Jamani naomba anaefahamu wapi wanatengeneza vifungashio kama hivi anielekeze,namaanisha kiwandani kwa anaefahamu please!
Maana kununua kwa rejareja kariakoo inaumiza kwa kweli,naomba kuwasilisha
Green tea na luobuma tea ni mimea asilia ambayo ikichanganywa inaleta faida mbalimbali kiafya kwa matumizi kama chai ya asubuhi au jioni.
Faida zake.
1. Inapunguza shinikizo la damu
2.Inapunguza...
Nauza Laptop aina ya Apple MACBOOK A1181
Specifications zake:-
Processor 2.1ghz core 2 dual
Display size 14 inch
Ram 2gb
Hdd 320gb
Webcam ✅
Dvd writer✅
Wireless internet ✅
Os- mac os 10.7 lion +...
Hellow wadau!,
Mimi ni mtaalam wa masuala ya video editing na videography kwa kutumia Adobe after effect + Premiere pro + Photoshop lakini sina mtaji wa kupata camera na kuwa na studio!
So kwa...
nahitaji wasaidizi Wa nne wawili Wa kike na wawili Wa kiume, wenye sifa zifuatazo;
wawe na cheti cha chekechea
wawe tayali kuvaa sare za kazi,(Suti,T-shirt, overall na tai Itategemea na kazi na...
Bei: 6mil.(million sita) maongezi yapo kidogo sana.
Full Ac
Full document
Full vibali
Gari haijawah kupata ajali wala haijawah kupigwa rangi.
Call +255 693-204813
+255 757-482042
+255 717-671240
NI TV KALI SANA FULL HD VIDEO INAMUONEKANO MZURI,INAONESHA PICHA MNG'ARO WA HALI YA JUU INA PORT ZOTE HDMI, USB, MMC, VGA, AV etc,
Tunauza kwa promotion kwa bei nafuu 650000, baada ya 30 itapanda...
Habari za leo wanajukwaa?. Natafuta chumba cha kupanga maeneo ya Buguruni, kuanzia Buguruni sheli, Rozana, Malapa, hadi Msaada Gereji. Bajeti yangu ni 30,000/= nyumba uwe na maji na umeme...
Wanajamvi ninaomba niwashirikishe wale mlio na uzoefu wa maisha katika wilaya tajwa mnisaidie kunishauri wapi naweza pata chumba cha kupanga hata kimoja pakiwa na ustaarabu kwa maana ya mitaa...
These are Big Washing Machine suit For Hotel use or even Commercial Laundry also for Children Boarding Schools. Even for Home use.
mashine hizi ni kubwa, zinafaa kwa mahotelini hata kwa ufuaji wa...
Bei maelewano.
Mwaka.1994
Engine cc 1938
4 cylinder
full ac
Haidaiwi.+ full vibari.
Engine mpya.
Gear box ziko poa san
With no problem
Can watsap or call 0713099309
Bei 2.5
Shamba linauzwa lipo Kimazichana Mkoa wa Pwani- kijiji cha Nyanduturu lukubwa wa hekari 9 limepandwa miche ya minanasi zaidi ya elfu ishirini(20,000).
Minanasi bado michanga itaanza kuvunwa msimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.