Habar ya jumatatu.naomba kuunganishwa na mkulima wa pilipili zile ndefu zinazopendwa na wahindi sio pilpil mbuzi mi niko dsm popote nitafuata.0657536080.nimeshindwa kuweka sample pic
Wadau wa Scooting,kwa sasa tuna vifaa kwa ajili ya scooting(hoverboard),hivi vinaweza kutumika kwa ajili ya watoto na watu wazima pia.
Vifaa hivi vina ubora wa hali ya juu na bei zetu ni karibu na...
Habari wapendwa..
Euro Delicious food services tunauza Pilipili za kunukia halmarufu kama HABANERO zina harufu San na nikubwa hutojuta kuwa mteja wetu..
Tunauza kuanzia kilo hadi ndoo kubwa...
Habari Wadau.
Nilikua natafuta nyumba maeneo ya mbezi beach ya chini.
Requirements:
- vyumba 2, sebule, jiko kubwa.
- car parking
-Fanced
-barabara ambayo hata gari ya chini kabsaa inaweza...
PAGALE LINAUZWA CHANG'OMBE EXTENSION
1.Pagale liko chang'ombe extension(mahali palipojengeka kisasa na sio chang'ombe uswahilini kule)
2.Kiwanja chake kina ukubwa wa 540 SQM
3.Kiwanja kimepimwa...
Je wajua maajabu ya Tangawizi?
Babu Kubwa Enterprises ni kampuni inayojishughulisha na uzalishaji, utengenezaji, ufungaji na usambazaji wa vyakula, matunda na viungo.
B.K Enterprises wanakuletea...
Wana jf kwa ujumla husiken na mada tajwa hapo juu..natoa mafunzo ya kutengeneza incubator ya mafuta ya taa ..mafunzo online ada sh 5000 tu..nipigie au tuma meseji 0744903557.tanga .kwa anaye...
Mafundi wa kutengeneza perving blocks na kuzipanga majumbani, karibu tukuhudumie tuko tabata kinyerezi, tunapatikana kwa 0653985824 au 0745688572 karibuni
Je, wewe ni mpenzi wa sandwich na huna muda wa kutembelea mgahawa wa subway kwasababu upo busy ofisini? Au upo nyumbani unajisikia uvivu kupika na hujisikii kutoka na ungependa upate sandwich...
Hello ladies and Gentlemen..
Bila shaka mmeamka salana!
Natafuta solar panel used na vifaa vyake ninunue kwa bei ya maelewano. Kuanzia watss 10, 15, hadi 20.
Naomba kama una size mojawapo hapo juu...
Habari Wana JF
Point of Sales hii ni Software ambayo inafanya record za mauzo yako ya kila siku,ina fanya record ya bidhaa zilizo stock, inatunza kumbukumbu za bidhaa zinazotoka na kuingia...
Kwa mahitaji ya chumba,vyumba vya kupangisha kuanzia 35000, 40000, 50000,60000 kwa mwezi maeneo ya ubungo, riverside, kibangu,external, makuburi, garage na mabibo,
Ni rahisi sana piga no: 0656...
Natafuta shamba ukubwa kama heka 1, maeneo ya Chanika au popote karibu na DSM. Muuzaji awe na documents muhimu zinazoonesha umiliki wake.
Lisiwe zaidi ya km 1 kutoka main road (barabara ya kutokea...
Wadau kwa anaefahamu sehemu lilipo shamba linalofaa kulima nyanya lenye ukubwa wa ekari moja hadi tano daressalaam au Morogoro tuwasiliane.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari zenu bandugu nahitaji mashamba ya kulima yaliyo karibu na sio mbaali sana na makazi ya watu kwaajiri ya usimamizi wa karibu, itapendeza kama yatapatikania maeneo ya Morogoro & Tanga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.