Habari wanajamii forum nyumba inauzwa mbagara sabasaba nyuma ya shule ya st antony. Pia iko karibu na barabara na gari linafika hadi nyumbani.
NYUMBA INASIFA ZIFUATAZO.
- ina umeme
- ina maji...
karibu ni sana kwa mahitanji ya
nyumba za kupanga
kununua au kuuza viwanja
kununua au kuuza nyumba office ipo hakuna ubabaishaji wala utapeli
piga simu Call Us:+255 755-181222.
tembelea hapa...
BEST HD Spy Wrist Watch 8GB Video Recorder Hidden Camera Waterproof Camcorder
PRICE TSH 140000=
Contact: Only serious buyer may call/ whatsuApp )0765428633 [emoji95]ONYO USIWEKE NAMBA YAKO SIMU...
Nikon D3200 24.2 MP CMOS Digital SLR with 18-55mm f/3.5-5.6 Auto Focus-S DX VR NIKKOR Zoom Lens (Black)...Price 400 USD...
haina begi lake original na kifuniko cha lens hapo mbele..vingine vyote...
Dell inspirion inauzwa kwa bei rahisi mnooo ya Laki mbili na nusu(250000) ina Hard Disk ya 320GB,2GB Ram, Duo core Processor..piga simu 0676040772 ujipatie sasa...wahi kabla hujawaiwa.
Kiwanja kinauzwa eneo la Kimele, Bagamoyo karibu na shule ya BaoBab Sekondary School. Kipo Umbali wa Km 2 kutoka barabara ya Dar - Bagamoyo. Kina ukubwa wa 30*15 Bei Mil 5.5. Kiwanja hakijapimwa...
CCTV security 4 Camera Package
2 indoor,2 outdoor,4 channel DVR,adapters for camera,coaxial cable with Pins and 1 TB hard drive @ Tsh 850,000 only
Piga 0688726110
Ninauza bajaj TVS King ambayo imeshatumika kwa miaka miwili hivi. bei ni shilingi za kitanzania 2,500,000/= ila inaweza kupungua kidogo kulingana na tutakavyokubaliana na mnunuzi. kwa sasa ipo...
Ndugu mteja nauza hii gari Land Cruiser 1HZ model HZJ105-GCMRS year of manufacture 2000
Gari ni nzuri
Bei Milioni 24,000,000/=
Maongezi yapo usiogope.
Namba ya simu;
+255752307878
kama mnavyoiona ni mpyaaa... nimeona isikae ndani bure tu, hii BMW yangu inatosha kusumbua hapa mjini
:::::::::::::::::::::::::::::::::::::::::
unapata na kadi yake
ipo kinondoni Dar Es Salaam...
Kwa wale wa chuo..
Laptop bomba kwa bei reasonable..
Ts nearly new..
Lenovo (slim)
Ideapad 100
Intel processor @2.1ghz
2gb ram
15" hd screen
500gb hdd
Mlango wa dvd read n write
Charge masaa 4...
Kiwanja Kinauzwa. Kipo maeneo ya Kimele Bagamoyo, Kabla hujafika Shule ya BaoBab unaingia upande wa Kushoto kama umetokea Bunju Dar es Salaam. Kipo umbali wa Kilometa 2 kutoka Barabara Kuu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.