Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Habar ya jumatatu.naomba kuunganishwa na mkulima wa pilipili zile ndefu zinazopendwa na wahindi sio pilpil mbuzi mi niko dsm popote nitafuata.0657536080.nimeshindwa kuweka sample pic
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Wadau wa Scooting,kwa sasa tuna vifaa kwa ajili ya scooting(hoverboard),hivi vinaweza kutumika kwa ajili ya watoto na watu wazima pia. Vifaa hivi vina ubora wa hali ya juu na bei zetu ni karibu na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wapendwa.. Euro Delicious food services tunauza Pilipili za kunukia halmarufu kama HABANERO zina harufu San na nikubwa hutojuta kuwa mteja wetu.. Tunauza kuanzia kilo hadi ndoo kubwa...
1 Reactions
12 Replies
9K Views
Habari Wadau. Nilikua natafuta nyumba maeneo ya mbezi beach ya chini. Requirements: - vyumba 2, sebule, jiko kubwa. - car parking -Fanced -barabara ambayo hata gari ya chini kabsaa inaweza...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Huawei P8 lite Android version 5.0.1(6.0.0) Internal Memory Gb16 Ram 2Gb Primary Camera Mp 13 Secondary Camera Mp5 4G network support. Imetumika miezi minne tu nauzia shida ilikua yangu...
1 Reactions
12 Replies
5K Views
Full ac Year 1994 Gear box zko powa Engine mpya Engine cc 1938 Spot rim 0713099309 Halina tatizo llote 4 cylinder haili mafuta kqbisa. 2.5mln
0 Reactions
9 Replies
1K Views
PAGALE LINAUZWA CHANG'OMBE EXTENSION 1.Pagale liko chang'ombe extension(mahali palipojengeka kisasa na sio chang'ombe uswahilini kule) 2.Kiwanja chake kina ukubwa wa 540 SQM 3.Kiwanja kimepimwa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Je wajua maajabu ya Tangawizi? Babu Kubwa Enterprises ni kampuni inayojishughulisha na uzalishaji, utengenezaji, ufungaji na usambazaji wa vyakula, matunda na viungo. B.K Enterprises wanakuletea...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Wana jf kwa ujumla husiken na mada tajwa hapo juu..natoa mafunzo ya kutengeneza incubator ya mafuta ya taa ..mafunzo online ada sh 5000 tu..nipigie au tuma meseji 0744903557.tanga .kwa anaye...
1 Reactions
10 Replies
3K Views
32Gb Bei 350,000/= Contact: 0653689968 location: Dar as salaam, Mabibo
0 Reactions
2 Replies
930 Views
32Gb bei 370,000/= Contact: 0653 689 968 Location: Dar as salaam, Mabibo
0 Reactions
3 Replies
878 Views
Mafundi wa kutengeneza perving blocks na kuzipanga majumbani, karibu tukuhudumie tuko tabata kinyerezi, tunapatikana kwa 0653985824 au 0745688572 karibuni
3 Reactions
9 Replies
7K Views
Je, wewe ni mpenzi wa sandwich na huna muda wa kutembelea mgahawa wa subway kwasababu upo busy ofisini? Au upo nyumbani unajisikia uvivu kupika na hujisikii kutoka na ungependa upate sandwich...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
Hello ladies and Gentlemen.. Bila shaka mmeamka salana! Natafuta solar panel used na vifaa vyake ninunue kwa bei ya maelewano. Kuanzia watss 10, 15, hadi 20. Naomba kama una size mojawapo hapo juu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari Wana JF Point of Sales hii ni Software ambayo inafanya record za mauzo yako ya kila siku,ina fanya record ya bidhaa zilizo stock, inatunza kumbukumbu za bidhaa zinazotoka na kuingia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa mahitaji ya chumba,vyumba vya kupangisha kuanzia 35000, 40000, 50000,60000 kwa mwezi maeneo ya ubungo, riverside, kibangu,external, makuburi, garage na mabibo, Ni rahisi sana piga no: 0656...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Natafuta shamba ukubwa kama heka 1, maeneo ya Chanika au popote karibu na DSM. Muuzaji awe na documents muhimu zinazoonesha umiliki wake. Lisiwe zaidi ya km 1 kutoka main road (barabara ya kutokea...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wadau kwa anaefahamu sehemu lilipo shamba linalofaa kulima nyanya lenye ukubwa wa ekari moja hadi tano daressalaam au Morogoro tuwasiliane. Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari zenu bandugu nahitaji mashamba ya kulima yaliyo karibu na sio mbaali sana na makazi ya watu kwaajiri ya usimamizi wa karibu, itapendeza kama yatapatikania maeneo ya Morogoro & Tanga...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Nahitaji mabati ya migongo mipana ya alaph mwenye nayo njoo pm tufanye biashara chap
0 Reactions
6 Replies
824 Views
Back
Top Bottom