Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Ndugu wanaJF, Nahitaji mikeka ya idadi hiyo na vipimo kama ilivyo kwenye kichwa cha habari. Bajeti yangu ni 3500/= kwa mkeka,hivyo kwa mikeka 100 ni 350000/=. Napatikana Dar es Salaam. Kwa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ni harrier new model, toleo la 2005, 4 cylinder, rangi ya silver. Bei ni mil 26 tu, mazungumzo yapo Mawasiliano 0658339930 au 0762068839
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Ghorofa lina fremu 5 , pamoja na nyumba yenye vyumba 10 ambayo ni sehemu ya eneo linalouzwa, bei tajwa ni kwa vyote yaani hilo ghorofa na hiyo nyumba.bei ni MILLION 320 mazungumzo yapo piga SIMU...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Bei tsh 50,000/- You want Iron Box which is automatic and easy iron your clothes by just selecting the clothing material with no worry of burning your cloth? Yes this is the one your were looking...
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Bright future superior manufactures of america BF SUMA Makao mkuu California Marekani Tanzania makao makuu yake ni msasani Products zetu ni za asili kwa asilimia 100% Zipo aina ya bidhaa zaidi...
0 Reactions
3 Replies
10K Views
Jipatie viatu vizuri na vya kisasa kabisa Vyakike kwa bei nafuu kabisa Kuanzia 3500 hadi 11000 jumla na reja reja Kwa Dar es salaam napatikana kariakoo lakini pia free derivery service ipo...
1 Reactions
105 Replies
43K Views
  • Closed
Wadau nimepata uhamisho natakiwa niripot mtwara tarehe 1vNov 2016 .Hivyo sina budi kuhama ikiwa bado miezi miwili kodi iishe kuanzia Nov 1. Hivyo basi ujiwa na kodi ya miezi miwili unirudishie...
0 Reactions
2 Replies
760 Views
Habari wakuu natafuta masta room maeneo ya kimara (bucha-rombo),sinza,survey na mikocheni Vigezo Kiwe cha njee yani sio ndani ya nyumba Maji yawepo Mbali na msikiti,kanisa au bar Wapangaji...
0 Reactions
4 Replies
934 Views
Altezza - Km 164441, Engine capacity CC1980 Bei Million 7.5 Gari ipo Nyegezi - MWANZA Mawasiliano 0621045144
0 Reactions
0 Replies
720 Views
Kama unapenda Movies, Karibu uwe member na uweze kupata muvi (movie) zote kali, zenye ubora wa hali ya juu (high quality). Mpya za mwaka huu na za zamani. Zote kali. Kiingilio cha kuwa member ni...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
........ NOLAN TOMATO PASTE......... Mchuzi Mtamu Radha Tele Inasambazwa na Bahari Cosmetics Ltd,Nyerere Road Dar es salaam. Kwa bei ya Jumla na Rejareja ikiwa katika ujazo tofauti tofauti Piga...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Kwema wakuu, Kutokana na changamoto za maisha, natafuta part time job kuanzia mwezi ujao mwishoni katika jiji LA Dar. Ni professional Eng. Nina uwezo wa kufanya kazi katika kiwanda chochote cha...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari, Nauza kiwanja changu, Kiwanja No. 1015 kitalu PP (HD) Mtaa wa MAGEUZI SHINYANGA MANISPAA Kiwanja kina OFA. Kiwanja kipo karibu na barabara, Pia nguzo za umeme na maji vipo karibu. Bei...
0 Reactions
1 Replies
937 Views
Pata Profesional design ya Logo, Certicate, nk Pia pata Mifumo mbali mbali ya kuendesha shuhuli zako mfano shule, hospital and pharmacy kwa bei nafuu 0765038814, Kwa mikoa yote Tanzania.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nina Smartwatch mpya naziuza. Unaweza kuweka laini na memory card kwahiyo unaweza kupiga simu na kupokea simu. Pia utatuma SMS na kupokea. Ukiunganisha na Bluetooth kwenye cm yako unapata...
0 Reactions
0 Replies
702 Views
Ni ya mwaka 2000, imetembea kilometers 137,000km. TD 42 engine. Suspension safi kabisa, ina Air Condition, tairi mpya. Gari iko katika hali nzuri sana. Bei 30 million Tel: 0622 362651
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Deep Fryer Tsh 150,000/- Brand name Quigg Origin German Capacity Frying food 750g Quantity; more than 5 pieces available With this German made fryer your gurantee is assured to use it for...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tatu Mzuka ni mchezo mpya wa jackpot uliobuniwa mahsusi kubadilisha maisha ya watu. Tatu Mzuka ni rahisi kucheza kwa kutumia simu ya mkononi, na kushinda ni baada ya kila lisaa limoja baada ya...
0 Reactions
35 Replies
24K Views
Wale wenzangu na mimi mnaopenda maisha ya furaha na nyumbani kunakuwa na furaha kama bustani ya eden nauza mbwa wako fully trained kasoro kuwapa certificate basi..... Black species nauza 400,000 &...
2 Reactions
15 Replies
4K Views
Natafuta kiwanja cha kujenga guesthouse/Lodge Au hostel ya biashara chenye square meter kati ya 600 mq 2000. Kiwanja kiwe Dodoma, mwanza, bukoba, dar es salaam.nitumie hapa au by inbox or by...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Back
Top Bottom