini cha ajabu kila broker ninayemfatilia yupo Dar es Salaam na mimi kwa sasa nipo Arusha.
Je ni wapi nitaweza...
#Opportunity: The Bill and Melinda Gates Foundation is seeking innovative tools and technologies for crop pests and disease surveillance over large geographic regions in low-income countries...
Habari ndugu, nahitaji nyuzi za mkonge,/katani au kudu kabla hazijakuwa kamba mwenye kuwa nazo au anajua zinapatikana wapi.
Nahitaji ug-grade zaidi ya Tani 12.
Njoo pm au mawasiliano
+255717246284
Nauza pikipiki aina ya fekoni mayai ni mpya kabisa sifa za pikipiki inatembea na haina tatizo lolote INA vibali vyote na unapewa na risiti kabisa imetumika kwa miezi 6 tu kwa matumizi ya kwendea...
Wadau nina tatizo ambalo madaktari wameniandikia kununua supplements mbalimbali. ambazo natakiwa kutumia kwa muda mrefu kidogo pamoja na aina flani ya chakula.
Sasa ningependa kujua duka gani...
Natumai mmeshinda salama wakubwa! Nategemea kuanzisha biashara ya vyakula/mgahawa hivi karibuni ila bado sijapata eneo zuri la kufanyia biashara hiyo.. Nimeonyeshwa bar moja ipo sinza inaitwa...
Wadau kuna muhogo mkavu, ni muhogo usio mchungu umemenywa ukakaushwa upo vizuri ningependa kujua bei yake jijini mwanza na iwapo soko la kuweza kuuza linapatikana.
kama maelezo yanavyojieleza hapo, nyumba haina tatizo wala mgogoro wowote inaishi familia ya mtu mmoja ina ROOM 4, Inafaa sana kama mtu ana malengo ya kumiliki hapo ili aje kupandisha jengo la...
Habari!
Nahitaji chumba cha kupanga, Maeneo ya Ubungo, Mwenge au Makumbusho!
Sifa:
1. Chumba kiwe Self-contained yani yenye choo ndani!
2. Kisafi kwa maana hata kama sio kipya lakini...
Hii ni taasisi inayotoa elimu nyumbani (education service at home) na yenye mwalimu wa kutosha wenye taaluma ya ualimu .tunafundisha masomo ya shule ya msingi na sekondari.kidato cha kwanza hadi...
Kuna gari limetusumbua hapa na kinachohitajika ni oil pump.
Tumezunguka Gerezani, Buguruni, tumeongea na mtu mmoja akiwa Mbeya naye kaonyesha hana hicho kifaa. Vilivyopo haviendani na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.