Habari wa ndugu tunatoa huduma ya fumigation and Pest Control hapa Arusha Kwenye maeneo ya Mahotel, majumbani, maghala, lodge nk hasa wadudu jamii ya mbu, Mende, nzi, sisimizi, kunguni, mchwa nk...
Bajaji inauzwa bei sawa na bure ni kampuni ya Sinoray.
Capacity cc200
Seats 8
Usajiri ni DSG
full document
Ni kununua na kuingia barabarani haina changamoto yoyote
Bei ni Milioni 3,200,000...
Ada za kuomba kibali cha ujenzi katika Manispaa ya Moshi.
(i) Maombi mapya ya kibali cha ujenzi cha;-
✓ Makazi ni Tshs.400 kwa mita mraba moja.
✓ Makazi na biashara ni Tshs.500 kwa m².
✓...
Kwema Wakuu,
Mambo yasiwe mengi, changamoto za kutafuta nyumba na kukutana na madalali tunazijua, hivyo kama wewe ni mpangaji unatafuta nyumba au mwenye nyumba unatafuta mpangaji, njoo hapa sema...
Fursa ya ajira
Hata kama huna mtaji leta mteja kwa bei yako, cha juu ni cha kwako
iPhone Original Chargers
25W Adapter
USB C lighting cable
Zipo pis 100 tu
16,000/= Rejareja
14,000/= Jumla...
Nahitaji eneo la gereji(fenced) au nyumba stand alone. Location ni maeneo ya kuanzia ubungo kuja mjini (ubungo yenyewe, sinza mwenge, mikocheni, magomeni, mabibo, external, n.k.) 0688 758 625
Tushaingia mwezi wa wapendanao. Kama ulikua unajiuliza zawadi ya kuwapatia wapendwa wako, suluhisho liko hapa.
Jipatie mchoro halisi kwa ajili ya mpendwa wako mwezi huu wa valentine.
Napatikana...
Eneo lenye ukubwa wa Sqm 3626 Na lina Nyumba 7 [ Moja ni main house yenye vyumba vitatu kimoja master, sebure kubwa, dining kubwa, public toilet na jiko] Na nyumba zengine 6 kila moja imegawanyika...
Habari wakuu me ni fundi bomba uliza swali lolote linalo husu plumbing nitakujibu kuanzia mifumo ya maji moto baridi,maji taka, Ujenzi wa chemba,Bei ya material ya plumbing n.k
Jaman natafuta wateja wa mchele, chenga na pumba laini za mchele.
Kwa yeyote mwenye kuhitaji anitafute kwa namba 0626169383, hii namba pia inapatikana whatsapp. Napatikana singida manyoni mjini
TECNO tunatarajia kuachia toleo jipya ya simu janja TECNO CAMON 18 hivi karibuni ambayo italeta ushindani mkubwa na simu kutoka kampuni ya Samsung. CAMON 18 Premier ina sifa kuizidi simu ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.