Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Naomba kuuliza n wapi hapa dar es salaam panauzwa magodoro kwa bei nafuu kidogo ikiwezekana nimsaidie hata bei elekezi
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Wakuu habari natafuta mtu anayemweza kuniuzia kiti cha saloon cha kiume used, kiti kiwe cha kawaida sio vile vya barbar shop, maana offer yangu ni ndogo, na saloon yenyewe ni ya uswazi. offer...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari. Namiliki Workshop ya Welding, Soon ntaongeza Section ya Woodwork. Nahitaji Fundi wakufanya nae Kazi kwa ajili yakusimamia Workshop yakutengeneza Furniture za Chuma na Mbao za Kisasa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa kariakoo ni maeneo gani naweza kupata Yale magodoro madogo ya wanafunzi? Nataka mawili alafu bajeti yangu haizidi elfu arobaini (40,000) kwa yote mawili. Msaada tafadhali nataka kuwanunulia...
1 Reactions
3 Replies
4K Views
Tunafanya kazi zifuatazo....Audit (Ukaguzi), accounting(uhasibu/mahesabu), tax advice (kodi), management, information technology and human resource consulting, Financial advisory services...
0 Reactions
0 Replies
549 Views
Naweka uzi huu kwa dhumuni la kutaka kujua ghalama ya Toolbox complete ya vifaa vya plumbing au hata ukiweza kuniunganisha na wauzaji wa vitu hivo. mjumuisho uwe ni wa vifaa kama vile Pipe Wrench...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Straight to the point! Kuna jamaa yangu yupo mtwara anatafuta kiwanja kwa mdau mwenye nacho plz ni PM masharti kiwe kimepimwa
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nategemea kusafiri kwenda Morogoro kesho kwa shughuli ya kifamilia. Nitapenda kujua wapi naweza kupata mbuzi mzima Meeee?? Kama unao unauza njoo PM tufanye biashara
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Kwa anaetafuta Chinese to English and Swahili translator nitafute .+255659218341
0 Reactions
0 Replies
384 Views
Habari wana JF bila shaka mpo salama. Nlipata bahati yakutembelea Lindi kwa mwaka huu vizuri nikakutana na fursa ya kuuza chips lakini kwa upande wa masoko ilikuwa ishu ila baada yakufanya utafiti...
0 Reactions
0 Replies
581 Views
Tarehe 27 Oct 2018 mliopo #iringa #mafinga #tanzania JUKWAANI ATAKUWEPO, MSANII RECHO (RACHEL) - KIZUNGUZUNGU, AKIWA AMESINDIKIZWA NA WENZIE.. WOTE MNAKARIBISHWA. Tarehe 27 Oct 2018 mliopo...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari, Kwa heshima kubwa Baraza la Nafaka Ukanda wa Afrika Mashariki (EAGC) linapenda kukuwakaribisha ewe wafanyabiashara wa nafaka kujiunga na Safari ya kibiashara kuelekea nchini, Rwanda...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Saizi 750 kwa 16 ikishindikana kabisa linglong.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba kuuliza bei za kuprint t-shirt
0 Reactions
5 Replies
7K Views
Wakuu, Juzi nilileta Uzi hapa kuomba msaada baada ya mtoto kupasua kioo cha Tv, nashukuru nilipata mafundi wazuri sana Kariakoo nimewekewa kioo kipya kwa Tsh.350,000/=, saizi mambo safi kabisa...
0 Reactions
22 Replies
6K Views
pata kitabu cha siri za kutajirika na biashara soft copy shilingi 3000 hard copy 6000, mawasiliano 0744951631 soma kava hapo chinj kwa maelezo zaid
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Habar wana jf Natafuta chumba kikubwa self maeneo ya sabasaba au kwa azizi Ally isiwe mbali sana na barabara. Budget kuanzia 50k isizidi 100k
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu heri ya kuiona siku hii ya leo. Sifa na Utukufu ni kwa Mungu aliye Mkuu zaidi ya uwezo wetu wa kuona, kusikia, kuhisi, kunusa na kuonja.! Kama tujuavyo kuwa, Udalali ni shughuli kama...
0 Reactions
3 Replies
688 Views
Shamba lipo Mkuranga - Kimanzichana. Shamba lina ukubwa wa Heka 100. Shamba lote ni Tambarare. Ardhi yake ni Mfinyanzi mweusi. Linafaa kulimwa Mpunga, Vitunguu, Mahindi na Mazao mengine...
0 Reactions
0 Replies
927 Views
Cm bado ipo vizuri haina shida yoyote ram 3gb internal 32gb no 0714018677
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom