Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

NOTE: Hizi ni goggles hazina lenzi na hazina athari yoyote na macho ______________________ * Miwani hii ni maalum kwa ajili ya kuzuia mionzi mikali itokanayo na KOMPYUTA, SIMU pamoja na TV. * Kama...
1 Reactions
113 Replies
19K Views
Habari gani wakuu. Ninauza jiko la kuchomea nyama ni mpya kabisa. Unaweza kuchomea nyama ya ng'ombe, mbuzi au kuku. Linafaa kwa mgahawani, bar au hata barabarani kwasababu linabebeka. Bei yake...
0 Reactions
3 Replies
419 Views
Habari ndugu zangu. Poleni na majukumu. Ninauza meza 3 za ofisini, zote zimetengenezwa kwa mbao ni imara na zipo vizuri tu. Kuna mradi nilipaswa kufanya ila mambo yakaingiliana. Meza 2...
1 Reactions
7 Replies
455 Views
Hostel ya vyumba 12 ndani ya kiwanja cha sqm 412 inauzwa million 60 hostel ipo kange kasera karibu na chuo cha utumishi tanga … mwenye uhitaji anicheki namba za simu 0612630936
0 Reactions
4 Replies
646 Views
Viatu ni vizuri na imara sana. Bei: 12,000 tu Napatikana Dsm Segerea mwisho. Ukihitaji huduma ya delivery utaletewa kwa gharama zako. Mikoani pia utatumiwa kwa gharama zako.
1 Reactions
3 Replies
640 Views
𝘒𝘢𝘮𝘢 𝘜𝘯𝘢𝘵𝘩𝘢𝘮𝘪𝘯𝘪 𝘓𝘢𝘱𝘵𝘰𝘱/𝘋𝘦𝘴𝘬𝘵𝘰𝘱 𝘺𝘢𝘬𝘰 𝘜𝘴𝘪𝘬𝘶𝘣𝘢𝘭𝘪 𝘏𝘪𝘪 𝘐𝘬𝘶𝘱𝘪𝘵𝘦.....! 𝗛𝗮𝗯𝗮𝗿 𝗡𝗱𝘂𝗴𝘂.... 𝘏𝘢𝘵𝘢 𝘒𝘢𝘮𝘢 𝘶𝘮𝘦𝘬𝘶𝘸𝘢 𝘜𝘬𝘪𝘵𝘢𝘧𝘶𝘵𝘢 𝘝𝘪𝘧𝘢𝘢 𝘷𝘺𝘢 𝘓𝘢𝘱𝘵𝘰𝘱/ 𝘋𝘦𝘴𝘬𝘵𝘰𝘱 𝘬𝘸𝘢 𝘒𝘪𝘱𝘪𝘯𝘥𝘪 𝘤𝘩𝘢 𝘯𝘺𝘶𝘮𝘢 𝘣𝘪𝘭𝘢 𝘔𝘢𝘧𝘢𝘯𝘪𝘬𝘪𝘰 𝘭𝘦𝘰 𝘬𝘶𝘯𝘢 𝘚𝘶𝘭𝘶𝘩𝘪𝘴𝘩𝘰 𝘭𝘢...
0 Reactions
0 Replies
169 Views
Asalaaaaam Ndugu zanguni, leo nimeamua kuja kuwatangazia vijana wote wanaotaka kufungua Biashara ya Movie Store yani kwa movie za kiswahili na Movie za Kizungu Karibu sana nipo Nauza Mzigo kwa...
40 Reactions
457 Replies
41K Views
Karibu Tanzania Septic Solutions tukupe ushauri na kukujengea makaro ya kisasa ya choo yasiyojaa katika kipindi chote cha matumizi yake tupigie number 0672 883 447 kwa maelezo zaidi na kutembelea...
0 Reactions
22 Replies
7K Views
Youtube chaneli inauzwa ina subscribe 6526 ipo kwenye malipo Ilikuwa inafanya kazi ya vipindi vya michezo Bei ni 600,000 Simu 0753-215812.
0 Reactions
20 Replies
896 Views
Vinauzwa kwa bei nafuu; Kitanda 5x6. = 120,000/= Godoro dodoma 5x6 inch 8 = 120,000/= Kabati la nguo. = 120,000/= Mtungi wa gesi, jiko na Meza. = 150,000/= Coffee table. = 70,000/= Friji ndogo...
5 Reactions
42 Replies
2K Views
Habarini za jioni! Kama kichwa kinavyojieleza. Miezi sita ilopita nilitamani kufungua kijiwe cha games za Ps na kwa bahati nilifanikiwa kununua baadhi ya vitu lakini baada ya kupata kibarua mbali...
1 Reactions
3 Replies
570 Views
Jipatie Drone upae angani kwa bei nafuu Drone ina Sifa zifuatazo Drone ni ya kuchaji Inaenda umbali wa meter 200 Drone ina Camera Unaweza kuunganisha camera ya Drone na wifi ya simu yako...
8 Reactions
106 Replies
9K Views
Kama Unathamini Laptop/Desktop yako Usikubali Hii Ikupite.....! Habar Ndugu.... Hata Kama umekuwa Ukitafuta Vifaa vya Laptop/ Desktop kwa Kipindi cha nyuma bila Mafanikio leo kuna Suluhisho la...
1 Reactions
3 Replies
329 Views
Habarini wakuu! Natumaini mu wazima, poleni sana kwa wale ambao hali zenu haziko sawasawa na vile mpendavyo. Niende moja kwa moja kwenye mada! Nimeandika vitabu viwili ambavyo nilipanga...
3 Reactions
15 Replies
591 Views
Feni la chini mtungi mdgo wa gas empty(orxy)na dish la azam vyote kwa pamoja nahitaji 120,000
1 Reactions
10 Replies
732 Views
Electrical popcorn machine inauzwa, Ipo katika hali nzuri sana ilitumika kidogo ikawa imekaa tu ndani Bei 200,000/= (haipungui) Location: kunduchi mtongani Call 0762 854563
1 Reactions
1 Replies
1K Views
IPhone Original Chargers 25W Adapter USB C lighting cable 35,000/= Rejareja 16,000/= Jumla Free delivery ndani ya Dar es Salaam Tabata Aroma Mawasiliano 0653776099 0789344956 0767810030 0620249911
0 Reactions
2 Replies
325 Views
Kwa matumizi bora ya maofisin na shuleni piah chuoni, hii ni nafasi kwa walimu wa sekondari,pia watu binasfi hasa walioakribu na vyuo pia wanachuo hii ni fursa kwenu Dunia sasa imebadilika sana...
0 Reactions
3 Replies
726 Views
kimfaacho mtu chake sindio wanajamiiforums enh nina uza pikipiki yangu aina ya Boxer bm 125. pikipiki hii imetengenezwa mwaka 2022 ikasajiliwa hapa Tanzania mwaka 2023 hivyo ina mwaka sasa tokea...
5 Reactions
32 Replies
2K Views
Usd, euro Mpya kabisa. Piga 0712347749
0 Reactions
6 Replies
466 Views
Back
Top Bottom