Kama ni mfanyabiashara unauza au unategemea kuanza kuuza bidhaa zako mtandaoni kuliteka soko mtandaoni.
Ukiachana na kutangaza bidhaa zako kwenye mitandao ya kijamii pia kuna mitandao mingi...
Hello Waungwana ,Kuna rafiki yangu anahitaji gari aina iliyotajwa hapo juu .kama unafahamu mtu mwenye nayo please tuwasiliane .Asante sana Waungwana na muwe na Jumapili njema ,
Nauza huawei L21 ina ram 2GB camera 13mpx storage 16GB ...tatizo lake ile ribbon ya glass inayo ziba camera imecrack kama inavyo onekana kwenye picha lakini camera inafanya kazi kama...
Kama unanyumba au ni dalali, tuwasiliane Pm tumalize business mapemaaaa leo,Pesa ipo mfuko wa SHATI.
Location: Isyesye, pipeline, sae, soweto, forest (new/old), uzunguni, jakaranda. Kwingine...
Ndugu wanaJF,
Nahitaji ya idadi hiyo na vipimo kama ilivyo kwenye kichwa cha habari.
Bajeti yangu ni 3500/= kwa mkeka,hivyo kwa mikeka 100 ni 350000/=.
Napatikana Dar es Salaam.
Kwa...
Nauza huawei L21 ina ram 2GB camera 13mpx storage 16GB ...tatizo lake ile ribbon ya glass inayo ziba camera imecrack kama inavyo onekana kwenye picha lakini camera inafanya kazi kama...
Hello wapendwa wa jf,,nauza pikipiki yangu boxer bm 150, pikipiki niliinunua mwez wa tano mwaka Jana! Nilikuwa naitumia kwa matumiz binafsi ya kuendea kazn na kurud nyumbani!! Kwa sasa sina...
Naitwa athuman hamis Juma, 24, nime hitimu chuo kikuu cha Dar Es Salaam mwezi July 20,2018
Naomba msaada wa mtaji kiasi cha shilingi million 2 ambacho nitaanza kufanya biashara mwezi huu huu kama...
Habari wadau, nililima mihogo baridi hekari 12 na sasa ipo tayari kuvunwa, hivyo kwa yoyote anaehitaji, au kama unafahamu wapi wananunua naomba kujua wapi wananunua. Hata kama sio kwa mzigo mkubwa...
Habari wanajamvi,kama heading inavyojieleza...naomba wahusika wa hii kitu washushe nondo zao hapa!
Napendelea zaidi kuona mmetoa maelezo muhimu kama vile:-
1) Bei ya bidhaa.
2) Size au kipimo...
Nyumba ina vyumba 8 na frem moja ya biasha na ina kieneo kidogo cha mabanda kimebaki
Mita 100 kutoka lami
Panafaa kuboresha kwa ajili ya makazi, kwa biashara kama Gest house au apartment pia...
Nyumba ipo kunduchi beach ina vyumba 8 na frem moja ya biashara na pia ina banda la uwani
Gari inafika hadi kwenye nyumba na jirani kabisa na barabara ya lami
Size plot 700sqm
Panafaa Gest...
nauza laptop aina ya samsung inchi 14 display
core5
RAM 4Gb
hard disk 500Gb
imetumika lakn haina tatizo
Ntafute kwenye namba
Bei Tsh 250000
0763403330
0675314966
Mirunda inauzwa Bei nzuri, Ni aina ya mitiki. Na inapatikana hapa hapa Dar. Mzigo upo wa kutosha....tunayo stock Hadi kufikia mirunda 5,000. Kazi ipo kwako tu kunitafuta na useme unahitaji kiasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.