Habari,
Nilikua naomba kufahamu/kufahamishwa software inayoweza ku keep record za mapato na matumizi na inayoweza kufungua financial statments za kila mwezi.
Nauza Toyota Mark II Balloon.
Ya mwaka 1995, Namba: AMP, 2000cc. Ipo katika hali nzuri na inatembea.
Kama unahitaji ni tuwasiliane kwa namba hii: 0785 872 256
Wakuu habari, kuna hekari 12. za muhogo zinauzwa kwa bei ya jumla, laki 5 kwa hekari moja. Ni muhogo baridi mbegu ni ya kienyeji(mwasunga) inayolimwa mkoani Tabora, shamba lipo Usoke-URAMBO...
Aina Celcus full HD,2 HDIM,1 USB na 2 AV support haina tatizo lolote namba 0687 79 46 65 namba ya tigo lkn unaweza usinipate 0713 01 18 78
Bei laki 350 top haina maelewano
Ina vyumba vitatu vya kulala kimoja kikiwa ni master, dining, sebule stoo na jiko, wakati kwa nje iko na baraza mbili ya mbele na nyuma...kutoka gongo la mboto nauli ya bodaboda ni 1000, sio mbali...
Habari za kutwa wana jf nahitaji kuhamisha makazi baada ya kuona fulsa huko songea na kodi bado kabisa hadi 11•04•2019.
KODI NI 80000 KWA MWEZI NI CHUMBA NA SEBULE KUBWA YENYE UWEZO WA KUCHUKUA...
Habari,
Kwa wale wanao fanya masomo ya sheria(LLB/DPL) au wale ambao wanafanya program zenye law ndani.
Sasa kapatika Mwalimu Binafsi, aliyeflexible kukufata na kukufundisha muda wa baada ya...
Ilikuwa juzi alhamisi tarehe 04/10 /2018. Nilikuwa na msongo wa mawazo, nilitoa laki NNE, moja nikatoe tena baadae, nikasahau kuichukua. Nawezaje kuipata
NGE SECURITY LIMITED Offers a wide range of Security Services along the United Republic of Tanzania. The company owe distinguished experience on offering the services on public and private...
NINI: Shamba la ukubwa wa hekari 5 linauzwa
WAPI: Hekari hizi zipo kijiji cha maji chumvi kilichopo kilomita 20 toka msamvu kuelekea Dodoma, na kilomita 8 toka barabara kuu iendayo Dodoma.Kuna...
JE UNGEPENDA ARUSI YAKO IWE NA VIONYO VYA KUVUTIA KAMPUNI YETU INA WATALAMU WA KUTOSHA WA KUTENGENEZA KADI ZA MIALIKO YA HARUSI .DOWNLOAD NA UONE MOJA YA KAZI ZETU AMBAZO ZIMEKUWA VIVUTIO KENYE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.