Shamba liko mvuti ni ekari saba ila zinazouzwa ni ekari nne tu
::mvuti dondwe linapakana na magereza ya dondwe kwa upande wa kaskazini na upande wa mashariki linapakana na shamba la kanari...
Shamba liko mvuti ni ekari saba ila zinazouzwa ni ekari nne tu
::mvuti dondwe linapakana na magereza ya dondwe kwa upande wa kaskazini na upande wa mashariki linapakana na shamba la kanari...
Wakuu,
Nahitaji majogoo au mayai ya kutotolesha ya kuku aina ya WHITE LEGHORNS. Mwenye chochote kati ya viwili hivi naomba tuwasiliane.
Natanguliza shukran
Bei laki moja na nusu mpaka laki na Semaninin iwe chumba kimoja na sebule jiko na choo iwe na maru maru kote madirisha aluminum parking yakutosha gari 3,Kodi miezi 3 isiwe mbali na bara bara...
Ni kampuni inayojishughulisha na uuzaji na usambazaji wa vifaa vya ujenzi kama:
Mbao,nondo,mabati,mirunda,gypsum board, marine board,plywood nk.
Na utaletewa mpaka site ndipo malipo yatafuata...
UK Heavy Equipments Repair, we deals with repair and maintenance of all Earth Moving Equipments such as Bulldozer,Excavator,Shovel,Compactors,BackHoe,dumpers etc. we can start with diagnosis of...
UK Heavy Equipments Repair, we deals with repair and maintenance of all Earth Moving Equipments such as Bulldozer,Excavator,Shovel,Compactors,BackHoe,dumpers etc. we can start with diagnosis of...
Habari wapendwa. Kampuni yako ya Alji Gardening Solutions sasa iko tayari kukuhudumia kwa mahitaji yako ya Gardening, mbolea, maua na pots za kupandia maua. Tuna pots za cement, za mbao, za clay...
Jamani nina shida nauza eneo langu likiwa na nyumba ndogo yenye chumba cha kulala sebure na jiko ipo jirani na project ya standard gauge soga project bei ni 2,500,000 eneo kuna makazi ya watu...
Used laptop inauzwa kwa anaeyehitaji, imetumika miezi 4 tu na ipo katika hali nzuri kabisa. Haina tatizo lolote la kiufundi, hivo kwa mnunuzi atapewa warrant ya angalau mwezi mzima incase of any...
J & J TREE AND FRUIT TREE SEEDLING FARM
Is a nursery for flowers, tree and fruit tree seedlings farm that produces and supply varieties of seedlings both grafted and un-grafted.
Ni bustani ya...
Jipatie subwoofer yakisasa kwa bei ya laki 195.000 ina twiter 3 inatumia bluetooth, flash,memorycard, usd na ni volume 30. kama upo mikoani tunaomba utuunganishe na ndugu yako alieko dar es...
Habari wana jamvi,
Ninaomba msaada kwa anayeifahamu simu tajwa hapo juu. (Infinix note 4).
Ninataka kuuza tecno spark(k7) na kununua hiyo sasa nimeona niombe msaada ili Kama hiko safi kutokana na...
Nyumba (sebule na chumba cha kulala+ jiko na Choo) iko kwenye uzio mkubwa inapatikana Tegeta masaiti. 180k
Pia nyumba ya vyumba viwili vya kulala sebule na jiko inapatikana 250k
Maelezo zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.