Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Shamba liko mvuti ni ekari saba ila zinazouzwa ni ekari nne tu ::mvuti dondwe linapakana na magereza ya dondwe kwa upande wa kaskazini na upande wa mashariki linapakana na shamba la kanari...
0 Reactions
2 Replies
805 Views
Shamba liko mvuti ni ekari saba ila zinazouzwa ni ekari nne tu ::mvuti dondwe linapakana na magereza ya dondwe kwa upande wa kaskazini na upande wa mashariki linapakana na shamba la kanari...
0 Reactions
0 Replies
779 Views
Habari za mchana wa JF. Mwenye kujua sehem ya kupata aina ya buti hii,kwa Arusha na Dar naomba nijuzwe na ina bei gani.
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Habari wadau,wale kuku wangu wanaotaga mayai ya blue,wameanza kutaga.yai moja 2500. Atakaye ani PM
0 Reactions
39 Replies
9K Views
Mwenye iphone 6 yenye kioo cheupe au cheusi tuwasiliane kwa number hii 0682018204
0 Reactions
3 Replies
709 Views
Wakuu, Nahitaji majogoo au mayai ya kutotolesha ya kuku aina ya WHITE LEGHORNS. Mwenye chochote kati ya viwili hivi naomba tuwasiliane. Natanguliza shukran
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Bei laki moja na nusu mpaka laki na Semaninin iwe chumba kimoja na sebule jiko na choo iwe na maru maru kote madirisha aluminum parking yakutosha gari 3,Kodi miezi 3 isiwe mbali na bara bara...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Ni kampuni inayojishughulisha na uuzaji na usambazaji wa vifaa vya ujenzi kama: Mbao,nondo,mabati,mirunda,gypsum board, marine board,plywood nk. Na utaletewa mpaka site ndipo malipo yatafuata...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
UK Heavy Equipments Repair, we deals with repair and maintenance of all Earth Moving Equipments such as Bulldozer,Excavator,Shovel,Compactors,BackHoe,dumpers etc. we can start with diagnosis of...
0 Reactions
0 Replies
634 Views
UK Heavy Equipments Repair, we deals with repair and maintenance of all Earth Moving Equipments such as Bulldozer,Excavator,Shovel,Compactors,BackHoe,dumpers etc. we can start with diagnosis of...
0 Reactions
4 Replies
824 Views
Kichwa cha habari cha jieleza ,nahitaji viatu vya mtumba balo kama mbili hivi ,naomba kujua bei ama kwa anaeuza kwa Dar tuwasiliane
1 Reactions
3 Replies
4K Views
Only 70k ,nimetumia for only 4 months
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari wapendwa. Kampuni yako ya Alji Gardening Solutions sasa iko tayari kukuhudumia kwa mahitaji yako ya Gardening, mbolea, maua na pots za kupandia maua. Tuna pots za cement, za mbao, za clay...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Jamani nina shida nauza eneo langu likiwa na nyumba ndogo yenye chumba cha kulala sebure na jiko ipo jirani na project ya standard gauge soga project bei ni 2,500,000 eneo kuna makazi ya watu...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Used laptop inauzwa kwa anaeyehitaji, imetumika miezi 4 tu na ipo katika hali nzuri kabisa. Haina tatizo lolote la kiufundi, hivo kwa mnunuzi atapewa warrant ya angalau mwezi mzima incase of any...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
J & J TREE AND FRUIT TREE SEEDLING FARM Is a nursery for flowers, tree and fruit tree seedlings farm that produces and supply varieties of seedlings both grafted and un-grafted. Ni bustani ya...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Jipatie subwoofer yakisasa kwa bei ya laki 195.000 ina twiter 3 inatumia bluetooth, flash,memorycard, usd na ni volume 30. kama upo mikoani tunaomba utuunganishe na ndugu yako alieko dar es...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari wana jamvi, Ninaomba msaada kwa anayeifahamu simu tajwa hapo juu. (Infinix note 4). Ninataka kuuza tecno spark(k7) na kununua hiyo sasa nimeona niombe msaada ili Kama hiko safi kutokana na...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Salama wadau mimi ninatafuta gari aina ya noah liteace yenye hali nzuri mwenye nayo tuzungumze 0767580119
0 Reactions
2 Replies
708 Views
Nyumba (sebule na chumba cha kulala+ jiko na Choo) iko kwenye uzio mkubwa inapatikana Tegeta masaiti. 180k Pia nyumba ya vyumba viwili vya kulala sebule na jiko inapatikana 250k Maelezo zaidi...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom